Nchi 10 za Afrika zenye huduma bora za Polisi, Tanzania haipo

Ila haishangazi sana kama TZ ingekuwepo maana dunia yote imemeng'enyuka hata tuzo za udaktari kwa viongozi wetu zinatoka huko ughaibuni huku sisi wahusika tukishangaa wametuzwaje!
 
police wengi tz wanapenda sana fedha kuliko utu sijui nini? Yaani polisi wengi bongo kiualisia are criminals in police uniforms ingawa wapo wazuri, lakini walio wengi ukiingia kwenye 18 zao utaichukia ccm
Polisi bongo wakijuwa una mpunga lazima waje wakutemeshe

Ova πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ polisi
 
Tanzania wapo katika mambo ya Engonga Batasari kasoro record label ndo amna amna
 
11. Namibia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…