Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini Hangaya anasimama kuliambia Taifa kuwa uchumi umekua. Umeme anachukulia kama issue ndogo na itapitaImagine umeme ni tatizo kubwa sana kwa sasa linakaribia kufilisi nchi lkn kuna watu wanacheka cheka majukwaani wakizungumzia chaguzi sijui za lini shame on you
Sasa Samia anawezaje kujikatia tiketi ya kifo wakati yeye ndio ameshika panga?🤣🤣🤣🤣 waluteri zamu yenu lini?
Nchi inayumba. Ukijitangaza kutaka kuchukua fomu ndani ya chama jinamizi umejikatia tiketi ya kifo🤣
Yeye ndo anayewakata panga wenzake. Chukua fomu kugombea naye ndani ya chama uoneSasa Samia anawezaje kujikatia tiketi ya kifo wakati yeye ndio ameshika panga?
Mnategemea vikongwe wawavushe maana mnajua kabisa hamkubalikiAlitangaza since ameingia madarakani baada ya uzushi wa ooh eti hatogombea na blaa blaa kama hizo.
Wathubutu waone 🔥🔥 , uzuri ccm wote wanaimba Samia akiwemo mwenye Chama Kinana.
Tunafahamu kwa dhati kwamba CCM haina mkakati wowote wa kulisaidia Taifa zaidi ya kusalia madarakani wapate kula na kuvimbiwaHao wengine ni sawa wakipinga Kwa sababu ni upumbavu kulazimisha Kila mtu akukubali.
Mwendo ni ule ule kama WA Kwa Felix Tshisekedi 🔥🔥
CCM ni kiwanda cha uongo. Na wewe ni zao lake. Sisi tunajua cucrack codes haujifichi mzee wa kwenye maweMwisho Mimi sisali makanisa yenu hayo ya 🌈🌈
Ndio maana mambo yanaenda Shaghalabagala !!Kweli Kabisa 🐼
Siasa ni Ajira
Kabisa kabisa !siasa imegeuzwa ajira, shida ndio imeanzia hapo.
Unaona wengine wameanza kuwaandaa watoto wao bado wadogo wanavishwa magwanda ya Chama ili waje wapokee vijiti !!Nachokiona kingine Tanzania ni unafiki mkubwa na roho mbaya za viongozi wa Tz kwa kuendelea kukitumia Kiswahili kama lugha ya kufundishia katk elimu ya msingi huku watoto wao karibu wote pamoja na watoto wa wenye ahueni ya kiuchumi na watt wa matajir wakipeleka watoto wao ktk shule za English medium,au international ,au nje ya nchi wakisoma kwa kutumia lugha ya kiingereza kuanzia chini kbs,(nursery),huu ni unafiki mkubwa sn,nimesoma mtaala wao mpya bado wanasisitiza kuwa lugha ya kufundishia itakuwa kiswahili shule za msingi,hii ni aibu nchi inahitaji watawala wapya