M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Wakenya na Waganda wanawasifu Watanzania kwa lipi?Ukiwa Tanzania wabongo wanawasifia waganda na wakenya na ukiwa kenya wakenya wanawasifu wabongo na ukiwa Uganda waganda wanawasifu wabbongo
Ukifika Zanzibar wazanzibar wanawasifu wabongo inashangaza
Inaonekana waafrica hawajikubaali
Cha ajabu hata humu JF upo kwa kutumia technology ya Wazungu na elimu ya Wazungu.Hazina maana kila mtu aishi atakavyo ,siku ukifa utajua kuwa kuna IQ au laah.
Kujipa wasiwasi kwa kujilinganisha kwa vigezo vya wazungu ,havina maana yoyote .
Kama nimeweza kuziona habari za Yanga kwenye huu uzi basi naungana na mleta mada.Wana Yanga wanazidi kuipeperusha bendera vyema kimataifa kwenye swala hilo.
Sema kwa hii come back yao ya leo ya kutupostia line up kwenye mechi iliyo hairishwa.
Whusika wanaopanga hizi data za Low IQ wakiwahi kuiona hii mapema inaweza kufanya tupande hadi top 5 kwenye hiyo list.
Kwa hiyo ile ndoto yao ya kuwa top 5 kwenye rank kimataifa naiona ikienda kutimia kwa namna nyingine.
Kwani natumia bure? IQ haikusaidii kitu ,pambana na maisha yako ...Cha ajabu hata humu JF upo kwa kutumia technology ya Wazungu na elimu ya Wazungu.
Bongo lalaBongo land
Kwanini mkuu?Lakini mbona mmewaonea waafrika
Nchi nyingi katika list ni za Afrika au ndio mazamwamwaKwanini mkuu?
Yeah sahihi kabisa mkuuNdugu yangu Davidmmarista namm nitie neno kidogo sana takwimu hizi zipo lakn jua hili yaan Kwann takwimu?
1..kufufisha kizazi kichanga kijue wao ni Bora kuliko sisi na hii mbaya sana inaua ndoto changa za kunyanyua uvimbuzi walio nao
Pia katika vyanzo umetaja hapo mkuu bado nakazia mchango wa Hawa watu
1.serikali za nchi za Africa na ulaya zinachangia sana kuwa na hio kitu yaan kijana amebuni kitu ila ulaya wanapoona kile kitu sharti nchi husika mkataze huyo mtu hivyo yaan serikali yako inakukanya maendeleo yake vuta picha utengenezaji wa gari la maji ,helkopta n.k.
Mbaya zaid mkuu ni hii
1.Kubebwa kwa baadhi ya jamii ya Africa hasa wasomi wanaoonekana ni hatr sana na kutorudishwa kabisa huku ,usisahau kuharibu mfumo wa uzazi wasizae na mwAfrica lengo kizazi chenye sifa kutokea ktk uzao huo kisiwepo .
KUHUSU LA KUFANYA NIACHIE HAPO
Hivi kwa nini hatuwatawala badala yake tukatawaliwa, hii ni kwamba wametuzidi akili(IQ). Kwanini hatukuwafundisha kusoma na kuandika badala yake wao ndiyo wakatufindisha. Vipi hatuwaingiza kwenye dini zetu za asili za kuabudu mizimu badala yake wakatuletea dini zao na tukazimeza jumla jumla bila ya kujiuliza mpaka sasa tunajiona tunazielewa zaidi yao. Kuna nchi za Asia(Hong Kong, Singapore, Taiwan na South Korea) kwenye early sixties zilikuwa chini sana kiuchumi lakini angalia zilipo leo. Sisi Africa more than half a century ya kujitawala wenyewe bado tulalaumu wakoloni kwa jinsi tusivyo na akili, it's likely kama Wazungu wasigekuwa wanaendelea kutuelimisha(tumeshindwa kujielimisha) ingekuwa bado tunaishi maporini na kuvaa magome ya miti na wanawake wangekuwa wanavaa vibwaya tu na matiti njemNchi za watu weusi tu ndio zimebase ktk hilo list batili ambayo nina uhakika imetungwa na mtu mweupe.
Anyway matatizo karibu 90% ya hizo nchi yameletwa na ukoloni na yamesababishwa na ukoloni wa hao hao waliotunga iyo list.
Yaani unamkoloni mtu, unaiba mali zake, unampa elimu ya uongo ya kidini na elimu dunia potofu then unasainisha mikataba ya unyonyaji inayomfunga yeye na vizazi vyake kutotoka ktk huo ukoloni, baadae huyu huyu mtu unakuja kumlaumu kwanini haendelei?.
Siwalaumu sana hawa watu weupe lkn huu mzigo wa lawama haukwepeki kwao, maana wao ndio chanzo cha umasikin Afrika na kila pembe ya dunia ambako wanaoana kuna maslahi yao.
Afrika kinachoturudisha nyuma ni hiyo mifumo ya ukolon ambayo bado imetufunga kusonga mbele kifikra mpaka kiutendajo, mtu anapojaribu kujitoa ktk mifumo hiyo ya ukoloni bado anawindwa na kuonekana adui huku akifanyiwa kila njama za kumuangamiza na kumfanya aonekane mpotoshaji, ili tu kulinda maslahi ya hao wakoloni.
Dini na elimu ndio nguzo kuu ya kumtawala mtu hasa mweusi ili kumuibia na kumpotosha.
IQ ingepimwa kweli kwa mambo ya uhalisia basi sidhani kama hizo nchi zingekosekana ktk ile real top 100 ya wenye IQ kubwa, maana kumtawala mtu kwa zaidi ya miaka 1000 na bado anasurvive si jambo dogo, ingekuwa hao watu weupe wamefanyiwa hili walilofanya kwa mtu mweusi sidhani kama wangesurvive hata kwa nusu karne.
Kwani kama hauitumii bure inaibadili na kuwa si technology ya Wazungu? Hizo pesa zenyewe wana-print Wazungu ndiyo uone ukosefu wa akili wa Waafrika, mifumo yote ni ya Wazungu yaani chochote cha kutumia akili Waafrika ni sifuri.Kwani natumia bure? IQ haikusaidii kitu ,pambana na maisha yako ...
Waafrika walikuwa na teknolojia yao mpaka wakaletewa huu ujinga kwa kukaririsha tamaduni za wazungu ,ona leo unasoma kwa kingereza ili uonekane msomi.
Acha kila mtu aishi mpaka atakapokufa kama ungekuwa na iQ ya kufikiria tu mateso ya binadamu dunia ; utafutaji , matatizo ,na hata kukata tamaa ...Usingethubutu kuzaa mtoto ,kiumbe unayemleta kwenye matatizo hapa duniani.
Kama tunatumia vyao hizo IQ zitatoka wapi? IQ zilikuwa zamani kwa sasa mwafrika hana ubunifu Zaid ya kufuata elimu isiyokuwa asili yake.Kwani kama hauitumii bure inaibadili na kuwa si technology ya Wazungu? Hizo pesa zenyewe wana-print Wazungu ndiyo uone ukosefu wa akili wa Waafrika, mifumo yote ni ya Wazungu yaani chochote cha kutumia akili Waafrika ni sifuri.
Matatizo yako ya utafutaji usidhani kila mtu anayo kwa kiwango chako, hata jinsi wanavyoteseka watoto wako hiyo ni kwako na si kwa kila mtu.
Hiyo elimu ya kipuuzi kwanini unapeleka watoto shule wakajifunze upuuzi?Kama tunatumia vyao hizo IQ zitatoka wapi? IQ zilikuwa zamani kwa sasa mwafrika hana ubunifu Zaid ya kufuata elimu isiyokuwa asili yake.
Kulikuwa na ubunifu kabla ya kuwekwa kwenye elimu ya kipuuzi ,mwanzo wa kuacha kujituma na kuamini kuajiriwa tu.
Afrika Kuna tatizo kubwa.Habari wadau wa JamiiForums,
Leo nimekuja na mada nyeti kidogo, lakini yenye umuhimu mkubwa wa kujadiliwa. Mara nyingi tunazungumzia mataifa yenye watu wenye IQ kubwa, lakini je, umewahi kujiuliza ni nchi gani zina viwango vya chini vya IQ duniani?
IQ (Intelligence Quotient) ni kipimo cha uwezo wa mtu kufikiri, kutatua matatizo, na kuelewa mambo kwa haraka. Ingawa IQ inaweza kuathiriwa na mambo kama lishe, mfumo wa elimu, afya ya akili, na mazingira ya kijamii, bado kuna tofauti kubwa kati ya nchi moja na nyingine.
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, zipo nchi ambazo kwa wastani zina viwango vya chini vya IQ. Baadhi ya sababu zinazochangia hali hii ni pamoja na:
- Elimu duni: Mifumo duni ya elimu huathiri uwezo wa kufikiri kwa kina.
- Lishe mbaya utotoni: Utapiamlo huathiri maendeleo ya ubongo wa mtoto.
- Mazoea ya kijamii na utamaduni: Baadhi ya jamii hazihamasishi kufikiri kwa kina au kupenda kusoma.
- Afya ya akili na magonjwa: Magonjwa ya kurithi au mazingira yenye uchafu yanaweza kupunguza uwezo wa ubongo.
Orodha ya Nchi 30 Zenye Wastani Mdogo wa IQ
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, hizi ni nchi 30 zinazokadiriwa kuwa na viwango vya chini vya IQ duniani:
1. Equatorial Guinea – IQ 59
2. Sierra Leone – IQ 60
3. Liberia – IQ 62
4. Nepal – IQ 63
5. Guinea-Bissau – IQ 64
6. Haiti – IQ 65
7. Chad – IQ 65
8. Mali – IQ 66
9. Burkina Faso – IQ 67
10. Mozambique – IQ 67
11. Niger – IQ 68
12. Angola – IQ 69
13. Burundi – IQ 69
14. Congo (DRC) – IQ 70
15. Madagascar – IQ 70
16. Comoros – IQ 71
17. Gambia – IQ 72
18. Togo – IQ 72
19. Lesotho – IQ 72
20. Zambia – IQ 73
21. Malawi – IQ 74
22. Rwanda – IQ 74
23. Senegal – IQ 74
24. Djibouti – IQ 74
25. South Sudan – IQ 74
26. Ethiopia – IQ 75
27. Cameroon – IQ 75
28. Tanzania – IQ 75
29. Uganda – IQ 76
30. Pakistan – IQ 76
(Sources ya taarifa hii: World Population Review, IQ Research Reports)
Kwa mtazamo wa orodha hii, ni wazi kwamba nchi nyingi zilizo na IQ ya chini zinapatikana Africa na Asia. Je, ni kwa nini hali hii ipo zaidi kwenye mabara haya?
- Je, IQ ni kipimo sahihi cha akili au kuna vipimo vingine bora zaidi?
- Je, mifumo ya elimu katika nchi hizi inaweza kuboreshwa ili kuinua viwango vya IQ?
- Je, serikali zinaweza kufanya nini kupunguza pengo hili la akili?
Aisee mada nyeti, lakini ni muhimu tujadili ili kuelewa changamoto zinazokumba nchi hizi na kuona namna ya kuzitatua. Kumbuka, IQ sio kipimo pekee cha mafanikio maishani, lakini inaweza kuathiri maendeleo ya nchi kwa namna fulani.
Wadau wa JF, naomba mawazo yenu! Je, unakubaliana na takwimu hizi? Unadhani kuna sababu nyingine kubwa zinazochangia viwango vya chini vya IQ katika nchi hizi?
Kwa wale wanaopenda research, nawashauri wachimbe zaidi kwenye mada hii, waangalie vyan
zo vya data, na wajaribu kuelewa kwa kina sababu halisi
zinazochangia tofauti za IQ duniani.
Nawakilisha!
Tujadili kwa hoja na kiakili!
Hii elimu haiendani na mwafrika ,wewe bishana ila ni ukweli ..Hiyo elimu ya kipuuzi kwanini unapeleka watoto shule wakajifunze upuuzi?
Kwanini usiwapeleke porini wapate IQ hiyo ya kiporipori unayoithamini?
Kwanini usiache kutumia smartphone ukarudi msituni kwenye asili ya mtu mweusi ukajikite na IQ ya kula mizizi na matunda ya porini pamoja na kuchimba mitishamba?
Unakashfu maendeleo ya science and technology ambayo ni elimu ya Kizungu lakini unayang'ang'ania maisha ya Kizungu wakati mapori yamejaa you can just go back and live that primitive life which hypocritically you cherish so much.
Your shit proves where TZ stands katika kiwango cha IQ.