Umenoa, hii ni thead ya uchawi sana. 😀 joto la jiwe nakuona jombaa acha kupita kimya kimya.Hi ni thread ya ujinga sana.
Bila kuiona Nigeria na Congo DR siwezi nikakuelewa.
Ipo jombaa, kwenye sayansi ya kiafrika Tz na Congo ni mapacha bana. 🙂Ah !, kumbe Congo ipo.
No 20Nigeria ??
Togo na Benin niliwasahauKama Togo na Benin hawapo hiyo list ni batili. Wale uchawi wanauza sokoni kabisa tena hadharani mchana kweupe
Akodessawa Fetish Market - Wikipedia
What is Voodoo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Uwe unasoma vizuri na sio kukurupuka tu kama kichaa , ndio maana huwa mnafeli kijinga mitihani, wapi hapo umeona Tanzania ni ya Pili????