Nchi 15 duniani zinazoogopwa kwa uchawi na ushirikina


Sijaelewa hilo la Wachina maana ndio wanajenga miundo mbinu ambayo haijawahi kutokea duniani, na wana historia kali sana tangu enzi za great wall. Hebu ona huu mkanda unaopitia Kenya, wao ndio watajenga




Daraja baharini, wamejenga wao

 
Sijaelewa hilo la Wachina maana ndio wanajenga miundo mbinu ambayo haijawahi kutokea duniani, na wana historia kali sana tangu enzi za great wall. Hebu ona huu mkanda unaopitia Kenya, wao ndio watajenga




Daraja baharini, wamejenga wao

Ha haaaaa, we jamaa bwana! Hapo lengo ni kupost tu huo mkanda kwa kuwa umependekezwa jupitia Kenya[emoji23] [emoji23]

Wakenya bwana
 
takwimu za uongo mkuu, ,SENEGAL,,NIGERIA,,MADAGASCAR,,,hazipo,,,?
 
Kumbe na sisi kwenye mambo ya vizizi ni wazima sana!
Nimeipenda hiyo avatar yako. Hivi niulize vile vijitabu vya 'collection' ya vibonzo vya kina Madenge na mademu wengine wenye mawowowo kutoka sayari nyingine bado yapo? Nilivisoma sana enzi zile.
 
Uwe unasoma vizuri na sio kukurupuka tu kama kichaa , ndio maana huwa mnafeli kijinga mitihani, wapi hapo umeona Tanzania ni ya Pili????
Safi sana mkuuu kwel hapo ndomana tunasema watu wanafeli so kwamba hawajui ilaa hawafati maelekezoo
 
Staki kuamni kama nigeria haipo na haijashika nafasi ya kwanza kweny list
Pamoja na ukweli kwamba sijaingia kwenye vyanzo mbalimbali kujiridhisha na orodha hii, lakini sitaki kuamini kwamba Nigeria lazima iwemo. Niliangalia miaka 2 iliyopita kwa nchi za Afrika Tz ilikuwa ya 1, Nigeria ilikuwa mwishoni-mwishoni. Nataka nikujulishe kuwa jamii inavyopiga hatua mbele kielemu mambo ya imani za kishirikina yanazidi kupungua. Nigeria wako mbali sana kielimu ukilinganisha na nchi nyingi za kiafrika. Walikuwa na vyuo vikuu zaidi ya 10 tangu miaka ya 70 ndiyo maana graduates wengi walianza kukosa ajira na kujaa mitaani tangu miaka hiyo. Wamejaa pia mitaani kwenye miji mbalimbali Ulaya, Marekani nk na wengi wao ni graduates. Tatizo la kukosa ajira wakiwa wasomi wengi wao waligeukia ajira kwenye tasnia ya michezo na sanaa/usanii. Waliamua kutumia elimu waliyoipata vyuo vikuu katika maeneo haya wakafaulu hata kulisoma soko ili kunufaika na kazi zao. Kwenye soko la Afrika, waligundua wateja wengi bado elimu iko chini kiasi kwamba wakitengeneza filamu zinazohusisha mambo ya kishirikina watapata soko kubwa maana ndiyo kitu kinachoabudiwa hasa kwenye nchi maskini. Ndiyo maana wakajikita kuandaa filamu za mapenzi na uchawi wakati kiuhalisia wao sio wachawi kwa kiwango hicho bali wanatengeneza filamu kwa kutumia elimu waliyonayo ili ajira hiyo iwalipe. Hali hii ilifanya mwenzangu na mimi tuamini kuwa Wanigeria WACHAWI! Kuanzia miaka ya mwanzoni mwa 90 Wanigeria waliweza kuandaa filamu za uchawi na mapenzi kwa kutumia program za kompyuta na kuwaaminisha Wadanganyika kuwa uchawi wanaouona kwenye luninga ni wa kweli kumbe ni utaalamu unaotumia kwenye program hizo ambazo kwa umbumbumbu wa watanzania tukadhani ni uchawi unaofanyika na kutuaminisha kuwa Wanigeria ni wachawi sana. Mpaka sasa Wanigeria wamejiingiza kwenye utapeli wa aina nyingi ukiwemo wa kutumia mitandao na wanaongoza ktk kukimbilia Ulaya kwa njia haramu au halali lkn si uchawi, yote haya yanatokana na vijana wengine kupata elimu (ya huu) lkn wakakosa ajira.
 
Kenya ipo wapi na ni wateja wakuu wa Waganga wa Tanzania.
 

Cc Toyota escudo
Hii analysis ni Kali
 
Cc Toyota escudo
Hii analysis ni Kali
Yaani Tanzania tumo katika top 15? Na hii ndio sababu tupo kama tulivyo! Nimeona mara kadhaa watu huuliza kwa mshangao nchi hii nani katuroga? Hakuna alieturoga tatizo ni kuaminiamini zaidi vitu hewa, simulizi, hadithi, umbea, uchonganishi, fitna, kuogopa wafu kuliko walio hai na kuendekeza hofu zaidi kuliko uthubutu. Hivyo vyote vimechangia wengi kuamini na kuishi kishirikina. Tuamke jamani!
 
Cc Toyota escudo
Hii analysis ni Kali
Msee analysis ya kayeba sijaikataa na nimempa like ya nguvu. Hata hivyo kama umenifuatilia nimesema haya mambo hayana vigezo maalum vya vinavyotumika kufanya ranking.

Na nikaenda mbali zaidi nkakwambia kuwa suala la mauaji ya albino ndo lilituchafua sana maana lilihusishwa na ushirikina, sikimbuki kama kabla ya hapo kulikuwa na hizi story.

Hoja yetu kubwa ilibaki kati ya ke na tz, kuwa mmoja ni mganga na mwingine ni mteja.

Lakini mwisho tumekibaliana kuwa bara letu hili bado imani hizi zinatutafuna sana. It's a dark continent na ushirikina ni moja ya darkness ya hili bara.
 
Tena unatumia nguvu nyingi kueleza, nilikuita usome tu na kudadavua, sikusema hukubaliani.
 
Umesahau nchi Moja nayo ni Nigeria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…