Nchi hii ushindwe tu Mwenyewe kutafuta chimbo la hela. Jiite tu Nabii

Nchi hii ushindwe tu Mwenyewe kutafuta chimbo la hela. Jiite tu Nabii

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Hapo ni Stand ya daladala Mbezi Louis kwenye foleni ya kusubiria Mwendokasi ya Kariakoo, huyu mwamba kila siku anawahi na spika yake na mic anapiga neno kisha anatembeza bakuli lake la sadaka. Tatizo hapo jirani kuna foleni nyingine ya mwendokasi ya kwenda Kivukoni ambapo napo kuna Mtaalam (Nabii) na Spika zake ambapo wote wanapoanza kuongea utatamani gari ije faster uondoke.

Pichani hapo anaweka sawa Spika yake wakati msaidizi wake akiendelea kutoa Mapepo.

20230704_070032.jpg
 
Hapo ni Stand ya daladala Mbezi Louis , huyu mwamba kila siku anawahi na spika yake na mic anapiga neno kisha anatembeza bakuli lake la sadaka.

Picha hiyo anaweka sawa Spika wakati msaidizi wake akiendelea kutoa Mapepo mbalimbali.

Hapo ni foleni ya kusubiri mwendokasi ya Kariakoo. Tatizo hapo jirani kuna foleni nyingine ya mwendokasi ya kwenda Kivukoni ambapo napo kuna Mtaalam(Nabii) na Spika zake ambapo wote wanapoanza kuongea utatamani gari ije faster uondoke
Mpeni sadaka zake bwana,mbona mnakuwa wachoyo hivyo
 
Kwahyo unataka kuniambia huyo anatafuta Hela, usipende kuwaaminisha wenzako unacho amini ww kama wewe huamini katika mahubiri yake ni vema kukaa kimya kuliko kumdhihaki mtu na kuwapotosha watu.
 
Kwahyo unataka kuniambia huyo anatafuta Hela, usipende kuwaaminisha wenzako unacho amini ww kama wewe huamini katika mahubiri yake ni vema kukaa kimya kuliko kumdhihaki mtu na kuwapotosha watu.
Yuko kazini kama mpiga debe konda asipo mpa 200 vita hata waubili hivio hivio
 
Kwahyo unataka kuniambia huyo anatafuta Hela, usipende kuwaaminisha wenzako unacho amini ww kama wewe huamini katika mahubiri yake ni vema kukaa kimya kuliko kumdhihaki mtu na kuwapotosha watu.
Maadam Mungu amenipa akili na hekima ya kujua mbivu na mbichi hainipi shida kumjua mhubiri wa kweli.

Wewe siku fika Stand ya daladala Mbezi uwaangalie nusu saa tu halafu urudi hapa, vinginevyo kichwa chako kiwe ni nazi koroma.

Na watu wa akili yako ndio walio wengi sana hapa kwetu Tz na Africa. UJINGA MWINGI SANA
 
Kuna mchungaji mmoja anapandaga coaster za posta, akahubiri kwenye daladala alivyomaliza akaanza kuchamba wale ambao hawajatoa sadaka, akasema endeleeni kuficha sadaka zenu, akawa anafoka. Anasema na mnaojifanya mmelala , endeleeni kulala. Nikasema khaaa.
 
Na alivyo mjanja kamchukuwa huyu jamaa awe anaanza kabla yake.
Ila afadhali ya huyu kutokana na changamoto yake.

Hapa anakemea mapepo wakati mtaalam akirekebisha spika ili aingie kisha kupitisha sahani
 

Attachments

  • Video_Compressor_1688473793877.mp4
    7.6 MB
Kuna mchungaji mmoja anapandaga coaster za posta, akahubiri kwenye daladala alivyomaliza akaanza kuchamba wale ambao hawajatoa sadaka, akasema endeleeni kuficha sadaka zenu, akawa anafoka. Anasema na mnaojifanya mmelala , endeleeni kulala. Nikasema khaaa.
😂😂😂😂😂
 
Hela bila wito jaribu na wewe kama ni rahisi
Eti WITO!! Halafu haka kaneno ndio mnakokatumia sana kuhalalisha kuhadaa na kuaminisha watu. Utasikie eti " yule baba ana wito"

Kama ni wito ni kwanini basi hamuendi kuhubiri maeneo ya Shuleni na vyuoni kwenye wanafunzi wengi , au kwavile hawana hela!!? Ni kwanini kila mnapohubiri hamuachi kuhamasisha watu kutoa hela , tena kwenye utoaji utakuta nikutishana na kupewa awadi kuwa utaombewa upate mafanikio.
 
Maadam Mungu amenipa akili na hekima ya kujua mbivu na mbichi hainipi shida kumjua mhubiri wa kweli.

Wewe siku fika Stand ya daladala Mbezi uwaangalie nusu saa tu halafu urudi hapa, vinginevyo kichwa chako kiwe ni nazi koroma.

Na watu wa akili yako ndio walio wengi sana hapa kwetu Tz na Africa. UJINGA MWINGI SANA
Sawasawa 👍
 
Eti WITO!! Halafu haka kaneno ndio mnakokatumia sana kuhalalisha kuhadaa na kuaminisha watu. Utasikie eti " yule baba ana wito"

Kama ni wito ni kwanini basi hamuendi kuhubiri maeneo ya Shuleni na vyuoni kwenye wanafunzi wengi , au kwavile hawana hela!!? Ni kwanini kila mnapohubiri hamuachi kuhamasisha watu kutoa hela , tena kwenye utoaji utakuta nikutishana na kupewa awadi kuwa utaombewa upate mafanikio.
Yesu alikusanya sadaka?...alipitisha kapu la mchango.?
 
Kwahyo unataka kuniambia huyo anatafuta Hela, usipende kuwaaminisha wenzako unacho amini ww kama wewe huamini katika mahubiri yake ni vema kukaa kimya kuliko kumdhihaki mtu na kuwapotosha watu.
Wanatafuta pesa.
Fanya hivi ukitaka kuthubutisha.
Simama karibu yake wakati anahubiri kisha toa wallet as if unataka kuhesabu pesa zako utaona jinsi mada ya mahubiri itakavyobadilishwa.
Nilifanya hivyo bwana weeehh akaanza kubariki wanaomtolea Mungu .
 
Kesho ukipita tena mchukue video tumuone
 
Bora huyu kuliko mwanaume anayeamua kugeuza matako afanywe apate hela
Au mwanamke anayegeuza sehemu za siri kama source of income

Yaani naheshimu sana hela ya mwanaume anayepambana naheshimu sana wapambanaji wenzangu
 
Kuna mchungaji mmoja anapandaga coaster za posta, akahubiri kwenye daladala alivyomaliza akaanza kuchamba wale ambao hawajatoa sadaka, akasema endeleeni kuficha sadaka zenu, akawa anafoka. Anasema na mnaojifanya mmelala , endeleeni kulala. Nikasema khaaa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyo hapendagi ujinga
 
Back
Top Bottom