Nchi 30 duniani zenye watu wenye IQ ndogo

Wakati kufua vyuma unaona dili Wazungu walikuwa wanazunguka dunia, wanatengeneza bunduki, wanajua kusoma na kuandika. Walikuwa na akili ya kukuletea dini zao na kukushawishi kuacha kuabudu mizimu(literally hilo likiwezekana kwa kuwa wamewazidi IQ wabantu), walikuwa tayari na developed communities.
Probably bila elimu yao mpaka leo tungekuwa porini tukifua vyuma na kuwinda wanyama kwa ajili ya chakula, hii speed ya maendeleo duniani, it's too fast kwa uwezo wa akili za Kiafrika zenye IQ ndogo.
Kwa wale mnaojifanya(hypocritically so to say) elimu ya Kizungu haifai you gotta know that you're free to go to the jungle and live your primitive life ambayo mnaishabikia.
Mapori ni mengi you can go with your family na muendelee kujielimisha na kunufaika na elimu yenu ya kibantu, achana na hizi Hi Tech gadgets unazotumia hata kupost vitu humu JF ukajikite kwenye kufua vyuma na kuwinda wanyama.
 
Wazigua wanatengeneza bunduki mpaka kesho na zipo jamii nyingine nenda kaulize.

Ulitegemea utakuwa na IQ sawa na mtu mweupe kwa kusoma elimu yake ,utabaki kuwa mtumwa wa kutumia mifumo yake milele ili kuleta ushindani tafuta njia yako.

Kila siku mtaonekana mna IQ mpaka mfanane nao ndiyo wanachotaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…