Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

Mahindi ndio chakula kikuu.
huyu mwandishi alitaka gunia auze shilingi ngapi?

Hv anafikiri gunia ghafi la mahindi liuzwe mathalani laki nchi itakalika? Hio si ni njaa automaticaly.

Bei ikisogea huko ni vilio vya njaa kila kona.

na bado serikali hiyohiyo haitaepuka kulaumiwa kama anavyolaumu jamaa.
huyu ni kijana ama mbinafs ama hajaish vijijini.

Kama anataka aongeze thaman ya mazao yake asage auze unga.
au ayareserve hayo mahindi yakiadimika auze.
tena ni miezi michache tu.

mahindi huwa na trend ya kuadimika kwny nyakat fulanfulan kila mwaka kwasab ya uhitajikaji wake.

Na wakati mwingne hatuambizani ukweli.
kwamba bei ya mahindi ipo chini kwasab ya closure ya mipaka sio kweli!

Mvua ilitwanga kotekote.hata huko kwa majirani mahindi YAPO.
 
Kuna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa

My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa

Its soo frustrating.
Ndugu yangu asante kwa hoja nzuri. Kwa kweli kabisa ukitegemea kilimo nchi hii kupata maendeleo ni ndoto. Kama una hela yako ni bora uanze kuwekeza kwenye vijumba vya kupangisha. Vinginevyo kwenye kilimo utapata shikizo la damu. Kwa mfano hizo gunia zako 200 za mahindi ukitoa gharama ulizotumia kulimia kwenye milioni sita unabaki na shs ngapi ? Ndio maana vijana wengi sasa vijijini hawataki kulima badala yake wamejikitika katika buashara ndogo ndogo na bodaboda.
 
Kenya wametangaza njaa ... vipi huko soko?
Ni kweli soko lipo sasa ukitaka kuchanganyikiwa nyanyuka na huo mzigo kabla hujafika namanga umeshachakaa...kodi, usafiri, na uwe na uhakika bei ya kule itakulipa.
 
kasanga70
Nimeona concern yako kwenye bandiko lako. I myself at your place, could possibly have argued along that same line. However, you would better hope for the better, if not the best. Just try maintaining a very positive outlook so that you ought see several future miraculous possibilities God has in store for you
Rais wa nchi kutwaliwa na Bwana si jambo dogo, ni kubwa muno, na hasa linapokuwa kama first experience kwa nchi husika kama iambavyo limekuwa kwa nchi yetu
Mimi ni muumini wa dini ya kikiristo, naamini sana katika matendo makubwa ya Mungu. Mungu ameridhia kumchukua Rais aliyetupatia mara ya kwanza na akaamua kuweka mwingine yeye mwenyewe. Kumbuka kuwa hajakushirikisha kwenye mchakato wa kumchukua aliyekuwepo, alimchukua tu halafu ndiyo akakushirikisha sasa kumpata huyu aliyepo kwa kutumia kitu kinachoitwa Katiba. Kwa hiyo Mungu bado yuko pamoja na sisi kwa kiwango kikubwa mno na cha ajabu muno. tuendelee kumuombea mama atafanya makubwa. Sasa hivi ni mapema mno, bado tuko kwenye ile after-shock ya kuondokewa na Rais wetu mpendwa
Kwenye ulimwengu wa roho, hii nchi iko hivi, huwa inakuwa several times, twisted na mwovu Ibilisi kuelekea kwenye negative edge na inapokuwa imetokea hivyo, kwa kipindi fulani huwa inaonyesha kukubali kabisa kuelekea kwenye upande huo, halafu tena ALL OF A SUDDEN baada ya hapo, inakuja restore back quickly kuelekea kwenye POSITIVE edge.Believe me! Tanzania iko hivyo kwenye ulimwengu wa roho
Mkuu kuna jukwaa la kingereza nenda ukajadili huko na vingereza vyako,hapa wote waswahili.
 
CCM oyee !
Mkiitwa kufanya maandamano mnawaachia wapeba peke yao nyie machogo mnajiona mwamwinyi,serikali liyopo haishauriki maana imeshapotea njia mpaka wapate dikteta ndio wataongoza hivyo hivyo kuvutana.
 
Unaongea kama mtu ambaye hajitambui totally.Ngoja nikupitishe kidogo kukuweka karibu na uhalisia maana naona umekuwa driven na hizi cheap politics.Twende,mfano mdogo kuna mama mmoja hapa mkoani Ruvuma amelima na ana magunia 500 but chaajabu kaambiwa na NFRA kuwa watamsaidia kununua mahindi gunia 40 tu then the rest atafute masoko mwenyewe.Kwako Billion 50 zilizotolewa unadhani zinaenda kutatua changamoto kwa wakulima,HAPANA.Mifano iko mingi
Mafuta ya kula yakipanda bei ni fursa kwako mkulima. Sasa lima alizeti upige pesa. Kuhusu mahindi NFRA wamepewa pesa wayanunue. Tafuta vituo vyao ukauze.
 
Kuna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa

My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa

Its soo frustrating.
Kuongoza Nchi sio mchezo, unatakiwa kiongozi kuwa na vision kubwa na akili haswa...hembu assess viongozi wetu wanaotoa maamuzi, ndio utajua tuko wapi Tanzania...khy haya yatokeayo tusishangae!
 
Mafuta ya kula yakipanda bei ni fursa kwako mkulima. Sasa lima alizeti upige pesa. Kuhusu mahindi NFRA wamepewa pesa wayanunue. Tafuta vituo vyao ukauze.
NFRA wanabunua kilo kwa 220, kea maana hiyo gunia la kilo 100 atduza elf20
 
We hujielewi huku dar wanauziwa unga sembe bei huu. Safirishwa mahindi Dar uuze bei nzuri acha ujinga
Watu wanapozungumza vitu vyenye maana nyinyi wenye akili ndogo acheni ujinga wenu kujibu. Unafikiri watu hawajui kuwa kuna Dar? Haya toa bei ya gunia kwa Dar ili kila mkulima alete Dar.
 
Yaani kulima kwa mazingira haya yetu, ni kama kutafuta umasikini kwa kulazimisha.
body cares.....yaani ukimuuliza mtu anaejua kilimo. Kulima ekari 20 is not a joke.......gharama tu zilizotumika hadi unapata mazao nimechoka guys,...
 
Uweke ruzuku ya nini kwenye kitu hakina tija? JK alijaribu huu upuuzi ikawa hasara tupu..

Lazima kulima Mazao ya kimkakati ya biashara sio chakula

Mbolea inahitajika kwa mazao karibu yote. Ruzuku inawekwa ku -support sekta muhimu za kimkakati kwenye uchumi wa nchi na maisha ya watu.

Ni kati ya vitu muhimu kabisa kwa kilimo endelevu, kuzuia njaa, kuongeza uzalishaji na ufanisi kipato cha mkulima, kodi kwa serikali, export (foreign currency).

Mazao ya chakula ni muhimu kama mazao mengine ya kibiashara.

Nchi nyingi tu (DRC, Burundi, South Sudan, Kenya, Comoro etc) zitaendelea kuhitaji mahindi kwa muda mrefu. Jukumu la Tanzania ni kujipanga tu.

Ilikuwa hasara tupu kwa nani? Kwanini unafikiri chakula sio mazao ya kimkakati? Kwanini mahindi hayawezi kuwa mazao la kibiashara?
 
Kuna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa

My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa

Its soo frustrating.
Mi5 tena 🙄
 
Mafuta ya kula yakipanda bei ni fursa kwako mkulima. Sasa lima alizeti upige pesa. Kuhusu mahindi NFRA wamepewa pesa wayanunue. Tafuta vituo vyao ukauze.
Kuna mawili, inawezekana wewe ni kiongozi wa uvccm au wewe ni kula kulala hivyo mijadala kama hii ni vyema ukasoma tu comment za wengine kuliko kutoa mashudu kama haya.
 
Mkuu haka kauzi ni kazuri sana.
Kuhusu hili la afya asee baada ya muda tutaona hasahasa kwenye phamacy na nursing.
Wiki iliyopita nilikuwa nanunua dawa ya kikohozi kwa mtoto was miaka 5...!
Muuza akanishauri dawa ya Kinunua ,nikachukua box,nikasoma ineandikwa isitumiewe kwa mtoto chini ya Miaka 6!
Nikamuonesha akasema ...wao wanaiuza Sana wannachofanya no kupunguza dose!
Cha kushangaza alikiwa anaongea kwa kijiamini kabisa tena kwa maringo ya kisomi,kuonesha kuwa Mimi no mjinga!
Nikiondoka na hela yangu!
 
Kilimo cha mvua ni upumbavu sana ndiyo maana wmnawaeshimu wakulima wa tz kuliko maprofesa maana wanafanya kazi ngumu sana hadi kuifanya tz kuwa na chakula cha kutosha hadi kuuzia nchi nyingine ,hapo kwa heka 20 kwa kilimo cha kumwagilia alitakiwa kupata magunia 1000 hadi 1200
Kilimo unakijua au kilimo cha kwenye makalatasi brother? Huku niliko mvua ni ya kutosha lakini kwenye ekari kupata gunia 25 hakuna ni maneno tu ya wauzaji wa pembejeo. Miye mwenyewe ni mkulima mahindi ukiyahudumia vizuri na yakastawi kwa eka ni gunia 18 hadi 22.
Sasa kwa hesabu yako ya umwagiliaji ekari moja mtu avune gunia 50 nakataa kabisa labda huko America kilimo cha kwenye maabara lakini kwa Tanzania hakuna kitu hicho.
Maneno ya wataalamu husiyasikie nenda field utakumbuka maneno yangu
 
Kwa hio wakulima wasilipe kodi kabisa?.
Mkuu kwa taarifa yako mkulima analipa kodi sana kulikohata huyo mfanyabiashara. VAT inalipwa sana na hawa wakulima hasa kwenye bei mbaya za mbolea na pembejeo, mahijati mengine ya viwandani nk, maana ndio walaji wa mwisho na kutokana na umasikini wao wananunua kwa rejareja, kwenye minada na magulio huko kunatisha, kwenye, asilimia kubwa wanatibiwa hospitali za Umma huko kodi za madawa zinawahusu na mwisho wa siku KODI zote hizo haziwiani na mrejesho kutoka kwa mchukua kodi, zaidi zaidi atatakiwa apeleke shuleni sado 1 ya maharage na debe 1 la makande kwa chakula cha mwanae.
 
Kuna document inaitwa " Silent weapons in a Quiety Wars" yaani tunapigana vita na adui asiyeonekana, humuoni adui yako, lakini tunahisi kabisa kwamba "tunaishi pamoja na tembo chumbani" sasa chumba kimekuwa hakitoshi tunabanana.
Haya mambo yote hayapo kwa bahati mbaya, yamekuwa engineered purposely..mbinu inayotumika ni ya kisoshalist! Mbinu ambayo imebuniwa na taasisi inayoitwa " The Fabians society" hawa ndo waliobuni siasa za Ujamaa na Ukomunisti..anagalia logo yao ukigoogle, kwamba wana i mould dunia wanavyotaka.
Hawa " the Fabians" wenye makao makuu yake Uingereza wamechukua jina la Generali wa kirumi miaka hiyo ambaye aligundua mbinu za kumshinda adui taratiibu bila vita kwa kubadili "policy" yaani kidogo kidogo hadi adui anapokuja kushituka 'it is too late'
Hii ni kazi ya Illuminatti, binadamu tunaitwa tuamke tujikomboe utumwani dhidi ya hawa mashetani wa Ki Illuminatti lakini people wapo tayari kupigana ili kuutetea mfumo kandamizi.
That is why Bob Marley aliimba kuwa Babylon system is a vampire.......
Them graduating thieves and murderes,look out now

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Dawa ni kuwa na commodity exchange na kuuza kwenye mifumo inayopigwa vita na kangomba.......

La sivyo gunia la mahindi litafika 15,000!!!
 
Back
Top Bottom