Nchi hii acheni kudekeza Wamasai. Chukueni hatua kuwaondoa kiburi

Nchi hii acheni kudekeza Wamasai. Chukueni hatua kuwaondoa kiburi

Hata sisi wandengereko wa Rufiji tuliamishwa kwa nguvu kutoka mabondeni kuja juu yaani ikwiriri ya sasa.japokuwa hali ilikuwa ngumu kipindi kile lkn mpaka leo tumeshazoea vp leo hawa wamasai mpaka wapewe semina?
 
Wamasai wamedekezwa kwa miaka mingi kwa kisingizio cha kuwabadilisha; wapende shule, wapunguze mifugo, sijui bhla! bhla gani. Wamekuwa wasumbufu wanaojidai kutojua sheria za nchi kwa kisingizio eti ndivyo walivyo. Hawa wanajifanya na wametumia mwanya huo kundekeza ukabila na kujifanya wao ni maalumu, special. Mkoani Morogoro wanasumbua wakulima na tunaambiwa ni mgogoro wa wakulima na wafugaji, badala ya kusema ni wamasai na wakulima.

Serikali inashindwa kuwaambia waondoke na tabia yao mbovu ya kutoheshimu kilimo. Mkoa wa Morogoro una makabila mengi ya wafugaji, lakini wanaonesha ustaarabu. Wapo wasukuma waliohamia, wapo wakaguru pia. Mifugo kuharibu mazao ni kawaida na mara zote wafugaji wastaarabu hujutia tukio hilo. Tatizo ni wamasai kutokuwa na ustaarabu na kujifanya hawajui maana ya kilimo. Sasa tena eti tunahangaishwa na Ngorogoro!

Serikali inahangaika kuwaondoa. Hao watu waondoeni, ibaki idadi inayokubalika. Kuwa mmasai isiwe ni kigezo cha kuishi na nguruwe. Wao siyo kabila la kwanza kuhamishwa nchi hii. Makabila mengi yalishahamishwa bila fidia na hadi leo wanaishi kwa amani. Tusiwafanye ni special.
Kumhamisha masai si kazi ili mradi hawa ni NOMADS hawana makao ya kudumu.
 
Kuna watu wana uwezo mdogo sana wa kufikiri mleta mada ni mmoja wapo.
Huyu vipi?
 
Wamasai wamedekezwa kwa miaka mingi kwa kisingizio cha kuwabadilisha; wapende shule, wapunguze mifugo, sijui bhla! bhla gani. Wamekuwa wasumbufu wanaojidai kutojua sheria za nchi kwa kisingizio eti ndivyo walivyo. Hawa wanajifanya na wametumia mwanya huo kundekeza ukabila na kujifanya wao ni maalumu, special. Mkoani Morogoro wanasumbua wakulima na tunaambiwa ni mgogoro wa wakulima na wafugaji, badala ya kusema ni wamasai na wakulima.

Serikali inashindwa kuwaambia waondoke na tabia yao mbovu ya kutoheshimu kilimo. Mkoa wa Morogoro una makabila mengi ya wafugaji, lakini wanaonesha ustaarabu. Wapo wasukuma waliohamia, wapo wakaguru pia. Mifugo kuharibu mazao ni kawaida na mara zote wafugaji wastaarabu hujutia tukio hilo. Tatizo ni wamasai kutokuwa na ustaarabu na kujifanya hawajui maana ya kilimo. Sasa tena eti tunahangaishwa na Ngorogoro!

Serikali inahangaika kuwaondoa. Hao watu waondoeni, ibaki idadi inayokubalika. Kuwa mmasai isiwe ni kigezo cha kuishi na nguruwe. Wao siyo kabila la kwanza kuhamishwa nchi hii. Makabila mengi yalishahamishwa bila fidia na hadi leo wanaishi kwa amani. Tusiwafanye ni special.
Wamasai wamekukosea nini? Ni aibu kwa Mtanzania yoyote kuwa na mawazo kama haya. Idadi inayokubalika maana yake ni nini? Nani anapanga hiyo idadi? Kwa nini hili tatizo lianze sasa?
 
Mmekomaa nyuma ya key boards kuandika maneno ya chuki dhidi ya wafugaji....lakini nikiuliza ni yupi kati yenu ambaye inapita wiki hajatumia zao (products) la mifugo kama nyama na maziwa.

Ikiwa umekula nyama, je unahisi ni nyama inayotokana na ng'ombe au mbuzi wa kisasa? Au ni mifugo wanaotoka kwa wafugaji wa asili!!
Ukiangalia kwa haraka, unawezasema Wamasai wanapigwa vita, NO! Tatizo ni vitendo vyao vinavyolindwa na wanasiasa. Ni mara nyingi tunasikia wamasai wanaua wakulima kwa sababu za kishenzi tu, na hakuna anayekamatwa!

Yaani ng'ombe waruhusiwe kula mazao ya wakulima. Hata kama sisi ni walaji wa nyama, hiyo haiwapi umuhimu maana hiyo nyama inaliwa mijini. Kijijini kwangu hapa Masasi sihitaji nyama ya mmasai.

Wanasiasa waache ubaguzi wa kuwapa kiburi cha kipuuzi watu hawa kwa kuwapa jina zuri, eti ni wafugaji. Hawa wenye migogoro ni wamasai. Washike adabu kama hawataki, tuwashikishe adabu na ng'ombe wao.
 
Tatizo lako unajiliza kikabila ili wakuache, NO! kilichoandikwa ni sahihi kabisa!! Mambo ya kudeka ni mabaya. Hakuna haja ya kuficha mambo ya wazi. Ngorongoro kuna resources za kitaifa, haziwezi kuharibiwa na kabila moja kwa sababu ya kujidai eti wanaonewa.

Miaka mingapi imepita tangu Wakurya waondolewe kwenye eneo la North mara? Ikija kwa wamasai eti ardhi yao, bhla! bhla.....! Huko Morogoro wanasumbua na kuua watu kwa kiburi cha ignorance. Let them shika adabu!
 
Makabila yote yamekuwa yakiondolewa sehemu za hifadhi na hata kwenye maeneo ya madini. Kwa nini hawa tujiulize njia ya kuwaondoa? Njia ni ile ile!
Utamaduni unaonesha mnaondoa alafu mnawapa mafisadi wachache wanufaike.
Ila kwa hawa Wamasai kuweni makini. Wana command attention kubwa sana kama indigenous communities.
 
Tatizo lako unajiliza kikabila ili wakuache, NO! kilichoandikwa ni sahihi kabisa!! Mambo ya kudeka ni mabaya. Hakuna haja ya kuficha mambo ya wazi. Ngorongoro kuna resources za kitaifa, haziwezi kuharibiwa na kabila moja kwa sababu ya kujidai eti wanaonewa. Miaka mingapi imepita tangu Wakurya waondolewe kwenye eneo la North mara? Ikija kwa wamasai eti ardhi yao, bhla! bhla.....! Huko Morogoro wanasumbua na kuua watu kwa kiburi cha ignorance. Let them shika adabu!
Kila mahali hapa Tanzania kuna hizo resources, mkiwamaliza Wamasai nani atafuatia? Hebu tujuze ''resources'' ambazo Wamasai wameharibu?
 
Wamasai wamedekezwa kwa miaka mingi kwa kisingizio cha kuwabadilisha; wapende shule, wapunguze mifugo, sijui bhla! bhla gani. Wamekuwa wasumbufu wanaojidai kutojua sheria za nchi kwa kisingizio eti ndivyo walivyo. Hawa wanajifanya na wametumia mwanya huo kundekeza ukabila na kujifanya wao ni maalumu, special. Mkoani Morogoro wanasumbua wakulima na tunaambiwa ni mgogoro wa wakulima na wafugaji, badala ya kusema ni wamasai na wakulima.

Serikali inashindwa kuwaambia waondoke na tabia yao mbovu ya kutoheshimu kilimo. Mkoa wa Morogoro una makabila mengi ya wafugaji, lakini wanaonesha ustaarabu. Wapo wasukuma waliohamia, wapo wakaguru pia. Mifugo kuharibu mazao ni kawaida na mara zote wafugaji wastaarabu hujutia tukio hilo. Tatizo ni wamasai kutokuwa na ustaarabu na kujifanya hawajui maana ya kilimo. Sasa tena eti tunahangaishwa na Ngorogoro!

Serikali inahangaika kuwaondoa. Hao watu waondoeni, ibaki idadi inayokubalika. Kuwa mmasai isiwe ni kigezo cha kuishi na nguruwe. Wao siyo kabila la kwanza kuhamishwa nchi hii. Makabila mengi yalishahamishwa bila fidia na hadi leo wanaishi kwa amani. Tusiwafanye ni special.ila ni kutokusoma historia, lakini miogoni mwa vivutio vya hizo mbuga Ni pamoja na hao wamasai, hata hao watalii wanajua kwamba wamasai nao ni utalii mmoja wapo ktk eneo ilo, Sasa kwasababu hiki kizazi kinapoteza historia ndo maana hali inakuwa hivyo, tunaongozwa na miemuko tunapoteza history, kwanza hao wenyeji hawali nyamapoli, na wamekuwa wakiishi nao mpaka simba lakini hawazuriwi na Simba kwasababu wanajuana walivyo jamii moja, sema uvyamizi wa makabila mengine kwenye eneo hilo ndo unaleta shida
 
𝚔𝚠𝚊 𝚖𝚔𝚘𝚊 𝚠𝚊 𝚖𝚘𝚛𝚘𝚐𝚘𝚛𝚘 𝚜𝚑𝚒𝚍𝚊 𝚜𝚒𝚢𝚘 𝚠𝚊𝚖𝚊𝚜𝚊𝚒...𝚜𝚑𝚒𝚍𝚊 𝚗𝚒 𝚔𝚊𝚋𝚒𝚕𝚊 𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎𝚓𝚒,𝚑𝚊𝚠𝚊𝚗𝚊 𝚝𝚘𝚏𝚊𝚞𝚝𝚒 𝚗𝚊 𝚠𝚊𝚙𝚎𝚖𝚋𝚊 𝚠𝚊 𝚟𝚒𝚜𝚒𝚠𝚊𝚗𝚒...𝚑𝚊𝚠𝚊 𝚠𝚊𝚖𝚊𝚜𝚊𝚒 𝚜𝚒𝚓𝚊𝚠𝚊𝚒 𝚔𝚞𝚜𝚒𝚔𝚒𝚊 𝚠𝚊𝚔𝚒𝚕𝚎𝚝𝚊 𝚞𝚓𝚒𝚗𝚐𝚊 𝚑𝚞𝚘 𝚔𝚞𝚕𝚎 𝚖𝚊𝚛𝚊(𝚗𝚊 𝚗𝚍𝚘 𝚠𝚊𝚖𝚎𝚙𝚊𝚔𝚊𝚗𝚊)..𝚠𝚊𝚕𝚊 𝚔𝚞𝚕𝚎 𝚖𝚋𝚎𝚢𝚊,𝚖𝚠𝚊𝚗𝚣𝚊 ,𝚝𝚊𝚋𝚘𝚛𝚊 𝚊𝚞 𝚔𝚊𝚝𝚊𝚟𝚒...𝚜𝚑𝚒𝚍𝚊 𝚒𝚙𝚘 𝚔𝚠𝚊 𝚠𝚊𝚛𝚞𝚐𝚞𝚛𝚞...𝚝𝚞𝚗𝚊𝚠𝚊𝚔𝚊𝚛𝚒𝚋𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚠𝚊𝚏𝚞𝚐𝚊𝚓𝚒𝚠𝚊 𝚔𝚒𝚖𝚊𝚜𝚊𝚒 𝚖𝚊𝚛𝚊 𝚗𝚊 𝚑𝚞𝚔𝚞 𝚝𝚊𝚋𝚘𝚛𝚊
 
Tatizo lako unajiliza kikabila ili wakuache, NO! kilichoandikwa ni sahihi kabisa!! Mambo ya kudeka ni mabaya. Hakuna haja ya kuficha mambo ya wazi. Ngorongoro kuna resources za kitaifa, haziwezi kuharibiwa na kabila moja kwa sababu ya kujidai eti wanaonewa. Miaka mingapi imepita tangu Wakurya waondolewe kwenye eneo la North mara? Ikija kwa wamasai eti ardhi yao, bhla! bhla.....! Huko Morogoro wanasumbua na kuua watu kwa kiburi cha ignorance. Let them shika adabu!
Acheni uhuni Kwa kisingizio Cha resources binadamu ni Bora kuliko hao nyumbu unajua akili zenu zimesha dumaa hamna namna ya kupata vyanzo vipya vya mapato mnawaza tu mfukuze wamasai mmilikishe wazungu mmekua wajinga mpaka mmepitiliza iko wapi gesi ya mtwara mliopiga nayo watu na jeshi mkapeleka?

Mnaleta blablaa na huku mkitumia wabunge ambao baadhi yao ni mazuzu tu hawajui lolote kuhusu ngorongoro wakati tunajua moja la ajabu ya ngorongoro no binadamu kuishi na simba Tena wakiheshimiana
 
Vita ya wafugaji na wakulima, Masai huwa wanaua watu, wanaona watu hawana thamani zaidi ya mifugo yao..kwa wamasai bora ng'ombe kuliko binadamu. Takataka kabisa hawa watu
Acha dharau boss....usiitukane jamii nzima kwa makosa ya wachache.
 
Back
Top Bottom