Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .
Chadema (wananchi) against takataka za Ccm na ccm yenyewe
The Great Chadema[emoji16][emoji16][emoji16]
Mrema pamoja na kujipendekeza kote kwa Magu bado walimpora hadi uenyekiti wa serikali ya kijiji!
Shetani hana rafiki.
Dalili ya mvua ni mawingu. TLP, NCCR, CUF, kwa sasa siyo vyama. Ni VIRUSI
bado CHADEMA
Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .
Nahisi uchaguzi mwaka huu mpaka muda huu
Ishakula kwetu.......
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Sipati picha kwa Joseph Selasini kuanza kumnadi mgombea wa ccm !
Mrema pamoja na kujipendekeza kote kwa Magu bado walimpora hadi uenyekiti wa serikali ya kijiji!
Shetani hana rafiki.
Mbona unaandika huku unataka kulia? Tulia usiwe na kimuhemuhe.Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .
Kwa nini mmekosa mvuto? Baada ya kula bil 8 za walipa kodi?Chadema sisi hatushiriki Uchaguzi tumekosa mvuto
Kwa nini mmekosa mvuto? Baada ya kula bil 8 za walipa kodi?
Upo very busy kuijenga NCCR huku ukitumia nguvu ndogo sana kushughulika na chadema yakoInasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
CCM tulishaiteketeza kitambo , sasa hivi tunaendelea kupambana na polisi tuUpo very busy kuijenga NCCR huku ukitumia nguvu ndogo sana kushughulika na chadema yako
Tueleze hiyo saccos mtakuja na kituko gani mwaka huu badala ya kufuatilia mambo ambayo hayakisaidii chama chako