babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
si ndio nyie mlidai mtaingia mtaani mpk damu imwagike mlinde kura?Hivi utanufaika nini wewe na mfumo wa chama kimoja!? Pumbavu
Sidhani kama wanajali.Wao wanachothamini ni kubaki madarakani milele kwa vyovyote vile.2025 nadhani tutaambiwa Maendeleo yamecheleweshwa na Mbowe.CCM wamebugi kujipitisha wote Ni kosa la kiufundi
Haha nacheka lakini nalia.Magufuli anakwenda kuwa Rais, Rais hadi kifo kimtenganishe na Urais.
Atakufa tu vimelea vimemchachalia Mpaka kwenye kucha. Hutu na TISS eti yamepanga upinzani wapewe viti vitano tu vya ubunge making kweli , usalama wa Taifa mnasukumiza mgonjwa wa milembe ikulu twice.Magufuli anakwenda kuwa Rais, Rais hadi kifo kimtenganishe na Urais.
Sasa wewe ulienda Sengerema kusoma mimi huko ndiko nilikozaliwa huwezi nidanganya chochote.Dsm - Pwani - Moro - Dom - Mpaka Mwanza Kuna mradi wa sgr, Mwanza Kuna mradi wa daraja la kigogo - busisi, mladi was maji ya ziwa Victoria (ndugu zangu tuliomaliza sengerema miaka ya 2012) shida ya maji ilivyokuwa na mingine mingi
Hapo sasa.Hatari tupu!We akili hutumii,subiri tuwe kama zimbabwe ya mugabe ndo utaelewa
Bashiru wa PhD aliwashauri watumie dola kubakia kwenye dolaWatajiua kivipi wakati wana uhakika wa kushika madaraka milele hata pasipo ridhaa ya wananchi?.Na kwamba hata watafanye madudu gani hawatoki ng'o.Nadhani hilo ndilo linalowapa jeuri.
Mkuu hawa chadema ni wajinga sana.''Nchi imeamka ikiwa ni huzuni mkubwa sana, Kwamba wabunge wote Bara 100% wameshinda wa CCM''
Hizo huzuni zitoke wapi wakati mwaka huu ''tumesema sasa basiiii'' (in Lissu voice)
Sisi sio kama Lowassa aliyesema hawezi kuingiza watu barabarani!
Wahenga walisema, ''kufa kufaana''.
Wewe ukiwa na huzuni mwingine ana furaha!
Tanzania kuna vituko!
Vipi mkuu zile dharau zako kwa Bashiru na Polepole bado unazo?Bashiru wa PhD aliwashauri watumie dola kubakia kwenye dola
Na wamelitekeleza kwa kishindo!Bashiru wa PhD aliwashauri watumie dola kubakia kwenye dola
Mkuu mbona upinzani umeshinda Mtwara vijijini kwa Hawa GhasiaNendeni na wabunge wenu mkabadilishe katiba muwe marais wa milele
ha ha ha ha ha tunakua kama north korea mkuu hadi rahaHaha nacheka lakini nalia.
Vipi? Lisu nae kawa Lowasa?Atakufa tu vimelea vimemchachalia Mpaka kwenye kucha. Hutu na TISS eti yamepanga upinzani wapewe viti vitano tu vya ubunge making kweli , usalama wa Taifa mnasukumiza mgonjwa wa milembe ikulu twice.
Kuna jamaa anatumia id ya Lord denning sijui yuko wapi saa hiiNiko balazani kwangu nikiangaza huku na huko kuona kama kuna kundi lolo la vijana linalo andamana, lakini mpaka sasa sijaona kikundi wala kikundu.
Kiufupi vijana munapenda sana kutiana ujinga.
Mukiwa nyuma ya keyboard munatamba sana, likija swala la kufanya, muna mbwela.
Haya, sisi tunaendelea kuongoza nchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukiwaambia lazima mje na ngonjera kama hizi na mtaenda nazo hadi 2025 manapigwa mnakuja na nyingine tenaSasa naanza kuona siku mpya za mabadiliko kwa mbali,Lissu na CDM wamefanikiwa kwa zaid ya 90% katika kuileta Tanzania mpya kwa kuifanya dunia kuielewa Tanzania in its true nature-The way it is.Believe me-Mambo mengi yatabadilika kuelekea demokrasia ya kweli ikiwemo sheria kandamiz kuondoka,the biggest looser is gvt and kijani and this election ime propel dearth ya CCM kama chama,Just wait and see aftermath ya hii election and you will prove it.