Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

kasanga70

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2015
Posts
222
Reaction score
515
Kuna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really?

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa

My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa

Its soo frustrating.
 
Tukiendelea na hiki kilimo cha kufunga mipaka ipo siku nchi itaingia kwenye njaa kubwa sana. Maana mwakani mtu kama wewe hutalima, wezee tu ndiyo watabaki kulima.

Inabidi upelekwe mswada Bungeni ambao itakuwa ni marufuku serikali kumzuia mkulima kuuza mazao yake atakako. Ukienda South Sudan, Congo au Kenya huwezi kuta gunia 30 elfu.

Kiufupi nchi yetu inaendeshwa kwa mazoea, hakuna cha ubunifu wala mipango yenye akili.
 
Imposing withholding tax kwa mazao kisa kuuza kwa wenye makampuni sijui waliwaza nini, kila nikifikiria hili moyo unaniuma sana, katika mazingira ya pembenei kupandwa na bei za mazao kudorola leo umwambie mtu akatwe withholding tax si mtaumizana tu, jambo hili linaweza kuchochea bushara zisizo halali za kupeleka nje ya nchi kinyemela

Tax law experts na economist wetu mlifikiriaje kwa jambo hili, Mzee mwigulu liangalie mara 22, uzuri upo humu kiongozi kiukweli maendeleo tunahitaji lakini hawa wazee wetu vijijini tuwahurumie
 
Imposing withholding tax kwa mazao kisa kuuza kwa wenye makampuni sijui waliwaza nini, kila nikifikiria hili moyo unaniuma sana, katika mazingira ya pembenei kupandwa na bei za mazao kudorola Leo umwambie mtu akatwe withholding tax si mtaumizana tu, jambo hili linaweza kuchochea bushara zisizo halali za kupeleka nje ya nchi kinyemela,

Tax law experts na economist wetu mlifikiriaje kwa jambo hili, Mzee mwigulu liangalie mara 22, uzuri upo humu kiongozi kiukweli maendeleo tunahitaji lakini hawa wazee wetu vijijini tuwahurumie
Mtume tu aangalie bila kumuita kiongozi, hana huo uongozi, zaidi ungemuita tu Mkabaji au Mporaji.
 
We hujielewi huku dar wanauziwa unga sembe bei huu. Safirishwa mahindi Dar uuze bei nzuri acha ujinga
 
Tukiendelea na hiki kilimo cha kufunga mipaka ipo siku nchi itaingia kwenye njaa kubwa sana. Maana mwakani mtu kama wewe hutalima, wezee tu ndiyo watabaki kulima.

Inabidi upelekwe mswada Bungeni ambao itakuwa ni marufuku serikali kumzuia mkulima kuuza mazao yake atakako. Ukienda South Sudan, Congo au Kenya huwezi kuta gunia 30 elfu.

Kiufupi nchi yetu inaendeshwa kwa mazoea, hakuna cha ubunifu wala mipango yenye akili.
Katiba mpya bado huitaki? Au kwa sababu hailimi mahindi?
 
Back
Top Bottom