Nchi 8 zenye sheria zinazoshangaza

Nchi 8 zenye sheria zinazoshangaza

Ujerumani. Huruhusiwi kumsalimia mtu huku umeweka mikono mifukoni kwa wenyeji wanasema kuwa ni ishara ya majivuno. CHINA, Huruhusiwi kumaliza chakula chote kwenye chombo ulichotumia na ukimaliza chakula itaonekana hujashiba. Uswisi, hairuhusiwi kupiga honi hata kama ukiwa kwenye foleni maana honi ni kwaajili ya dharura tu kwahiyo ukipiga tu watu wote watatahamaki na kushangaa nini kimetokea. INDIA, Huruhusiwi kuendesha gari kwa mkono wa kushoto maana mkono wa kushoto ni najisi kwao.
 
Ujerumani. Huruhusiwi kumsalimia mtu huku umeweka mikono mifukoni kwa wenyeji wanasema kuwa ni ishara ya majivuno. CHINA, Huruhusiwi kumaliza chakula chote kwenye chombo ulichotumia na ukimaliza chakula itaonekana hujashiba. Uswisi, hairuhusiwi kupiga honi hata kama ukiwa kwenye foleni maana honi ni kwaajili ya dharura tu kwahiyo ukipiga tu watu wote watatahamaki na kushangaa nini kimetokea. INDIA, Huruhusiwi kuendesha gari kwa mkono wa kushoto maana mkono wa kushoto ni najisi kwao.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kweli duniani kuna Mengi.......
 
Ujerumani. Huruhusiwi kumsalimia mtu huku umeweka mikono mifukoni kwa wenyeji wanasema kuwa ni ishara ya majivuno. CHINA, Huruhusiwi kumaliza chakula chote kwenye chombo ulichotumia na ukimaliza chakula itaonekana hujashiba. Uswisi, hairuhusiwi kupiga honi hata kama ukiwa kwenye foleni maana honi ni kwaajili ya dharura tu kwahiyo ukipiga tu watu wote watatahamaki na kushangaa nini kimetokea. INDIA, Huruhusiwi kuendesha gari kwa mkono wa kushoto maana mkono wa kushoto ni najisi kwao.
Nyumbani kwangu.haruhusiwi kuja mgeni ndugu yoyote na kukaa bila kazi zaidi ya wiki moja
 
WAKOREA WAAGIZWA KUNYOA KIDUKU KAMA RAISI WAO KIM


Wanaume Korea Kaskazini wanakabiliwa na mtihani mpya katika taifa lao; wa kunyoa nywele kwa mtindo ulioamuliwa na rais wao.

Watake, wasitake kuanzia sasa kila mwanamume atalazimika kunyoa nywele zake kwa mtindo anaoupenda Rais Kim Jong- un.

Kiongozi huyo kijana, aliyerithi wadhifa huo baada ya kifo cha baba yake, hana mzaha hasa kutokana na nia yake ya kujenga mfumo mpya wa utawala ambao matakwa yake tu ndiyo ya kufuatwa.

Ni wiki mbili sasa tangu serikali ya nchi hiyo kutoa agizo linalowataka wanaume kunyoa kama rais wao, huku wanawake nao wakielekezwa kutengeneza nywele zao kwa aina 18 tofauti na si zaidi ya hapo.

Hilo ni moja ya maagizo yenye utata kuwahi kutolewa chini ya utawala wake, ambapo amekuwa akifanya jitihada za kujijengea mizizi, ikiwamo kuwaondoa na kuwaadhibu wale waliokuwa katika utawala wa baba yake wanaoonekana kutokubaliana na aina yake ya uongozi.

WAKOREA WAAGIZWA KUNYOA KIDUKU KAMA RAISI WAO KIM ~ BONGO POST
Pamoja na vituko vyao but still uchumi wao unakua.

Tusubiri bongo hii ikifika na sisi tunyoe kama mkulu [emoji16] uhalaza style
 
  • Thanks
Reactions: 247
Back
Top Bottom