Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

No body cares.....yaani ukimuuliza mtu anaejua kilimo. Kulima ekari 20 is not a joke.......gharama tu zilizotumika hadi unapata mazao nimechoka guys,...
Mkuu uko mkoa gani?mahindi yameshapanda bei sasa manyara ni 45 mpka 50 elfu...kma unaweza kuvumilia mpka mwezi dec utauza kwa bei nzuri fungia mzigo ghalani
 
bwawa la umeme ni la nyumbani kwake
 
Asante sana na umemaliza kila kitu na naunga mkono mkuu.

Serikali inawajibu na haiwezi kukwepa kuhusu wakulima kukosa soko la mazao hususani wa mahindi.

Kitu kingine wananchi hatuna meno kuwajibisha viongozi wazembe wanaoshindwa kutatua matatizo yetu,wananchi tumekuwa wasikilizaji na watendaji kila tunachoamuliwa na viongozi wetu.

Na ulichosema wange create database ya kutambua idadi ya mazao yatakayo vunwa msimu mzima na kutambua masoko yanapatikana wapi yasingetokea haya.

Najuuliza kazi za maafisa masoko wa halmashauri au manispaa ni zipi? maafisa kilimo pia na hawa so called TANTRADE au mazao mchanganyiko majukumu yao ni yapi?
 
Usafir wa bure??
 
Pole Sana lakini kumbuka usifanye kilimo Cha kibiashara kama unategemea mvua .Nakushauli uwe unanunua mazao kwa wakulima faida ipo kubwa Sana.
 
Mbowe anajua faida ya siasa inakuja kipindi kwa kipindi. Jaribu kufikiria sera ya kubadilisha gia angani ambayo ilibuniwa na kuasisiwa na cdm. Wamevunja rekodi hamna kitu kama hicho popote duniani.
Pia kiliwashushia heshima sana
 
Songea Nina gunia 870 ila pia kuna jamaa ka 3 nawafahamu wamekwama soko SASA mzee wa connection unatusaidiaje!??
 
Mbowe anajua faida ya siasa inakuja kipindi kwa kipindi. Jaribu kufikiria sera ya kubadilisha gia angani ambayo ilibuniwa na kuasisiwa na cdm. Wamevunja rekodi hamna kitu kama hicho popote duniani.
Na light bwana yule angelishinda 2015, hakuna wa kumcontrol hata mumoja ambaye angeliweza kumzuia.
 
Upo sawa mkuu, niliwaza kufunga machine ya kukoboa na kusaga mahindi, lakini nikashituka nikaenda kwa Ya mpunga.
 
Si mama yenu alienda mkasema karudisha mahusiano? Mpaka akili itawakaa nchi sio nyumbani kwako! Urafiki na kenya ni unafiki tu! Hakuna urafiki hapo ila watu mapimbi ndo huwa wanaaminishwa hivyo!
Unafiki kwenye diplomasia unalipa sana. Unaweza kuta China, Syria na Urusi wanashirikiana vitu vingi sana na Marekani kuliko unavyoimbishwa kwenye media!
 
Una Hangaya wateja wa Dar na Nairobi, kwakua hela ya Kenya ina nguvu mauzo yake yanafidia hasara nyingine.
 
Wewe tu na unaofahamiana nao na umuhimu wako kwa watu wanaoweza kukupa hizo fursa. Nchi hii ukiwa wa kulalamika na kutaka wengine wafanye kwa niaba yako unapoteza sana.
Ndo tuanzie hapa, wewe uwe ndo connector wng unisaidie usafir wa bure na soko la mahind Au unga Dar.
 
Ndo tuanzie hapa, wewe uwe ndo connector wng unisaidie usafir wa bure na soko la mahind Au unga Dar.
Sawa..... sasa uniambie wewe una umuhimu gani kwangu? Kwann nikupe hiyo connection? Una mzigo kiasi gani? Kama upo wa kutosha hakuna haja ya kupeleka dar. Hamna ela pale sokoni.
 
Any strong Economy inahitaji private business and enterprises ambao ndio walipa kodi na waajiri wakubwa katika jamii, lakini bila cheap credit, strong/non corrupt regulatory bodies, trust (insurance) na low taxes itakuwa ngumu sana kuwa nao kwenye jamii na ndio mwanzo wa umaskini mwingi kwenye jamii, huwezi kuwa na bank zinazotoa mikopo kwa 17% na mikodi kama ya kina Mwigulu then ukategemea uchumi ukue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…