Pre GE2025 Nchi ambayo habari kubwa ni za kuwania kugombea nafasi za uchaguzi, ni "Failed State". Aibu ya Tanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe huna akili kabisaa,watu kama wewe ndiyo adui wa nchi hii mlipaswaa kuyongwa hadharanii tenaa kwa aibu ila ole wako siku yako inakuja!!!!
 
Ni huzuni kwa kweli.
 
Ikiwa kila mwaka wa bajeti tunasoma ripoti za bajeti zilizopita kutotekelezwa japo kwa 50% basi ujue hayo maendeleo ni mwendo wa konokono.

Ndugu usituhadae na taarifa za kichawa. Tunajua kipimo cha mwendo tunaopaswa kwenda nao lakini hatupigi hatua inavyopaswa.

Hata jitu vivu goigoi laweza kutembea kizembe kuelekea maliwato. Nao ni mwendo
 
ni mambo gani zaidi unayaona kama ashirio kuwa Tanzania inayumba kama nchi?
....CHADEMA kufoka foka na kususa susa

...Ugawiwaji wa Bandari

...Uhujumu wa TANESCO

...kuwakumbatia wawekezaji uchwara n.k
 
Huwezi pata majawabu ya maswali magumu toka kwa wapumbavu.kitendo tu Cha Wazanzibar kufaidika na fursa zilizopo Tanganyika kwa mgongo wa muungano kinaonesha upumbavu wa Watanganyika.

Na wakati huo huo Wazanzibar wakilinda fursa zao wenyewe kuwa faidisha wao,mwisho wameweza kuwatawala wapumbavu Watanganyika.Honorable causa hana Cha kupoteza maana Zanzibar inakimbia kwa mwendo wa kasi,kwa pesa za wapumbavu Watanganyika,acha achume kwa wapumbavu akajenge kwao,ndio maana kwake uchaguzi ni muhimu kuliko maendeleo na hili hata Tony kasha wahi sema "Tatizo kubwa kwa viongozi wa Afrika ni kuwaza uchaguzi kuliko kutatua matatizo ya wananchi"

"Kuna Karne itafika kwa wajinga kuwa viongozi na werevu kuwa wafuasi nadhani Karne yenyewe ndo hii"Shaaban Robert

"Tumeruhusu akili ndogo kutawala akili kubwa"Mchungaji Peter Msigwa
 
Haka kajamaa ni kamasikini ka akili na kipato huenda kanaishi Kwa shemeji,

Wenye akili tunasema Nchi Haina uongozi kuanzia ikulu mpaka Kwa mjumbe wa shina
 
Kwenye siasa ndio kwenye maslahi Bora zaidi. Zamani tulikuwa tunatamani sana kuwa walimu wa vyuo ( maprofesa ) kwa sababu kuna heshima na hadhi kubwa ikifuatiwa na Udaktari, sasa hivi kote huko hakuna issue tena bali ubunge na vyeo vya kisiasa.

TUMEFANYA SIASA NDIO IWE INALIPA ZAIDI KULIKO KADA YEYOTE ILE TANZANIA SASA TUNAANZA KUVUNA TULICHOPANDA.
 
Imagine umeme ni tatizo kubwa sana kwa sasa linakaribia kufilisi nchi lkn kuna watu wanacheka cheka majukwaani wakizungumzia chaguzi sijui za lini shame on you
 
miaka 60+ TANZANIA ina wananchi wanasumbuliwa na njaa kama Wewe,

yaani 60+ bado nchi ina watu wa wenye njaa kichwan !!!!
 
Waafrika wa ngozi nyeusi Bado hawajafikia hatua ya binadamu kamili aliye staarabika.
Bado wana unyani mwingi sana.
Unyani wa kuto jiamini na kuto kuaminiana.
Wanaamini uchawa ndio kufanikiwa.
Uchawa wa kukaa kitako na kuchaguliwa ili walipwe mishahala minono na marupu × 2

Ni EPIDOMIA.
 
unapoteza muda kujadil bajeti, wakati hajui maana ya bajeti!!

yeye anajua zile namba ndo matumizi
 
Nchi ambayo kuwa kiongozi ndio mafanikio makubwa kabisa ya hali ya juu.
 
Tuko mwaka wa uchaguzi, mumekata tamaa na kukosa mgombea wa kushindana na Samia 😆😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…