moneymakerman Member Joined Jan 20, 2014 Posts 99 Reaction score 243 Feb 20, 2024 #2 Akili pia zimeadimika.
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 4,240 Reaction score 10,561 Feb 20, 2024 #3 • Tungekuwa na Rais, baadhi ya mambo yangeenda vizuri.. • Mwendazake aliharibu sana mambo hapa Tz 🤒🤒
Mr Slim JF-Expert Member Joined Sep 11, 2018 Posts 2,652 Reaction score 5,242 Feb 20, 2024 #4 Utakuta hata Mr Rais nae hajui afanyeje.
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 40,828 Reaction score 99,523 Feb 20, 2024 #5 Iposiku tutakosa hadi pumzi na tutakufa kifala sana
N Nunio JF-Expert Member Joined Sep 17, 2013 Posts 747 Reaction score 1,856 Feb 20, 2024 #6 Bado kidoooogo, hata wao wataendelea kuwa nazo ila hawana cha kununua!
To yeye JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 35,686 Reaction score 86,968 Feb 20, 2024 #7 Na ndoa njema za kudumu zimeadimika
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Feb 20, 2024 #8 Inasikitisha sana
Karne JF-Expert Member Joined Jun 13, 2016 Posts 8,118 Reaction score 13,547 Feb 20, 2024 #9 Nyafwili said: • Aliye zungumzia vyeti fake nani??? • Ninacho mlaumu aliharibu kupeleka nyumbu pale bungeni.... Sijui umenielewa mwana FISI EMU. Click to expand... Kwa hiyo wangekuwepo hao wa upinzani sukari isingeadimika na kusingekuwa na mgao wa umeme? Hivi unafahamu toka vyama vingi vinaasisiwe 1992 hakuna mswada wowote ulipelekwa bungeni ukakwama sababu ya uwepo wa wapinzani. Hata ungepelekwa mswada wa kufuta multiparty ungepita huku wakiwemo. Mnatumia viungo gani kufikiri?
Nyafwili said: • Aliye zungumzia vyeti fake nani??? • Ninacho mlaumu aliharibu kupeleka nyumbu pale bungeni.... Sijui umenielewa mwana FISI EMU. Click to expand... Kwa hiyo wangekuwepo hao wa upinzani sukari isingeadimika na kusingekuwa na mgao wa umeme? Hivi unafahamu toka vyama vingi vinaasisiwe 1992 hakuna mswada wowote ulipelekwa bungeni ukakwama sababu ya uwepo wa wapinzani. Hata ungepelekwa mswada wa kufuta multiparty ungepita huku wakiwemo. Mnatumia viungo gani kufikiri?