NCCR-Mageuzi na CHADEMA matokeo ya kuzira yanawadhoofisha

NCCR-Mageuzi na CHADEMA matokeo ya kuzira yanawadhoofisha

Mtondoli

Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
70
Reaction score
174
Eti wamezira ,sababu kubwa walitaka waende peke yao au walitaka yule wanaemuona adui yao yeye asiwepo(ccm)au walitaka afungwe mikono na miguu ndio waende,au wapewe upendeleo wakupigiwa magoti ndio waende,au kwasababu mbowe yupo segerea,,yalaaa,,wakati mwingine walihisi kwamba ni mkutano wa rais kwa hiyo wao ni wasikilizaji tu,sio kweli,mnaikosea heshima demokrasia,na mnajinyima nafasi ya kutoa ya moyoni ,huo ni uoga wa kiwango Cha juu Sana watu wazima hawakimbii mapambano Bali wanafia kwenye uwanja wa Vita mechi ya nyumbani chezeni lakini pia msiogope mechi za ugenini💘
 
Wale jamaa ni mageneus na wakaakili kuliko kila mtu Tanzania....Dola lazima iwasikilize maana wao pia ndio wenye dola na wako mseto na walioko madarani..
 
Eti wamezira ,sababu kubwa walitaka waende peke yao au walitaka yule wanaemuona adui yao yeye asiwepo(ccm)au walitaka afungwe mikono na miguu ndio waende,au wapewe upendeleo wakupigiwa magoti ndio waende,au kwasababu mbowe yupo segerea,,yalaaa,,wakati mwingine walihisi kwamba ni mkutano wa rais kwa hiyo wao ni wasikilizaji tu,sio kweli,mnaikosea heshima demokrasia,na mnajinyima nafasi ya kutoa ya moyoni ,huo ni uoga wa kiwango Cha juu Sana watu wazima hawakimbii mapambano Bali wanafia kwenye uwanja wa Vita mechi ya nyumbani chezeni lakini pia msiogope mechi za ugenini💘
Vyama vya wachaga mpaka Askofu Shoo awambie
 
Wale jamaa ni mageneus na wakaakili kuliko kila mtu Tanzania....Dola lazima iwasikilize maana wao pia ndio wenye dola na wako mseto na walioko madarani..
Eti wamezira ,sababu kubwa walitaka waende peke yao au walitaka yule wanaemuona adui yao yeye asiwepo(ccm)au walitaka afungwe mikono na miguu ndio waende,au wapewe upendeleo wakupigiwa magoti ndio waende,au kwasababu mbowe yupo segerea,,yalaaa,,wakati mwingine walihisi kwamba ni mkutano wa rais kwa hiyo wao ni wasikilizaji tu,sio kweli,mnaikosea heshima demokrasia,na mnajinyima nafasi ya kutoa ya moyoni ,huo ni uoga wa kiwango Cha juu Sana watu wazima hawakimbii mapambano Bali wanafia kwenye uwanja wa Vita mechi ya nyumbani chezeni lakini pia msiogope mechi za ugenini💘
Chadema akiri kubwa huwezi kuwaelewa! Ccm yenyewe ilisikia chadema inachanganyokiwa Mana wakizubaa tu dola linachukuliwa m Hana kweupe. Zitto Hana madhara yoyote wameamua wamtumie to kuproove wrong chadema. Lakini chadema Ni Moto wa kuotea mbali ndo Mana hata jpm alizuia mikutano ya hadhara kwa kuihofia chadema
 
Chadema akiri kubwa huwezi kuwaelewa! Ccm yenyewe ilisikia chadema inachanganyokiwa Mana wakizubaa tu dola linachukuliwa m Hana kweupe. Zitto Hana madhara yoyote wameamua wamtumie to kuproove wrong chadema. Lakini chadema Ni Moto wa kuotea mbali ndo Mana hata jpm alizuia mikutano ya hadhara kwa kuihofia chadema

Hili hata CUF ngalingali ya Prop Lipumba walikuwa wakisema miaka fulani..
Hili hata NCCR mageuzi ya Lytonga na wenzie walikuwa wakisema miaka fulani..

Dola haipatikani kirahisi hivyo kama mnavyojaribu kufikiri..
 
Eti wamezira ,sababu kubwa walitaka waende peke yao au walitaka yule wanaemuona adui yao yeye asiwepo(ccm)au walitaka afungwe mikono na miguu ndio waende,au wapewe upendeleo wakupigiwa magoti ndio waende,au kwasababu mbowe yupo segerea,,yalaaa,,wakati mwingine walihisi kwamba ni mkutano wa rais kwa hiyo wao ni wasikilizaji tu,sio kweli,mnaikosea heshima demokrasia,na mnajinyima nafasi ya kutoa ya moyoni ,huo ni uoga wa kiwango Cha juu Sana watu wazima hawakimbii mapambano Bali wanafia kwenye uwanja wa Vita mechi ya nyumbani chezeni lakini pia msiogope mechi za ugenini💘
Uhuru wa watoto wa Mungu na kipendacho moyo dawa.
 
Hili hata CUF ngalingali ya Prop Lipumba walikuwa wakisema miaka fulani..
Hili hata NCCR mageuzi ya Lytonga na wenzie walikuwa wakisema miaka fulani..

Dola haipatikani kirahisi hivyo kama mnavyojaribu kufikiri..
Dola inapatikanaje. Kwa kuingia meituni au! Dola linapatikana kwa kupigiwa kura changamoto kwa chadema Ni time huru ya uchaguzi tu. Once time huru imipatikana dola inabebwa mchana kweupe. Ule wizi wenu na kutumia polisi kutesa na kuteka wapinzani wanaorudisha form hautakuwepo Mana hiyo ndo imebaki nyenzo yenu kushinda
 
Eti wamezira ,sababu kubwa walitaka waende peke yao au walitaka yule wanaemuona adui yao yeye asiwepo(ccm)au walitaka afungwe mikono na miguu ndio waende,au wapewe upendeleo wakupigiwa magoti ndio waende,au kwasababu mbowe yupo segerea,,yalaaa,,wakati mwingine walihisi kwamba ni mkutano wa rais kwa hiyo wao ni wasikilizaji tu,sio kweli,mnaikosea heshima demokrasia,na mnajinyima nafasi ya kutoa ya moyoni ,huo ni uoga wa kiwango Cha juu Sana watu wazima hawakimbii mapambano Bali wanafia kwenye uwanja wa Vita mechi ya nyumbani chezeni lakini pia msiogope mechi za ugenini[emoji180]
Nenda kanawe miguu ulale wewe gamba wa lumumba
 
Leo hata hao mabeberu ambao huwa wanakimbilia kusemelea wakiminywa wamewadharau
 
Eti wamezira ,sababu kubwa walitaka waende peke yao au walitaka yule wanaemuona adui yao yeye asiwepo(ccm)au walitaka afungwe mikono na miguu ndio waende,au wapewe upendeleo wakupigiwa magoti ndio waende,au kwasababu mbowe yupo segerea,,yalaaa,,wakati mwingine walihisi kwamba ni mkutano wa rais kwa hiyo wao ni wasikilizaji tu,sio kweli,mnaikosea heshima demokrasia,na mnajinyima nafasi ya kutoa ya moyoni ,huo ni uoga wa kiwango Cha juu Sana watu wazima hawakimbii mapambano Bali wanafia kwenye uwanja wa Vita mechi ya nyumbani chezeni lakini pia msiogope mechi za ugenini💘

Kwa hiyo wingi wa machozi ya mamba haya ni wingi wa huruma zako mkuu?
 
Hili hata CUF ngalingali ya Prop Lipumba walikuwa wakisema miaka fulani..
Hili hata NCCR mageuzi ya Lytonga na wenzie walikuwa wakisema miaka fulani..

Dola haipatikani kirahisi hivyo kama mnavyojaribu kufikiri..
Kutokwenda kwao ndiyo maana wewe umepata habari. Kwa sasa kutokwenda kwao kunatrend kuliko wangeenda. Kimsingi mkakati wao umefanikiwa.
 
Wale jamaa ni mageneus na wakaakili kuliko kila mtu Tanzania....Dola lazima iwasikilize maana wao pia ndio wenye dola na wako mseto na walioko madarani..
Unaitaje dialogue na Rais ilihali bado mna wanachama wenu gerezani sio Mbowe tu bali Namtumbo, Singidani,Songwe, Ukerewe n.k

Mnyika was clear kwamba kabla ya hicho kikao basi wanachama wenye kesi za kisiasa waachiwe!! Otherwise ukifanya negotiation za tume huru huku wenzenu wapo ndani mngekuja tena hapa kusema CHADEMA ni wasaliti!!

So kwa hili CHADEMA na NCCR wapo sawa. Na hii misimamo ndio imeipa CHADEMA heshima kwa miaka mingi.
 
Dola haipatikani kirahisi hivyo kama mnavyojaribu kufikiri.
Kwamba hatuwezi shika dola kisa System inaona hatutoshi??

Kwahiyo CCM hii ya mafisadi ndio system inaona wanantosha? Kwamba kina January na Samia ndio wana credibility ya kuongoza nchi kuliko CHADEMA?

Kama system na jeshi linaiona CCM wana vigezo basi tuna majeshi dhaifu sana no wonder Tanzanite inaibwa hku wamejaza mavifaru nje ya ukuta!!
 
Unaitaje dialogue na Rais ilihali bado mna wanachama wenu gerezani sio Mbowe tu bali Namtumbo, Singidani,Songwe, Ukerewe n.k

Mnyika was clear kwamba kabla ya hicho kikao basi wanachama wenye kesi za kisiasa waachiwe!! Otherwise ukifanya negotiation za tume huru huku wenzenu wapo ndani mngekuja tena hapa kusema CHADEMA ni wasaliti!!

So kwa hili CHADEMA na NCCR wapo sawa. Na hii misimamo ndio imeipa CHADEMA heshima kwa miaka mingi.

Kuwa magerezani kwa wafuasi wa CDM ni suala la kisheria...Mahakama na sheria za nchi pekee ndizo zina haki ya kuamua hatma....

Kwa waachiwe tu kwasababu CDM wametoa sharti hata kama kweli wanamakosa kisheria?...

Binafsi nafikiri la msingi ni kuomba na kushinikiza keso zao zisomwe haraka maamuzi yatoke..

Kukaa chini kungeweza pia kutoa picha na mwanga wa baadhi ya mambo ambayo yangesaidia hizi kezi zisiwepo na hata walio mahabusu kesi zao zisomwe haraka haki itendeke..
 
Back
Top Bottom