Nchi iko kwenye mikono salama, Jeshi la Wananchi limeleta utulivu mkubwa baada ya mtikisiko uliotokea Jumamosi

Nchi iko kwenye mikono salama, Jeshi la Wananchi limeleta utulivu mkubwa baada ya mtikisiko uliotokea Jumamosi

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Pongezi nyingi ziende kwa wapambanaji wote kuanzia mashabiki, viongozi, benchi la ufundi na wanachama wote wa Dar es Salaam Young Africans kwa ushirikiano mkubwa wa kuisapoti timu yao.

Walistahili ushindi kwakuwa wameupiga mwingi mpaka ukamwagika, Master Nabi ni bingwa wa kumsoma mpinzani na akamuadhibu vikali, game plan aliyoingia nayo leo imewashangaza wengi lakini imelipa baada ya kuwasoma vizuri TP Mazembe.

Na nafikiri walikuwa na bahati tu ilikuwa wapigwe 5, lakini umakini wa wachezaji wa Yanga kwenye umaliziaji umewanusuru.

NB: Boli limepigwa na magoli yamefungwa bila hata kurudi kinyume nyume na basi na wala watu hawaringi!
 
Unaingia kinyumenyume kwa mwarabu aiseee
JamiiForums-1638259630.jpg
 
Hongereni utos,leo nimepata laki kutoka kwa uto mwenzenu kwa ajili utabiri wangu
 
Yanga ni Machine nyie. SS hatutafuni Madunduka
 
Polisi woote wahakikishe wapenzi na wanachama wa yanga wanapewa ulinzi week hii. Mipaka ya nchi ni salama.
 
Back
Top Bottom