Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
Bila Nigeria hii list ni ya uongo [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya
Umesahau nchi Moja nayo ni Nigeria.
List ya mchongo hiieti NIGERIA hamna
Bila naija iyo list ni fakeNigeria uchawi wao huwa kwenye maigizo ya movies na ndio hufanya waonekane kama taifa la kishirikina, ila wale ni magwiji kwenye utapeli, ndio fani au sifa wanayofahamika nayo hata Ulaya ukimtajia mzungu kwamba wewe Mnijeria, mara moja anakua macho na makini kwenye kila utakachomwambia.
Nigerianaija??!!, au Niger ??!
Fake,unaiachaje Nigeria?Nigeria ??
Marais wengi ni wachawi konkodi.The late president Jomo kenyatta was not only kenya political leader but also kenya witchcraft leader.
Evidence, go and read his book; I see mount Kenya.
Marais wengi ni wachawi konkodi.
Hata samia ni mchawi pia.Kwa wengine sina ushahidi ila kwa Jomo kenyatta ushahidi upo ndani ya kitabu chake; "I see mount Kenya".
Ni hatari sana kuwa na Rais mchawi.Kwa wengine sina ushahidi ila kwa Jomo kenyatta ushahidi upo ndani ya kitabu chake; "I see mount Kenya".
The late president Jomo kenyatta was not only kenya political leader but also kenya witchcraft leader.
Evidence, go and read his book; I see mount Kenya.
Samia ni mchawi kabisa wala si uongoHata samia ni mchawi pia.
Mchawi gwijiSamia ni mchawi kabisa wala si uongo
Nimeshangaa,yaani Tz tumeipita hadi Nigeria wakati manabii wetu wanakwenda kuchota miujiza hukoUmesahau nchi Moja nayo ni Nigeria.