Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
-
- #61
Mkuu ni kweli watu ni wazalendo ila watu wenye IQ ndogo ndio kikwazo Cha maendeleo ya mtu mmoja mmoja nchini na suluhisho la matatizo yetuKah,
watu wamechafukwa yaani kila mtu anashukuru kuiona tz, wengine wanaona bado hata ilitakiwa ishike mkia kabisa π€£π€£π€£
Kuweni wazalendo mazee hawa mabeberu wanaandaa hizi ripoti kimkakati na hizi figisu ni za kuifanya Tanzania isiwe dona kantri.π€£π€£π€£
Ni kweli kamandaMkuu ni kweli watu ni wazalendo ila watu wenye IQ ndogo ndio kikwazo Cha maendeleo ya mtu mmoja mmoja nchini na suluhisho la matatizo yetu
πππNisingeona Tanzania mali Congo burundi ningeikataa orodha
π€£π€£Namba 28 nimeiona nimeridhika na hii taarifa ama utafiti wako.
Ni sawa tu kwa sababu hata wewe ni uhahidi tosha kuwa una IQ ndogo mno. Umeandika tuhuma kwa nchi kadhaa hapa kuwa na IQ ndogo lakini hata hujaeleza standard IQ ni kiasi gani? Blah blah tu.Habari wadau wa JamiiForums,
Leo nimekuja na mada nyeti kidogo, lakini yenye umuhimu mkubwa wa kujadiliwa. Mara nyingi tunazungumzia mataifa yenye watu wenye IQ kubwa, lakini je, umewahi kujiuliza ni nchi gani zina viwango vya chini vya IQ duniani?
IQ (Intelligence Quotient) ni kipimo cha uwezo wa mtu kufikiri, kutatua matatizo, na kuelewa mambo kwa haraka. Ingawa IQ inaweza kuathiriwa na mambo kama lishe, mfumo wa elimu, afya ya akili, na mazingira ya kijamii, bado kuna tofauti kubwa kati ya nchi moja na nyingine.
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, zipo nchi ambazo kwa wastani zina viwango vya chini vya IQ. Baadhi ya sababu zinazochangia hali hii ni pamoja na:
- Elimu duni: Mifumo duni ya elimu huathiri uwezo wa kufikiri kwa kina.
- Lishe mbaya utotoni: Utapiamlo huathiri maendeleo ya ubongo wa mtoto.
- Mazoea ya kijamii na utamaduni: Baadhi ya jamii hazihamasishi kufikiri kwa kina au kupenda kusoma.
- Afya ya akili na magonjwa: Magonjwa ya kurithi au mazingira yenye uchafu yanaweza kupunguza uwezo wa ubongo.
Orodha ya Nchi 30 Zenye Wastani Mdogo wa IQ
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, hizi ni nchi 30 zinazokadiriwa kuwa na viwango vya chini vya IQ duniani:
1. Equatorial Guinea β IQ 59
2. Sierra Leone β IQ 60
3. Liberia β IQ 62
4. Nepal β IQ 63
5. Guinea-Bissau β IQ 64
6. Haiti β IQ 65
7. Chad β IQ 65
8. Mali β IQ 66
9. Burkina Faso β IQ 67
10. Mozambique β IQ 67
11. Niger β IQ 68
12. Angola β IQ 69
13. Burundi β IQ 69
14. Congo (DRC) β IQ 70
15. Madagascar β IQ 70
16. Comoros β IQ 71
17. Gambia β IQ 72
18. Togo β IQ 72
19. Lesotho β IQ 72
20. Zambia β IQ 73
21. Malawi β IQ 74
22. Rwanda β IQ 74
23. Senegal β IQ 74
24. Djibouti β IQ 74
25. South Sudan β IQ 74
26. Ethiopia β IQ 75
27. Cameroon β IQ 75
28. Tanzania β IQ 75
29. Uganda β IQ 76
30. Pakistan β IQ 76
(Sources ya taarifa hii: World Population Review, IQ Research Reports)
Kwa mtazamo wa orodha hii, ni wazi kwamba nchi nyingi zilizo na IQ ya chini zinapatikana Africa na Asia. Je, ni kwa nini hali hii ipo zaidi kwenye mabara haya?
- Je, IQ ni kipimo sahihi cha akili au kuna vipimo vingine bora zaidi?
- Je, mifumo ya elimu katika nchi hizi inaweza kuboreshwa ili kuinua viwango vya IQ?
- Je, serikali zinaweza kufanya nini kupunguza pengo hili la akili?
Aisee mada nyeti, lakini ni muhimu tujadili ili kuelewa changamoto zinazokumba nchi hizi na kuona namna ya kuzitatua. Kumbuka, IQ sio kipimo pekee cha mafanikio maishani, lakini inaweza kuathiri maendeleo ya nchi kwa namna fulani.
Wadau wa JF, naomba mawazo yenu! Je, unakubaliana na takwimu hizi? Unadhani kuna sababu nyingine kubwa zinazochangia viwango vya chini vya IQ katika nchi hizi?
Kwa wale wanaopenda research, nawashauri wachimbe zaidi kwenye mada hii, waangalie vyan
zo vya data, na wajaribu kuelewa kwa kina sababu halisi
zinazochangia tofauti za IQ duniani.
Nawakilisha!
Tujadili kwa hoja na kiakili!
Kwa mada nyingi za huku Jff....unaonaje mdau....ni kweli ama sio kweli?Habari wadau wa JamiiForums,
Leo nimekuja na mada nyeti kidogo, lakini yenye umuhimu mkubwa wa kujadiliwa. Mara nyingi tunazungumzia mataifa yenye watu wenye IQ kubwa, lakini je, umewahi kujiuliza ni nchi gani zina viwango vya chini vya IQ duniani?
IQ (Intelligence Quotient) ni kipimo cha uwezo wa mtu kufikiri, kutatua matatizo, na kuelewa mambo kwa haraka. Ingawa IQ inaweza kuathiriwa na mambo kama lishe, mfumo wa elimu, afya ya akili, na mazingira ya kijamii, bado kuna tofauti kubwa kati ya nchi moja na nyingine.
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, zipo nchi ambazo kwa wastani zina viwango vya chini vya IQ. Baadhi ya sababu zinazochangia hali hii ni pamoja na:
- Elimu duni: Mifumo duni ya elimu huathiri uwezo wa kufikiri kwa kina.
- Lishe mbaya utotoni: Utapiamlo huathiri maendeleo ya ubongo wa mtoto.
- Mazoea ya kijamii na utamaduni: Baadhi ya jamii hazihamasishi kufikiri kwa kina au kupenda kusoma.
- Afya ya akili na magonjwa: Magonjwa ya kurithi au mazingira yenye uchafu yanaweza kupunguza uwezo wa ubongo.
Orodha ya Nchi 30 Zenye Wastani Mdogo wa IQ
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, hizi ni nchi 30 zinazokadiriwa kuwa na viwango vya chini vya IQ duniani:
1. Equatorial Guinea β IQ 59
2. Sierra Leone β IQ 60
3. Liberia β IQ 62
4. Nepal β IQ 63
5. Guinea-Bissau β IQ 64
6. Haiti β IQ 65
7. Chad β IQ 65
8. Mali β IQ 66
9. Burkina Faso β IQ 67
10. Mozambique β IQ 67
11. Niger β IQ 68
12. Angola β IQ 69
13. Burundi β IQ 69
14. Congo (DRC) β IQ 70
15. Madagascar β IQ 70
16. Comoros β IQ 71
17. Gambia β IQ 72
18. Togo β IQ 72
19. Lesotho β IQ 72
20. Zambia β IQ 73
21. Malawi β IQ 74
22. Rwanda β IQ 74
23. Senegal β IQ 74
24. Djibouti β IQ 74
25. South Sudan β IQ 74
26. Ethiopia β IQ 75
27. Cameroon β IQ 75
28. Tanzania β IQ 75
29. Uganda β IQ 76
30. Pakistan β IQ 76
(Sources ya taarifa hii: World Population Review, IQ Research Reports)
Kwa mtazamo wa orodha hii, ni wazi kwamba nchi nyingi zilizo na IQ ya chini zinapatikana Africa na Asia. Je, ni kwa nini hali hii ipo zaidi kwenye mabara haya?
- Je, IQ ni kipimo sahihi cha akili au kuna vipimo vingine bora zaidi?
- Je, mifumo ya elimu katika nchi hizi inaweza kuboreshwa ili kuinua viwango vya IQ?
- Je, serikali zinaweza kufanya nini kupunguza pengo hili la akili?
Aisee mada nyeti, lakini ni muhimu tujadili ili kuelewa changamoto zinazokumba nchi hizi na kuona namna ya kuzitatua. Kumbuka, IQ sio kipimo pekee cha mafanikio maishani, lakini inaweza kuathiri maendeleo ya nchi kwa namna fulani.
Wadau wa JF, naomba mawazo yenu! Je, unakubaliana na takwimu hizi? Unadhani kuna sababu nyingine kubwa zinazochangia viwango vya chini vya IQ katika nchi hizi?
Kwa wale wanaopenda research, nawashauri wachimbe zaidi kwenye mada hii, waangalie vyan
zo vya data, na wajaribu kuelewa kwa kina sababu halisi
zinazochangia tofauti za IQ duniani.
Nawakilisha!
Tujadili kwa hoja na kiakili!
Bro πumeumia sana ila Cha kushangaza hizo ni statistics na zinatolewa na world statistics rankNi sawa tu kwa sababu hata wewe ni uhahidi tosha kuwa una IQ ndogo mno. Umeandika tuhuma kwa nchi kadhaa hapa kuwa na IQ ndogo lakini hata hujaeleza standard IQ ni kiasi gani? Blah blah tu.
π€£π€£π€£Ficheni hii wakenya wasiione
Ni kweli mkuuKwa mada nyingi za huku Jff....unaonaje mdau....ni kweli ama sio kweli?
sasa kwenye hiyo listi ya mataburararasa, hao Pakistan na Uganda si ndo ilibidi wawe vinara kwa kuwa na IQ kubwa zaidi ya wengine ya 76 hlf sisi ndio tuwe wa pili kwa IQ kubwa ya 75 kati ya hao 30, wewe umeandika sisi wa 28?ππnaona umereverse au mimi ndo sijaelewa?Habari wadau wa JamiiForums,
Leo nimekuja na mada nyeti kidogo, lakini yenye umuhimu mkubwa wa kujadiliwa. Mara nyingi tunazungumzia mataifa yenye watu wenye IQ kubwa, lakini je, umewahi kujiuliza ni nchi gani zina viwango vya chini vya IQ duniani?
IQ (Intelligence Quotient) ni kipimo cha uwezo wa mtu kufikiri, kutatua matatizo, na kuelewa mambo kwa haraka. Ingawa IQ inaweza kuathiriwa na mambo kama lishe, mfumo wa elimu, afya ya akili, na mazingira ya kijamii, bado kuna tofauti kubwa kati ya nchi moja na nyingine.
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, zipo nchi ambazo kwa wastani zina viwango vya chini vya IQ. Baadhi ya sababu zinazochangia hali hii ni pamoja na:
- Elimu duni: Mifumo duni ya elimu huathiri uwezo wa kufikiri kwa kina.
- Lishe mbaya utotoni: Utapiamlo huathiri maendeleo ya ubongo wa mtoto.
- Mazoea ya kijamii na utamaduni: Baadhi ya jamii hazihamasishi kufikiri kwa kina au kupenda kusoma.
- Afya ya akili na magonjwa: Magonjwa ya kurithi au mazingira yenye uchafu yanaweza kupunguza uwezo wa ubongo.
Orodha ya Nchi 30 Zenye Wastani Mdogo wa IQ
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, hizi ni nchi 30 zinazokadiriwa kuwa na viwango vya chini vya IQ duniani:
1. Equatorial Guinea β IQ 59
2. Sierra Leone β IQ 60
3. Liberia β IQ 62
4. Nepal β IQ 63
5. Guinea-Bissau β IQ 64
6. Haiti β IQ 65
7. Chad β IQ 65
8. Mali β IQ 66
9. Burkina Faso β IQ 67
10. Mozambique β IQ 67
11. Niger β IQ 68
12. Angola β IQ 69
13. Burundi β IQ 69
14. Congo (DRC) β IQ 70
15. Madagascar β IQ 70
16. Comoros β IQ 71
17. Gambia β IQ 72
18. Togo β IQ 72
19. Lesotho β IQ 72
20. Zambia β IQ 73
21. Malawi β IQ 74
22. Rwanda β IQ 74
23. Senegal β IQ 74
24. Djibouti β IQ 74
25. South Sudan β IQ 74
26. Ethiopia β IQ 75
27. Cameroon β IQ 75
28. Tanzania β IQ 75
29. Uganda β IQ 76
30. Pakistan β IQ 76
(Sources ya taarifa hii: World Population Review, IQ Research Reports)
Kwa mtazamo wa orodha hii, ni wazi kwamba nchi nyingi zilizo na IQ ya chini zinapatikana Africa na Asia. Je, ni kwa nini hali hii ipo zaidi kwenye mabara haya?
- Je, IQ ni kipimo sahihi cha akili au kuna vipimo vingine bora zaidi?
- Je, mifumo ya elimu katika nchi hizi inaweza kuboreshwa ili kuinua viwango vya IQ?
- Je, serikali zinaweza kufanya nini kupunguza pengo hili la akili?
Aisee mada nyeti, lakini ni muhimu tujadili ili kuelewa changamoto zinazokumba nchi hizi na kuona namna ya kuzitatua. Kumbuka, IQ sio kipimo pekee cha mafanikio maishani, lakini inaweza kuathiri maendeleo ya nchi kwa namna fulani.
Wadau wa JF, naomba mawazo yenu! Je, unakubaliana na takwimu hizi? Unadhani kuna sababu nyingine kubwa zinazochangia viwango vya chini vya IQ katika nchi hizi?
Kwa wale wanaopenda research, nawashauri wachimbe zaidi kwenye mada hii, waangalie vyan
zo vya data, na wajaribu kuelewa kwa kina sababu halisi
zinazochangia tofauti za IQ duniani.
Nawakilisha!
Tujadili kwa hoja na kiakili!
Umedhihirisha unachosema maana wenye IQ kubwa mambo mpira siyo kipaumbele kwao.Tanzania 75 wametoa wapi mazee mbona tunaibiana hawa wanaogoma mechi kwa kupanga...
Mimi nilidhani ungekuja na HOJA kinzani na uzi, badala na wewe kujikita kwenye uzi, umejikita kwa mleta UZI, huoni kama una prove alicho kiandika kutuhusu wabongo na bongo yetu?Kwa mpumbavu Kama wewe hujui hata maana ya IQ and the basis of it
Hujui hata inajengwa na framework gani
Anyways
Kiazi ni kiazi tu unaangalia thr list na hujagundua ni Africa predominantly
Africa na ujinga huwezi kuwatenganisha. Nashangaa kuwakosa wa south africa.Habari wadau wa JamiiForums,
Leo nimekuja na mada nyeti kidogo, lakini yenye umuhimu mkubwa wa kujadiliwa. Mara nyingi tunazungumzia mataifa yenye watu wenye IQ kubwa, lakini je, umewahi kujiuliza ni nchi gani zina viwango vya chini vya IQ duniani?
IQ (Intelligence Quotient) ni kipimo cha uwezo wa mtu kufikiri, kutatua matatizo, na kuelewa mambo kwa haraka. Ingawa IQ inaweza kuathiriwa na mambo kama lishe, mfumo wa elimu, afya ya akili, na mazingira ya kijamii, bado kuna tofauti kubwa kati ya nchi moja na nyingine.
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, zipo nchi ambazo kwa wastani zina viwango vya chini vya IQ. Baadhi ya sababu zinazochangia hali hii ni pamoja na:
- Elimu duni: Mifumo duni ya elimu huathiri uwezo wa kufikiri kwa kina.
- Lishe mbaya utotoni: Utapiamlo huathiri maendeleo ya ubongo wa mtoto.
- Mazoea ya kijamii na utamaduni: Baadhi ya jamii hazihamasishi kufikiri kwa kina au kupenda kusoma.
- Afya ya akili na magonjwa: Magonjwa ya kurithi au mazingira yenye uchafu yanaweza kupunguza uwezo wa ubongo.
Orodha ya Nchi 30 Zenye Wastani Mdogo wa IQ
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, hizi ni nchi 30 zinazokadiriwa kuwa na viwango vya chini vya IQ duniani:
1. Equatorial Guinea β IQ 59
2. Sierra Leone β IQ 60
3. Liberia β IQ 62
4. Nepal β IQ 63
5. Guinea-Bissau β IQ 64
6. Haiti β IQ 65
7. Chad β IQ 65
8. Mali β IQ 66
9. Burkina Faso β IQ 67
10. Mozambique β IQ 67
11. Niger β IQ 68
12. Angola β IQ 69
13. Burundi β IQ 69
14. Congo (DRC) β IQ 70
15. Madagascar β IQ 70
16. Comoros β IQ 71
17. Gambia β IQ 72
18. Togo β IQ 72
19. Lesotho β IQ 72
20. Zambia β IQ 73
21. Malawi β IQ 74
22. Rwanda β IQ 74
23. Senegal β IQ 74
24. Djibouti β IQ 74
25. South Sudan β IQ 74
26. Ethiopia β IQ 75
27. Cameroon β IQ 75
28. Tanzania β IQ 75
29. Uganda β IQ 76
30. Pakistan β IQ 76
(Sources ya taarifa hii: World Population Review, IQ Research Reports)
Kwa mtazamo wa orodha hii, ni wazi kwamba nchi nyingi zilizo na IQ ya chini zinapatikana Africa na Asia. Je, ni kwa nini hali hii ipo zaidi kwenye mabara haya?
- Je, IQ ni kipimo sahihi cha akili au kuna vipimo vingine bora zaidi?
- Je, mifumo ya elimu katika nchi hizi inaweza kuboreshwa ili kuinua viwango vya IQ?
- Je, serikali zinaweza kufanya nini kupunguza pengo hili la akili?
Aisee mada nyeti, lakini ni muhimu tujadili ili kuelewa changamoto zinazokumba nchi hizi na kuona namna ya kuzitatua. Kumbuka, IQ sio kipimo pekee cha mafanikio maishani, lakini inaweza kuathiri maendeleo ya nchi kwa namna fulani.
Wadau wa JF, naomba mawazo yenu! Je, unakubaliana na takwimu hizi? Unadhani kuna sababu nyingine kubwa zinazochangia viwango vya chini vya IQ katika nchi hizi?
Kwa wale wanaopenda research, nawashauri wachimbe zaidi kwenye mada hii, waangalie vyan
zo vya data, na wajaribu kuelewa kwa kina sababu halisi
zinazochangia tofauti za IQ duniani.
Nawakilisha!
Tujadili kwa hoja na kiakili!
Why niende nje ya Uzi?Mimi nilidhani ungekuja na HOJA kinzani na uzi, badala na wewe kujikita kwenye uzi, umejikita kwa mleta UZI, huoni kama una prove alicho kiandika kutuhusu wabongo na bongo yetu?