Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

Kuna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa

My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa

Its soo frustrating.
Tatizo letu ujinga umekithiri... Uchawa umezidi... Woga umezidi! Imani potofu imekolea kwa ccm na viongozi wake!
Yaani katikati ya madhila yote uliyosema bado wananchi wengi wanaamini kuwa system iliyotufikisha hapo ndiyo itakayotutoa hapo!
Ingekuwa kwingineko wananchi wangeshajichukulia maamuzi mkononi!

My people; Tuamke tupambana na udhalimu tunapouona! Viongozi si malaika! Serikali au vyama si tawi la MUNGU useme kuwa ukiwapinga utakoswa kabisa pa kuishi milele!

Tuwapinge sasa kabla madhara hayajawa makubwa zaidi!
 
Mkuu kwa taarifa yako mkulima analipa kodi sana kulikohata huyo mfanyabiashara. VAT inalipwa sana na hawa wakulima hasa kwenye bei mbaya za mbolea na pembejeo, mahijati mengine ya viwandani nk, maana ndio walaji wa mwisho na kutokana na umasikini wao wananunua kwa rejareja, kwenye minada na magulio huko kunatisha, kwenye, asilimia kubwa wanatibiwa hospitali za Umma huko kodi za madawa zinawahusu na mwisho wa siku KODI zote hizo haziwiani na mrejesho kutoka kwa mchukua kodi, zaidi zaidi atatakiwa apeleke shuleni sado 1 ya maharage na debe 1 la makande kwa chakula cha mwanae.
Mhhh...
Hivi ukinunua kwa rejareja na ukinunua in bulk...VAT inapungua?..

madawa yanatozwa kodi?

unataka kusema Serikali/mkusanya kodi haleti huduma kwa wananchi au?elimu bure ni nini ile?kwa mfano...mzazi kuchangia elimu ya mwanae tatizo ni nini?

Nnapoweza kukubaliana na wewe ni wakulima kupata ahueni fulani either kwenye mbegu ama mbolea ili kukuza kilimo/uzalishaji..na Serikali ina uwezo huo naamini,through subsidies

Ngoja wataalamu waje lakini...
 
Mkuu 'misasa', tunazunguka tuuu na maneno mengi lakini nadhani sote tunajua tatizo lilipo.

Tatizo lipo huko huko kwenye hiyo serikali unayosema "ina mkono mrefu", lakini haina uwezo wa kuutumia mkono huo mrefu kwa manufaa ya wananchi wake.

Tatizo ni nini? UZEMBE.

Nchi hii hata kutafuta na kuweka takwimu sahihi tu ni shida tupu!
Serikali katika hali ya kawaida kabisa ingeweza kuwa na uwezo wa kujua kiasi cha mazao yanayotegemewa kuzalishwa katika msimu fulani, kabla hata mazao hayajavunwa.
Serikali inao uwezo wa kupata taarifa za masoko duniani kote kabla ya mazao hayajavunwa; na kujua ni nchi gani zitakuwa na uhitaji mkubwa wa mazao hayo, kabla ya msimu wa mazao husika. Hii siyo kazi ya kubahatisha unayoanza kuifanya wakati tayari mazao ya wakulima yakiwa ghalani!

Serikali ina uwezo wa kujenga maghala ya kuhifadhia mazao ya ziada ili kama soko hali siyo nzuri mazao ya wakulima yahifadhiwe, yasiharibike ili soko likipatikana yauzwe.

Serikali ina uwezo kabisa wa kufanya mipango ya kuwakaribisha wawekezaji ili kuongeza thamani ya mazao yanayozalishwa kwa ziada. Mfano. Mahindi siyo chakula cha binaadam pekee. Mahindi yanatoa mafuta ya kula, nasi hapa tunao uhaba mkubwa wa mafuta ya kula, mbona hatutumii mahindi kutuzalishia bidhaa hiyo?
Mahindi yanatengeneza "ethanol' inayoweza kuchanganywa kwenye petroli ili tupunguze gharama za uagizaji wa mafuta, n.k., nk..
Kama kuna malighafi ya kutosha na ya kuaminika (mahindi) itashindikana vipi kuwapata wawekezaji wa kuitumia malighafi hii?

Hebu angalia, kuna wakati ilipigwa kelele nyingi kuhusu zao la mihogo na utengenezaji wa wanga. Kiwanda kikajengwa, nadhani Ruangwa kwa Majaliwa. Wakulima wa mihogo nao sijui ilikuwaje, kiwanda kikasuasua hadi leo hakisikiki

Serikali, kama ulivyosema, ina wajibu wa kuyasimamia mambo haya, si swala tu la kuyapigia kelele kwa msimu na kuyaacha yafe!

TATIZO LIPO SERIKALINI, SIYO KWA WAKULIMA.
Mkuu Kalamu1 leo nikupongeze kwa hoja. Ni kweli tatizo lipo Serikalini na tatizo hilo linajengwa pia na wabunge wetu ambao kwa kujua ama kutokujua hawalijengei hoja za kitaalamu kulitatua. Wabunge ndio hasa wakulaumiwa maana suala hili linawahusu Watanzania walio wengi ambao ni wapigaji kura wao, kwa watumishi wa Serikali wao huangalia masilahi yao kama mishahara minono, mikutano na warsha, mafao makubwa baada ya kustaafu kn. Ni wakati wa Wabunge kulitafutia ufumbuzi.
 
We kichwa ngumu, sasa hiyo bulk unahisi ukilipa usafir mil. 1.5 ukigawa kwa gunia unapata bei gani??
Au unalopoka tu.??
Tatizo inawezekana unabishana ila unakuta hujawahi kodisha hata Fuso wewe ukaweka mafuta na kumlipa dereva. Ujuaji mwingiii na kuilaumu serikali wakati wao wameshiba na mishahara minono. Amka, hii nchi ina mpaka usafiri wa bure as long as mzigo ulio nao una faida na unao mzigo wa kutosha.
 
Soma vizuri. Labda nikwambie tuu Mimi ni mfanyabiashara wa mahindi na hapo nimekupigia hesabu ya gunia moja kati ya mzigo mzima ambapo kwa Safari moja gari inabeba gunia 280-300
Naelewa yanayokukuta na pole na mapambano.....

Hizo gunia chache sana, lazima uumie na usafiri maana huwezi hata tangaza tenda na kampuni za logistic na ufinyu wako wa elimu na connection kujua wapi upeleke mahindi.

Unatakiwa kujua kuwa wakati nchi inasema usitoe mahindi nje kuna wenzako wanajua namna ya kuyauza.... wewe unawatajirisha wao kwa kuwapa kwa bei nzuriiii ya faida. Sasa utafute hiyo elimu na ongeza production.
 
Mhhh...
Hivi ukinunua kwa rejareja na ukinunua in bulk...VAT inapungua?..

madawa yanatozwa kodi?

unataka kusema Serikali/mkusanya kodi haleti huduma kwa wananchi au?elimu bure ni nini ile?kwa mfano...mzazi kuchangia elimu ya mwanae tatizo ni nini?

Nnapoweza kukubaliana na wewe ni wakulima kupata ahueni fulani either kwenye mbegu ama mbolea ili kukuza kilimo/uzalishaji..na Serikali ina uwezo huo naamini,through subsidies

Ngoja wataalamu waje lakini...
Mkuu jua kuwa huyo wa bulk halipi VAT bali anakusanya VAT kwa niaba ya Serikali, mlipaji VAT ni mlaji wa mwisho. VAT ni kila kitu nini madawa. Mrejesho halingani na makusanyo, maana madawa ya hospitali, maji, umeme, ada na michango ya shule, nauli za usafiri, vivuko, mbolea na pembejeo zake, nk vyote vina muhusu. Kiongonzi kwa vyazo vya mapato tulivyonavyo LEO, maana Serikali inauwezo wa kutoa huduma hizo bure walao NUSU ya zile za Gadaf wa Libya. Lakini matumizi ya Serikali (Recurrent budget) ni kubwa.
 
Lawama zote kwa Awamu ya Tano iliyowafanya wawekezaji na Wafanyabiashara maadui. Leo Kenya wananjaa lakini walishaagiza Mahindi Brazil, wanalima Congo na Zambia unayo ya kutosha. Ya kwetu tutapeleka wapi na hatuna Mifugo ya kuyamaliza
Si mama yenu alienda mkasema karudisha mahusiano? Mpaka akili itawakaa nchi sio nyumbani kwako! Urafiki na kenya ni unafiki tu! Hakuna urafiki hapo ila watu mapimbi ndo huwa wanaaminishwa hivyo!
 
Si mama yenu alienda mkasema karudisha mahusiano? Mpaka akili itawakaa nchi sio nyumbani kwako! Urafiki na kenya ni unafiki tu! Hakuna urafiki hapo ila watu mapimbi ndo huwa wanaaminishwa hivyo!
Mkuu mbona unamlaumu jirani yako kwa vitu ambavyo havimuhusu? Kwani wewe ulikuwa unalima mahindi kwa ajili yake una oda yake ama ana hati miliki ya kununua mahindi yako? Unafiki wake upo wapi?
 
Mfumo kufeli ndo hii pole,nimekuwepo kigoma,rukwa sumbawanga kilio kikubwa hicho gunia 20000, niliumia sana na kunawahuni inside government wanafaidika na huo mchezo

Ujinga ukosefu wa elimu ndonguzo ya uwepo waccm hadikeo hii,kila

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa

My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa

Its soo frustrating.
Pole sana. Ila umenena kweli kabisa! We unafanya kazi na kulima au? Halafu elimu yako ni kiwango gani? Pole sana!
 
Mi nadhani ni 'complicated' zaidi ya hii misemo ya "...wanakuzuia kuuza nje ya nchi..." tunayokimbilia kuitumia kila mara kama ndicho kielelezo cha tatizo ambalo kikiondolewa hali ya mkulima itaneemeka hapo hapo!
Mkuu Kalamu1 kipindi fulani hivi nadhani cha Mh. Kikwete unalima mahindi, unauza gunia moja la mahindi kwa 70000/- hadi 100000/- unarudi nyumbani na bati 7 ama 10 kwa hilo gunia na umelima kwa ruzuku ya Serikali kwenye mbolea (25000 - 30000/-) kwa kilo 50. Leo hamna ruzuku ya mbolea, unanunua mbolea 70000/- hadi 100000/- unauza gunia 20000/- unarudi nyumbani umenunua bati 1. Ebu nielimishe wapi kuna matatizo?
 
Sisi tupo hapa anaweza kuja Mchina akafungua kiwanda Rukwa na kuajiri vijana wetu kwa ujira kiduchu. Baada ya miaka mitatu amekua billionaire.
Nikifunga kiwanda cha kusaga sembe songea mfano kuleta dar, ili kuleta unga dar natakiwa niwe na risiti ya efd ambapo kila kiroba tra watakula si chini ya 3000 kww point kuwa unga umeuzwa hata kama bado sijauza, ila nikisafirisha mahindi toka songea kuja dar ntalipia ushuru wa halmashauri 1000 kwa kila mfuko wa kg 100. Kwa semitrailer la viroba 300 ntalipia 300000 kama ushuru tu. LAkini nikisafirisha unga kama naenda kuuza bei ya 17000 ntalazimika ntaingia gharama ya almost 3600000 kabla hata sijajua bei kama itapanda au kushuka.
 
Kuna kitu kinakula moyo wangu I finally must vent out.

1. Nimevuna gunia 200 baada ya kulima ekari 20 za mahindi nataka kupeleka sokoni bei ya gunia tshs elfu 30, so nitapata million sita nikiuza yote. Kweli jamani this is too much. The leadership is seriously imposing new tax? Mnashindwa kuadress market challenges kwa watu million 45 walioko Shamba? Really????

2. Kuna influx ya vyuo Vya afya now than ever before. Ni mwendo Wa lab technician's, nursing, pharmacy, medical assistance courses etc. Nimeproject in 5 years to come tutakuwa na mrundikano Wa wataalamu Wa afya kuliko kawaida watakaokuwa hawaajiliki. Utapeli utaanza, kila chumba kitakuwa hospital bubu, madawa kuuzwa ovyo nk hii imeshaanza njmeiona somewhere. Afya zetu zitakuwa rehani. Ni kama hakuna sekta nyingine za kutrain serikali na taasisi binafsi zote ziko huko now. Sioni influx ya trainee kwenye lead productive sectors.

3. Ajira hakuna, kila mtu sasa analima masoko hakuna, mbinu za kujenga uchumi unaokuwa sizioni serious. Kuna ahadi tu za kuendelea kujengewa majengo mengi ya huduma mbalimbali za serikali bila kujenga watu Vya kutosha.

4. Nikirudi kwenye mfumuko Wa bei bei za mafuta, visavis gharama za uzalishaji wa mazao tozo barabarani usumbufu wa wakaguzi mazao, matrafiki, nk nk naishiwa hamu kabisa.

5. Ukiwaangalia viongozi concentration haipo kudeal na 80 % ya walipo watz inadeal na vitu very Petty.....

6. Upigaji umerudi kwa kasi ya ajabu. Sasa hivi kila ofisi ya umma hasa hizi nyeti zisizokwepeka deal zinapigwa balaa

My question is....watoto wetu wataikuta Tanzania ya namna gani sijui.

Jamani eeeh sijui kama hii tabu naipata Mimi tu. Kuna majibu hapa

Its soo frustrating.
Magu alikua mpigaji hakuna mfano wake,sgr,bwawa la umeme,daraja busisi,kununua madege yasiokua na kazi...yani ufisadi wake ni trilioni za kutosha....uliona wapi miradi inapitishwa na rais bila bunge,wakandarasi katafuta yeye mwenyewe[emoji16][emoji16][emoji16]ccm wote majambazi sugu
 
Back
Top Bottom