Nchi Bora viongozi Bora siasa safi

Nchi Bora viongozi Bora siasa safi

situjadiriane

Member
Joined
Jan 5, 2023
Posts
41
Reaction score
49
Sasa ni wazi kuwa katika ukanda Wa maziwa makuu Tanzania ndio nchi yenye viongozi Bora siasa safi.
Hakuna mtu anayeweza kubisha juu ya hili.nchi hii sasa inafaa kwa kuishi
Tanzania Ya sasa ina mpa kila mtu na fasi ya kuishi bila Hofu. Ulinzi umeboreshwa kwa kila mtu.shule hospital misikiti makanisa yako kila mahari
Miundo mbinu iko salama.maji umeme simu kila Kona
Ongera selikari ya Tanzania kwa uongozi bora
 
Sasa ni wazi kuwa katika ukanda Wa maziwa makuu Tanzania ndio nchi yenye viongozi Bora siasa safi.
Hakuna mtu anayeweza kubisha juu ya hili.nchi hii sasa inafaa kwa kuishi
Tanzania Ya sasa ina mpa kila mtu na fasi ya kuishi bila Hofu. Ulinzi umeboreshwa kwa kila mtu.shule hospital misikiti makanisa yako kila mahari
Miundo mbinu iko salama.maji umeme simu kila Kona
Ongera selikari ya Tanzania kwa uongozi bora
Siasa safi uongozi bora umeshuka kutoka mbinguni leo au maigizo ya kuikana uongozi uliofanana na washetani wa miaka ileee🤔
 
Back
Top Bottom