Nchi 10 zenye bei ghali zaidi ya umeme wa majumbani barani Afrika

Tanzania ni Shs 357 ambayo ni dola 0.15 kwa kilowatt hour moja (unit) mbona haijawekwa hapo?
Mimi mwenyewe nashanga ccm ya samia ni genge la wahuni kamili...sasa kama sa100 hiki ni kipindi cha kwanza cha uongozi wake anafanya ovyo namna hii itakuwaje akipsta kipindi cha pili ???maana viongozi wengi ujitaidi kufanya vizuri kipindi cha kwanza ila cha pili huwa ni maafa wanafanya ushenziii wote dhidi ya taifa
 
Samia anafanya vizuri mbona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…