Nchi hii raia wanaishi kwa hofu leo nimevamiwa na vibaka mkuki umenisaidia

Nchi hii raia wanaishi kwa hofu leo nimevamiwa na vibaka mkuki umenisaidia

Kaka ulisubili usikie Kwenye vyombo vya habari wamepasua fuvu Langu ndio uamini
sina maana hiyo mkuu. lakini najaribu tu kujiuliza kiuhalisia. huo muda wa kuhesabu ndo hasa penye maswali hapo mpaka na kupata idadi kamili.
 
Hali ya Amani katika nchi yetu imetoweka kabisa watu wanaishi Kwa hofu, Leo usiku saa 8 :43 Vibaka walivamia kwangu walikuwa 9 , Wakaweka Mawe Makubwa Kwenye Milango yote , Nafuga kuku na Kanga , wakaingia Kwenye Banda la kuku , Nikasikia Kanga wanapiga kelele nikachukua slaha yangu , nikazima taa zote za nje na ndani ,Nikasikia panga zinalia Kwenye Milango Harafu Jamaa wanapiga kelele Fungua mlango tukutoe kichwa , Nikafungua Dirisha nikaona Jamaa wanatoka Kwenye Banda, nikarudi Mlango wa pili wa kutoka ukakubali kufungua ,nikatanguliza chupa , baadaye nikachomoka natembeza mkuki kulia na kushoto sikuona aliyekuwa karibu , wakaanza kukimbia katika kukimbizana mmoja wa nyuma nikusukuma mkuki Kwa mbali ukampata , Kwenye mguu ,walikuwa wamebeba kuku 4 wakatupa mfuko Mbio, aliuchomoa mkuki , Bahati mbaya wakawa wametokomea Gizani nikaacha nao, Ila naamini Hawataru Tena ,Ni Huku kwetu Simiyu Bariadi

Ushauri wangu Kwa Serikali
Watu wameingia na Hofu kubwa katika Usalama wa Mali zao na Maisha, itabidi ifanye Kamata Kamata nchi nzima Hawa wasiwache salaama kill them ,Hii ni vita ya Vibaka na wananchi , Polis kazi yake ni ipi ,kama Raia wanaishi Kwa Hofu
Hongera kijana huo ndio uanaume sasa
 
Wakati nasoma huu uzi nikasema kama hili ni tukio la Dar basi Muhusika lazima kutokea kule kwa kina "bhita ni bhita Mura"....kwa bahati nikaona umemalizia ni kutoka Simiyu.
 
kama porojo vile. saa 9 usiku uliweza mpaka kuwahesabu? kwani walijikusanya sehemu moja kama maembe?
Umenitangulia, storry chai hii. Alijuaje 9, na alijuaje mkuki ulimchoma kwenye mguu?!!!
 
sina maana hiyo mkuu. lakini najaribu tu kujiuliza kiuhalisia. huo muda wa kuhesabu ndo hasa penye maswali hapo mpaka na kupata idadi kamili.
Ni muhimu kumsoma adui, kujua wako wangapi, wameji position vipi, wamebeba silaha gani. n.k ili ukifanya ambush ilete matokeo, otherwise ukiwavaa kichwa kichwa wanakuua kweli
 
Hali ya Amani katika nchi yetu imetoweka kabisa watu wanaishi Kwa hofu, Leo usiku saa 8 :43 Vibaka walivamia kwangu walikuwa 9 , Wakaweka Mawe Makubwa Kwenye Milango yote , Nafuga kuku na Kanga , wakaingia Kwenye Banda la kuku , Nikasikia Kanga wanapiga kelele nikachukua slaha yangu , nikazima taa zote za nje na ndani ,Nikasikia panga zinalia Kwenye Milango Harafu Jamaa wanapiga kelele Fungua mlango tukutoe kichwa , Nikafungua Dirisha nikaona Jamaa wanatoka Kwenye Banda, nikarudi Mlango wa pili wa kutoka ukakubali kufungua ,nikatanguliza chupa , baadaye nikachomoka natembeza mkuki kulia na kushoto sikuona aliyekuwa karibu , wakaanza kukimbia katika kukimbizana mmoja wa nyuma nikusukuma mkuki Kwa mbali ukampata , Kwenye mguu ,walikuwa wamebeba kuku 4 wakatupa mfuko Mbio, aliuchomoa mkuki , Bahati mbaya wakawa wametokomea Gizani nikaacha nao, Ila naamini Hawataru Tena ,Ni Huku kwetu Simiyu Bariadi

Ushauri wangu Kwa Serikali
Watu wameingia na Hofu kubwa katika Usalama wa Mali zao na Maisha, itabidi ifanye Kamata Kamata nchi nzima Hawa wasiwache salaama kill them ,Hii ni vita ya Vibaka na wananchi , Polis kazi yake ni ipi ,kama Raia wanaishi Kwa Hofu
Acha kuisubit serikal we kamata piga ua
 
Hilo meno HARAFU basi kwa mamlaka niliyokabidhiwa nakupa amri ukazikwe chetlley karibia na mzee
 
Haya mambo ni nchi nzima, tofauti ni majina kutegemeana na eneo. Dar panya road, mikoani watoto wa mbwa, nyoka nk. Polisi wanajitajidi kupambana nao, japo wengine hugeuka informer wa vikundi vya uharifu. Yote ni matokeo ya nchi kutokuwa na mipango thabiti juu ya ajira kwa vijana. Serikali imeruhusu wengi kujificha kwenye kivuli cha umachinga, usiku wana kazi zingine.
Tanga niliwahi kukutana na watoto wa ibirisi,daah noma sana hawa jamaa ila nashukuru Mungu nina skills za Boxing niliwabahatisha wawili sema waliniacha na jeraha kubwa la mkono,baada ya kukinga panga ila wao nina hakika nilivunja taya,maana nilitoa right hook za maana sana.
 
Back
Top Bottom