Hazimo kichwani mwehu huyoSasa,unajibiwa swali halafu unakua mkali?Ndugu vipi tena?
Huo mwenge wa Olympic umekuja lini tanzania?Kila nchi hukimbiza Mwenge wa Olympic ambao hupita nchi zote diniani
Hukuainisha mwenge upi.Olimpic torch is irrelevant ule ni inernational na malengo yake ni tofauti na ya huu mwenge wenu wa ccm.
Bado hajapata kahawa ya "asubuhi"!Hazimo kichwani mwehu huyo
Malengo yake ni haya haya kama ya mwenge wa ccm isipokuwa yale ni ya kidunia nzimaOlimpic torch is irrelevant ule ni inernational na malengo yake ni tofauti na ya huu mwenge wenu wa ccm.
Wewe ni mpumbavu mimj nimezungumzia afrika tu na nikataja na mifano ya nchi rafiki na nyerere na kama haitoshi nikaelezea hata namna unavyokuwa budgeted kupitia michango ya walimu na watumishi maskini hilo tu lilipasa kukujuza kwamba sizungumzii mambo ya wagiriki au olimpiki nk wewe ndio bichwa empte.Akili huna badili basi hicho kichwa Cha mada Yako
Kichwa Cha mada Yako uliyoandika mwenyewe huelewi
Nchi kibao zinakimbiza mwenge wa cholera mbonaNaomba wazee wa jamiiforums wanijibu hili swali hasa wale wenye vinasaba na ccm Je ni nchi gani afrika hasa zile za kijamaa zilizokuwa na urafiki na mwalimu nyerere mfano zambia zimbabwe angola nk ambako wanakimbiza mwenge mpaka leo? Mbali na hilo hata bajeti ya kukimbiza chuma lile linategemea bajeti ya mishahara ya walimu maskini.
Naomba majibu wazalendo wenzangu.
Aione Erythrocyte kwenye jalada na Lucas Mwashambwa kwa kumbukumbu.
Kwani umezaliwa lini mkuu?Hadi watu wakagawiwa na fimbo nyeupe za kutembelea!Huo mwenge wa Olympic umekuja lini tanzania?
Wanamulika wezi.Kukimbiza mwenge ni kupoteza pesa tu
Ndiyo hivyo. Mwanga huanzia machoni.Si wajimulike wao wao si ndo wezi
Sio lazima tuwaige wao.Naomba wazee wa jamiiforums wanijibu hili swali hasa wale wenye vinasaba na ccm Je ni nchi gani afrika hasa zile za kijamaa zilizokuwa na urafiki na mwalimu nyerere mfano zambia zimbabwe angola nk ambako wanakimbiza mwenge mpaka leo? Mbali na hilo hata bajeti ya kukimbiza chuma lile linategemea bajeti ya mishahara ya walimu maskini.
Naomba majibu wazalendo wenzangu.
Aione Erythrocyte kwenye jalada na Lucas Mwashambwa kwa kumbukumbu.