TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau!
Nawasalimu kwa jina la Bwana na Allah.
Hivi mpaka lini serikali itaendelea kufanya siasa kwenye maswala ya msingi kama Afya?
Kila siku wanajinasibu kwamba matibabu ni bure kwa wajawazito na watoto, ila ukweli swala hili nilipingana sana na wife baada ya kuniaminisha kwamba watoto wanatibiwa bure maana hata wajawazito wanalipia mpaka kadi, kuna baadhi ya vidonge ambavyo inasemekana wajawazito wanatakiwa wapewe bure lakini hawapati bure, mpaka hizo neti za mbu ambazo zinatangazwa kwenye maredio hawapewi.
Binafsi nina watoto wawili mama tofauti mtoo wa wa kwanza sipo naye anaishi na mama yake kwa ss ana miaka minne tangu yupo mdogo nimekuwa nikituma pesa ya matibabu ikiwa anaumwa.
Ila sasa nilipopata mtoto mwengine kwa mama mwngine nikawa na mpango wa kuwakatia bima watoto ila huyu mke mdogo akanishauri nisifanye hivyo coz serikali inasema matibabu ni bure binafsi nikawaza labda inaweza ikawa kweli kudadeki jana katika harakati zangu nikapiga faida kama ya laki 2 ikabidi niende zangu kucheck mechi jioni narudi mtoto anaumwa ikabidi usiku nikimbizane zahanati ya jirani ya serikali yaani hauwezi amini ndugu laki 2 yote niliyopiga jana leo nimeamka na buku ten tu.
Naomba nieleweke kwamba sisemi kwamba nashinikiza watoto watibiwe bure hata kama serikali haina uwezo huo ila sio poa kuwatumia malaika kisiasa kwamba mnawatibu bure, malipo ni hapa hapa duniani.
Ndugu zangu niwaombe tuendelee tu kufyatua mitoto lakini tujue the healthy of your children rest on ya shoulder.
Nawasalimu kwa jina la Bwana na Allah.
Hivi mpaka lini serikali itaendelea kufanya siasa kwenye maswala ya msingi kama Afya?
Kila siku wanajinasibu kwamba matibabu ni bure kwa wajawazito na watoto, ila ukweli swala hili nilipingana sana na wife baada ya kuniaminisha kwamba watoto wanatibiwa bure maana hata wajawazito wanalipia mpaka kadi, kuna baadhi ya vidonge ambavyo inasemekana wajawazito wanatakiwa wapewe bure lakini hawapati bure, mpaka hizo neti za mbu ambazo zinatangazwa kwenye maredio hawapewi.
Binafsi nina watoto wawili mama tofauti mtoo wa wa kwanza sipo naye anaishi na mama yake kwa ss ana miaka minne tangu yupo mdogo nimekuwa nikituma pesa ya matibabu ikiwa anaumwa.
Ila sasa nilipopata mtoto mwengine kwa mama mwngine nikawa na mpango wa kuwakatia bima watoto ila huyu mke mdogo akanishauri nisifanye hivyo coz serikali inasema matibabu ni bure binafsi nikawaza labda inaweza ikawa kweli kudadeki jana katika harakati zangu nikapiga faida kama ya laki 2 ikabidi niende zangu kucheck mechi jioni narudi mtoto anaumwa ikabidi usiku nikimbizane zahanati ya jirani ya serikali yaani hauwezi amini ndugu laki 2 yote niliyopiga jana leo nimeamka na buku ten tu.
Naomba nieleweke kwamba sisemi kwamba nashinikiza watoto watibiwe bure hata kama serikali haina uwezo huo ila sio poa kuwatumia malaika kisiasa kwamba mnawatibu bure, malipo ni hapa hapa duniani.
Ndugu zangu niwaombe tuendelee tu kufyatua mitoto lakini tujue the healthy of your children rest on ya shoulder.