pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Wabongo leo lazima watatafta namba za simu za walofanya utafiti huo, kisha waanze kulia ni hujuma, inakuwaje tz haijawai nambari moja? 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua ni mchawi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Uwe unasoma vizuri na sio kukurupuka tu kama kichaa , ndio maana huwa mnafeli kijinga mitihani, wapi hapo umeona Tanzania ni ya Pili????
Haya nimerudi, lakini kifupi ni hivi, uchawi ni sawa na rushwa. Mtoa rushwa na mpokea rushwa wote ni wala rushwa. Hivyo mtoa huduma ya uchawi na mtumia huduma ya uchawi wote ni washirikina.Oya yakhe! Sisi ni wateja tu, nyie ndio viwanda kabisa hadi dunia inawafahamu. Kwanza kipindi cha kampeni ndio albino wanakipata pata aise, wananyofolewa viungo bila huruma Tanzania yote, na kwamba inatendeka sana wakati wa kampeni za uongozi wa nchi, ina maana ni shughuli inayofanywa na viongozi wenu.
Anyway nia haikua kuelekeza kidole, maana hili tatizo lipo Afrika yote, ni aibu sana hata SA ambayo tulitegemea ituongoze kwenda kwenye first world na wao wanatajwa kwenye upumbavu huu. Dark continent with dark people in darkness.....
Haya nimerudi, lakini kifupi ni hivi, uchawi ni sawa na rushwa. Mtoa rushwa na mpokea rushwa wote ni wala rushwa. Hivyo mtoa huduma ya uchawi na mtumia huduma ya uchawi wote ni washirikina.
Nishawahi kuishi jirani na wasenegal maeneo flan,hawa jamaa wanaona fahari sana kuwa mchawi,nashangaa kwenye hiyo list haipo!Nigeria
Niger
Ghana
Gambia
Libya
Kenya
Swaziland
Zaire
Congo
Hata mimi najiuliza hivyo?DRC kwanini wasiloge waasi ili wawe na amani.
Nimesahau mkuuNishawahi kuishi jirani na wasenegal maeneo flan,hawa jamaa wanaona fahari sana kuwa mchawi,nashangaa kwenye hiyo list haipo!
Umekurupuka mkuu,hiyo list kukosekana kwa senegal,nigeria na india inaonyesha ni jinsi gani ulivyokurupukaHehehe! Bonyeza link uone zimepangwa kuanzia namba 15 hadi moja ya chini.
Nimekaa romania mji unaoitwa constanta kwa miezi 7,mkuu hiyo njaa yake ni afadhali ya bongo!i love Romania. i have a passport. soon will be in that country. nyota yangu nitaijua tu kule
Ha haaaaa! Nguvu nyingi wakati nimeandika aya moja yenye maneno kama 30 tu?Hehehe!! Sielewi mbona unatumia nguvu nyingi kujitetea hivyo, nilishakubali kwamba Afrika tumelaaniwa. Kwa kifupi ninaelewa kahaba na mnunuzi wote malaya hakuna wa kumcheka mwengine. Hili la ushirikina linaniuma Afrika yyangu hii, japo nyie bana kuchinja albino hapo huwa mnapitiliza, bora mngeishia kuyafanya kama wenzenu Wanigeria na kwengineko, lakini kusaka watoto albino na kuwachinja kinyama wakati wa kampeni ili viongozi washinde kwa kura, ni aibu tupu.
Ushirikina umeghubika hili bara lote, watu hawataki kuanza biashara bila kupitia kwa mganga. Hapo Bongo nilishangaa kampuni ya kiteknolojia, yaani ICT lakini mmiliki anaamini kwa haya mambo, alikua mama fulani, yaani asubuhi na mapema anaamka na kupasua nazi kwenye milango ya ofisi huku akifoka maneno ya kiajabu ajabu. Nilikua nimealikwa kuwasaidia kwenye masuala ya kiufundi lakini vioja vya huyo mimi viliniacha hoi bila kujua aidha nimcheke au nimhuzunikie.
Hatimaye alifunga biashara kwa kufilisika, ilikua kampuni ya kusambaza huduma za internet na simu, yaani a very advanced infrastructure lakini mtihani.