Nchi hii raia wanaishi kwa hofu leo nimevamiwa na vibaka mkuki umenisaidia

Nchi hii raia wanaishi kwa hofu leo nimevamiwa na vibaka mkuki umenisaidia

Ndokeji

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2011
Posts
698
Reaction score
476
Hali ya Amani katika nchi yetu imetoweka kabisa watu wanaishi Kwa hofu, Leo usiku saa 8 :43 Vibaka walivamia kwangu walikuwa 9 , Wakaweka Mawe Makubwa Kwenye Milango yote.

Nafuga kuku na Kanga , wakaingia Kwenye Banda la kuku, Nikasikia Kanga wanapiga kelele nikachukua slaha yangu , nikazima taa zote za nje na ndani.

Nikasikia panga zinalia kwenye Milango Harafu Jamaa wanapiga kelele Fungua mlango tukutoe kichwa , Nikafungua Dirisha nikaona Jamaa wanatoka Kwenye Banda.

Nikarudi Mlango wa pili wa kutoka ukakubali kufungua ,nikatanguliza chupa , baadaye nikachomoka natembeza mkuki kulia na kushoto sikuona aliyekuwa karibu , wakaanza kukimbia katika kukimbizana mmoja wa nyuma nikusukuma mkuki Kwa mbali ukampata , Kwenye mguu ,walikuwa wamebeba kuku 4 wakatupa mfuko Mbio, aliuchomoa mkuki , Bahati mbaya wakawa wametokomea Gizani nikaacha nao, Ila naamini Hawataru Tena Ni Huku kwetu Simiyu Bariadi

Ushauri wangu Kwa Serikali
Watu wameingia na Hofu kubwa katika Usalama wa Mali zao na Maisha, itabidi ifanye Kamata Kamata nchi nzima Hawa wasiwache salaama kill them ,Hii ni vita ya Vibaka na wananchi , Polis kazi yake ni ipi ,kama Raia wanaishi Kwa Hofu
 
Polisi ni jamii na jamii ni wewe! Hongera kwa ujasiri mkuu. Zaidi ya hapo wangeondoka na kanga wote pamoja na kuku
 
Hali ya Amani katika nchi yetu imetoweka kabisa watu wanaishi Kwa hofu, Leo usiku saa 8 :43 Vibaka walivamia kwangu walikuwa 9 , Wakaweka Mawe Makubwa Kwenye Milango yote , Nafuga kuku na Kanga , wakaingia Kwenye Banda la kuku , Nikasikia Kanga wanapiga kelele nikachukua slaha yangu , nikazima taa zote za nje na ndani ,Nikasikia panga zinalia Kwenye Milango Harafu Jamaa wanapiga kelele Fungua mlango tukutoe kichwa , Nikafungua Dirisha nikaona Jamaa wanatoka Kwenye Banda, nikarudi Mlango wa pili wa kutoka ukakubali kufungua ,nikatanguliza chupa , baadaye nikachomoka natembeza mkuki kulia na kushoto sikuona aliyekuwa karibu , wakaanza kukimbia katika kukimbizana mmoja wa nyuma nikusukuma mkuki Kwa mbali ukampata , Kwenye mguu ,walikuwa wamebeba kuku 4 wakatupa mfuko Mbio, aliuchomoa mkuki , Bahati mbaya wakawa wametokomea Gizani nikaacha nao, Ila naamini Hawataru Tena ,Ni Huku kwetu Simiyu Bariadi

Ushauri wangu Kwa Serikali
Watu wameingia na Hofu kubwa katika Usalama wa Mali zao na Maisha, itabidi ifanye Kamata Kamata nchi nzima Hawa wasiwache salaama kill them ,Hii ni vita ya Vibaka na wananchi , Polis kazi yake ni ipi ,kama Raia wanaishi Kwa Hofu
Du. Pole. Hata hivyo wewe ni shujaa hasa ukitilia maanani huo mkwala wa ''fungua mlango tukutoe kichwa''
 
Huo ndiyo uanaume sasa, siyo ukisikia panga shwaaa, unajifunika na mto kichwani 😂!.
 
Hali ya Amani katika nchi yetu imetoweka kabisa watu wanaishi Kwa hofu, Leo usiku saa 8 :43 Vibaka walivamia kwangu walikuwa 9 , Wakaweka Mawe Makubwa Kwenye Milango yote , Nafuga kuku na Kanga , wakaingia Kwenye Banda la kuku , Nikasikia Kanga wanapiga kelele nikachukua slaha yangu , nikazima taa zote za nje na ndani ,Nikasikia panga zinalia Kwenye Milango Harafu Jamaa wanapiga kelele Fungua mlango tukutoe kichwa , Nikafungua Dirisha nikaona Jamaa wanatoka Kwenye Banda, nikarudi Mlango wa pili wa kutoka ukakubali kufungua ,nikatanguliza chupa , baadaye nikachomoka natembeza mkuki kulia na kushoto sikuona aliyekuwa karibu , wakaanza kukimbia katika kukimbizana mmoja wa nyuma nikusukuma mkuki Kwa mbali ukampata , Kwenye mguu ,walikuwa wamebeba kuku 4 wakatupa mfuko Mbio, aliuchomoa mkuki , Bahati mbaya wakawa wametokomea Gizani nikaacha nao, Ila naamini Hawataru Tena ,Ni Huku kwetu Simiyu Bariadi

Ushauri wangu Kwa Serikali
Watu wameingia na Hofu kubwa katika Usalama wa Mali zao na Maisha, itabidi ifanye Kamata Kamata nchi nzima Hawa wasiwache salaama kill them ,Hii ni vita ya Vibaka na wananchi , Polis kazi yake ni ipi ,kama Raia wanaishi Kwa Hofu
Mwanzo uvooanza nkajua kidume Cha dar, kumbe wakwetu, wape mfano Wenzetu huko dar
 
Hali ya Amani katika nchi yetu imetoweka kabisa watu wanaishi Kwa hofu, Leo usiku saa 8 :43 Vibaka walivamia kwangu walikuwa 9 , Wakaweka Mawe Makubwa Kwenye Milango yote , Nafuga kuku na Kanga , wakaingia Kwenye Banda la kuku , Nikasikia Kanga wanapiga kelele nikachukua slaha yangu , nikazima taa zote za nje na ndani ,Nikasikia panga zinalia Kwenye Milango Harafu Jamaa wanapiga kelele Fungua mlango tukutoe kichwa , Nikafungua Dirisha nikaona Jamaa wanatoka Kwenye Banda, nikarudi Mlango wa pili wa kutoka ukakubali kufungua ,nikatanguliza chupa , baadaye nikachomoka natembeza mkuki kulia na kushoto sikuona aliyekuwa karibu , wakaanza kukimbia katika kukimbizana mmoja wa nyuma nikusukuma mkuki Kwa mbali ukampata , Kwenye mguu ,walikuwa wamebeba kuku 4 wakatupa mfuko Mbio, aliuchomoa mkuki , Bahati mbaya wakawa wametokomea Gizani nikaacha nao, Ila naamini Hawataru Tena ,Ni Huku kwetu Simiyu Bariadi

Ushauri wangu Kwa Serikali
Watu wameingia na Hofu kubwa katika Usalama wa Mali zao na Maisha, itabidi ifanye Kamata Kamata nchi nzima Hawa wasiwache salaama kill them ,Hii ni vita ya Vibaka na wananchi , Polis kazi yake ni ipi ,kama Raia wanaishi Kwa Hofu
kama porojo vile. saa 9 usiku uliweza mpaka kuwahesabu? kwani walijikusanya sehemu moja kama maembe?
 
kama porojo vile. saa 9 usiku uliweza mpaka kuwahesabu? kwani walijikusanya sehemu moja kama maembe

Hii ni baada ya kuchungulia Dirisha I harafu vingi ni vitoto
 
kama porojo vile. saa 9 usiku uliweza mpaka kuwahesabu? kwani walijikusanya sehemu moja kama maembe?

kama porojo vile. saa 9 usiku uliweza mpaka kuwahesabu? kwani walijikusanya sehemu moja kama maembe?
Kaka ulisubili usikie Kwenye vyombo vya habari wamepasua fuvu Langu ndio uamini
 
Hali ya Amani katika nchi yetu imetoweka kabisa watu wanaishi Kwa hofu, Leo usiku saa 8 :43 Vibaka walivamia kwangu walikuwa 9 , Wakaweka Mawe Makubwa Kwenye Milango yote , Nafuga kuku na Kanga , wakaingia Kwenye Banda la kuku , Nikasikia Kanga wanapiga kelele nikachukua slaha yangu , nikazima taa zote za nje na ndani ,Nikasikia panga zinalia Kwenye Milango Harafu Jamaa wanapiga kelele Fungua mlango tukutoe kichwa , Nikafungua Dirisha nikaona Jamaa wanatoka Kwenye Banda, nikarudi Mlango wa pili wa kutoka ukakubali kufungua ,nikatanguliza chupa , baadaye nikachomoka natembeza mkuki kulia na kushoto sikuona aliyekuwa karibu , wakaanza kukimbia katika kukimbizana mmoja wa nyuma nikusukuma mkuki Kwa mbali ukampata , Kwenye mguu ,walikuwa wamebeba kuku 4 wakatupa mfuko Mbio, aliuchomoa mkuki , Bahati mbaya wakawa wametokomea Gizani nikaacha nao, Ila naamini Hawataru Tena ,Ni Huku kwetu Simiyu Bariadi

Ushauri wangu Kwa Serikali
Watu wameingia na Hofu kubwa katika Usalama wa Mali zao na Maisha, itabidi ifanye Kamata Kamata nchi nzima Hawa wasiwache salaama kill them ,Hii ni vita ya Vibaka na wananchi , Polis kazi yake ni ipi ,kama Raia wanaishi Kwa Hofu
Haya mambo ni nchi nzima, tofauti ni majina kutegemeana na eneo. Dar panya road, mikoani watoto wa mbwa, nyoka nk. Polisi wanajitajidi kupambana nao, japo wengine hugeuka informer wa vikundi vya uharifu. Yote ni matokeo ya nchi kutokuwa na mipango thabiti juu ya ajira kwa vijana. Serikali imeruhusu wengi kujificha kwenye kivuli cha umachinga, usiku wana kazi zingine.
 
Hali ya Amani katika nchi yetu imetoweka kabisa watu wanaishi Kwa hofu, Leo usiku saa 8 :43 Vibaka walivamia kwangu walikuwa 9 , Wakaweka Mawe Makubwa Kwenye Milango yote , Nafuga kuku na Kanga , wakaingia Kwenye Banda la kuku , Nikasikia Kanga wanapiga kelele nikachukua slaha yangu , nikazima taa zote za nje na ndani ,Nikasikia panga zinalia Kwenye Milango Harafu Jamaa wanapiga kelele Fungua mlango tukutoe kichwa , Nikafungua Dirisha nikaona Jamaa wanatoka Kwenye Banda, nikarudi Mlango wa pili wa kutoka ukakubali kufungua ,nikatanguliza chupa , baadaye nikachomoka natembeza mkuki kulia na kushoto sikuona aliyekuwa karibu , wakaanza kukimbia katika kukimbizana mmoja wa nyuma nikusukuma mkuki Kwa mbali ukampata , Kwenye mguu ,walikuwa wamebeba kuku 4 wakatupa mfuko Mbio, aliuchomoa mkuki , Bahati mbaya wakawa wametokomea Gizani nikaacha nao, Ila naamini Hawataru Tena ,Ni Huku kwetu Simiyu Bariadi

Ushauri wangu Kwa Serikali
Watu wameingia na Hofu kubwa katika Usalama wa Mali zao na Maisha, itabidi ifanye Kamata Kamata nchi nzima Hawa wasiwache salaama kill them ,Hii ni vita ya Vibaka na wananchi , Polis kazi yake ni ipi ,kama Raia wanaishi Kwa Hofu
Lamadi nini? Au ihusi, Dutwa, nkoro, matongo? Wilaya ya mzee kapange
 
Back
Top Bottom