Nchi haipaswi kuendeshwa kisiasa. Afya ya mwananchi isifanyiwe kama mtaji wa kisiasa

Nchi haipaswi kuendeshwa kisiasa. Afya ya mwananchi isifanyiwe kama mtaji wa kisiasa

Habari wadau!

Nawasalimu kwa jina la Bwana na Allah.

Hivi mpaka lini serikali itaendelea kufanya siasa kwenye maswala ya msingi kama Afya?

Kila siku wanajinasibu kwamba matibabu ni bure kwa wajawazito na watoto, ila ukweli swala hili nilipingana sana na wife baada ya kuniaminisha kwamba watoto wanatibiwa bure maana hata wajawazito wanalipia mpaka kadi, kuna baadhi ya vidonge ambavyo inasemekana wajawazito wanatakiwa wapewe bure lakini hawapati bure, mpaka hizo neti za mbu ambazo zinatangazwa kwenye maredio hawapewi.

Binafsi nina watoto wawili mama tofauti mtoo wa wa kwanza sipo naye anaishi na mama yake kwa ss ana miaka minne tangu yupo mdogo nimekuwa nikituma pesa ya matibabu ikiwa anaumwa.

Ila sasa nilipopata mtoto mwengine kwa mama mwngine nikawa na mpango wa kuwakatia bima watoto ila huyu mke mdogo akanishauri nisifanye hivyo coz serikali inasema matibabu ni bure binafsi nikawaza labda inaweza ikawa kweli kudadeki jana katika harakati zangu nikapiga faida kama ya laki 2 ikabidi niende zangu kucheck mechi jioni narudi mtoto anaumwa ikabidi usiku nikimbizane zahanati ya jirani ya serikali yaani hauwezi amini ndugu laki 2 yote niliyopiga jana leo nimeamka na buku ten tu.

Naomba nieleweke kwamba sisemi kwamba nashinikiza watoto watibiwe bure hata kama serikali haina uwezo huo ila sio poa kuwatumia malaika kisiasa kwamba mnawatibu bure, malipo ni hapa hapa duniani.

Ndugu zangu niwaombe tuendelee tu kufyatua mitoto lakini tujue the healthy of your children rest on ya shoulder.
Ni tiba gani hiyo aliyoipata hapo zahanati ambayo imeghalimu 190,000/=

Kwa level ya zahanati hasa ya serikali nakataa hilo otherwise watumishi wa hapo wawe wamekufanyia hujuma

Lakini pia uwe na habari kua vituo vya kutolea huduma asilimia kubwa ya fedha ya kuendeshea huduma inatokana na mapato/makusanyo ya kituo husika tena siku hizi mpaka mafunzo/seminar kituo ndio humlipa mtumishi wake akiitwa mafunzo/seminar

Kama operation ya mzazi C/S inafanywa bure ndio ije ishindikane hiyo homa kutibiwa bure?

Binafsi nina wasiwasi na watumishi wa hiyo zahanati
 
Ni tiba gani hiyo aliyoipata hapo zahanati Uambayo imeghalimu 190,000/=

Kwa level ya zahanati hasa ya serikali nakataa hilo otherwise watumishi wa hapo wawe wamekufanyia hujuma

Lakini pia uwe na habari kua vituo vya kutolea huduma asilimia kubwa ya fedha ya kuendeshea huduma inatokana na mapato/makusanyo ya kituo husika tena siku hizi mpaka mafunzo/seminar kituo ndio humlipa mtumishi wake akiitwa mafunzo/seminar

Kama operation ya mzazi C/S inafanywa bure ndio ije ishindikane hiyo homa kutibiwa bure?

Binafsi nina wasiwasi na watumishi wa hiyo zahanati
Mtoto ana malaria pia ana diarrhea ,vomiting,dehydration inabidi alazwe aongezewe maji pia apate dawa .
Labda kama una bima hauwezi elewa watu wasio na bima wapata shida gani pindi wanapoumwa.
 
Gharama ya gloves ni ndogo Sana ukilinganisha na gharama halisi ya kujifungua. Gharama halisi ya kujifungua kawaida ni laki moja, wewe kuambiwa uchangie gloves za Elfu tano unaona ghali. Ninyi mnaogoma kuchangia gloves za Elfu tano mnaenda kulipia private hospital Zaid ya laki tatu kujifungua tuu.
Mtoto ana malaria pia ana diarrhea ,vomiting,dehydration inabidi alazwe aongezewe maji pia apate dawa .
Labda kama una bima hauwezi elewa watu wasio na bima wapata shida gani pindi wanapoumwa.
Kwanza malaria inatibiwa bure si kwa mtoto wala mtu mzima hilo uwe nalo kichwani kuanzia kipimo mpaka dawa na ni haki yako kuhoji pindi utakapotozwa gharama ya matibabu yoyote yanayohusiana na malaria

Pili hata kama ana dehydration ya aina gani sidhani kama mtoto anaweza akawekewa litre 5 za maji ambapo nusu litre ya hizo I/V fluids inauzwa sh 500 tu bei ya serikali lakini hata hivo kwa kundi la msamaha mfano mtoto huduma zote hizo ni bure

Kwahiyo hapo hata kama ungechajiwa pesa wala isingefika sh elfu kumi na hata kama ungeambiwa hizo dawa na vitu vyote ukanunue dukani wala isingefika elfu kumi na tano

Narudia tena ni hao watumishi wamekuhujumu
 
Ni tiba gani hiyo aliyoipata hapo zahanati ambayo imeghalimu 190,000/=

Kwa level ya zahanati hasa ya serikali nakataa hilo otherwise watumishi wa hapo wawe wamekufanyia hujuma

Lakini pia uwe na habari kua vituo vya kutolea huduma asilimia kubwa ya fedha ya kuendeshea huduma inatokana na mapato/makusanyo ya kituo husika tena siku hizi mpaka mafunzo/seminar kituo ndio humlipa mtumishi wake akiitwa mafunzo/seminar

Kama operation ya mzazi C/S inafanywa bure ndio ije ishindikane hiyo homa kutibiwa bure?

Binafsi nina was

Kwanza malaria inatibiwa bure si kwa mtoto wala mtu mzima hilo uwe nalo kichwani kuanzia kipimo mpaka dawa na ni haki yako kuhoji pindi utakapotozwa gharama ya matibabu yoyote yanayohusiana na malaria

Pili hata kama ana dehydration ya aina gani sidhani kama mtoto anaweza akawekewa litre 5 za maji ambapo nusu litre ya hizo I/V fluids inauzwa sh 500 tu bei ya serikali lakini hata hivo kwa kundi la msamaha mfano mtoto huduma zote hizo ni bure

Kwahiyo hapo hata kama ungechajiwa pesa wala isingefika sh elfu kumi na hata kama ungeambiwa hizo dawa na vitu vyote ukanunue dukani wala isingefika elfu kumi na tano

Narudia tena ni hao watumishi wamekuhujumu
Na risiti nimepewa labda kama wasingenipa risiti kweli.
 
Back
Top Bottom