Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati kufua vyuma unaona dili Wazungu walikuwa wanazunguka dunia, wanatengeneza bunduki, wanajua kusoma na kuandika. Walikuwa na akili ya kukuletea dini zao na kukushawishi kuacha kuabudu mizimu(literally hilo likiwezekana kwa kuwa wamewazidi IQ wabantu), walikuwa tayari na developed communities.Hii elimu haiendani na mwafrika ,wewe bishana ila ni ukweli ..
Kabla ya hapo kulikuwa na wataalamu wa kufua vyuma na shughuli nyingine ,kwa sasa wako wapi?
Watu walikuwa wanajua kujenga majengo kama yale mapyramid na ngome nyingine ila wametolewa huko wameletwa kwenye mfumo mmoja.
Kiufupi hii sio elimu inayowafaa waafrika zaidi ya kuendelea kutawaliwa kitamaduni.
Wazigua wanatengeneza bunduki mpaka kesho na zipo jamii nyingine nenda kaulize.Wakati kufua vyuma unaona dili Wazungu walikuwa wanazunguka dunia, wanatengeneza bunduki, wanajua kusoma na kuandika. Walikuwa na akili ya kukuletea dini zao na kukushawishi kuacha kuabudu mizimu(literally hilo likiwezekana kwa kuwa wamewazidi IQ wabantu), walikuwa tayari na developed communities.
Probably bila elimu yao mpaka leo tungekuwa porini tukifua vyuma na kuwinda wanyama kwa ajili ya chakula, hii speed ya maendeleo duniani, it's too fast kwa uwezo wa akili za Kiafrika zenye IQ ndogo.
Kwa wale mnaojifanya(hypocritically so to say) elimu ya Kizungu haifai you gotta know that you're free to go to the jungle and live your primitive life ambayo mnaishabikia.
Mapori ni mengi you can go with your family na muendelee kujielimisha na kunufaika na elimu yenu ya kibantu, achana na hizi Hi Tech gadgets unazotumia hata kupost vitu humu JF ukajikite kwenye kufua vyuma na kuwinda wanyama.
Tanzania shida ni viongozi mkuu,usiangalie tu hili la mechi,Mbona yanaharibiwa mengi tu.Tanzania 75 wametoa wapi mazee mbona tunaibiana hawa wanaogoma mechi kwa kupanga...
Hata hivyo wameipa nyingi sana,kusifia utengenezaji wa bunduki ni UMAMA.Ningestaajabu TZ isingekuwepo