lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Mkuu ProvedTanzania ya kesho hatujajua itakuwa ya aina gani?
Anyway... Wapinzani pia wamechangia hili kutokea mfano kitendo cha kukubali kushiriki uchaguzi mkuu ilihali uwanja wa kisiasa haupo sawa yaani kukosekana kwa tume huru ilikuwa ni makosa.
Baada ya kushuhudia kilichotokea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana ilikuwa ni kiashiria tosha kwa kitakachotokea mwaka huu ila wapinzani hawakulitilia maanani hili.
Anyway...tuvumilie tu maana wenye nchi yao (wenye madaraka) Provedwametaka iwe hivi.
Wapinzani hawana kosa lolote kushirikiana bila Tume huru.
Wapinzani wakuu wangesusa vijipinzani vitawi vya CCM vingeshiriki,Tena CCM ndio wangeweka Uchaguzi wa Haki na huru kwelikweli ili Kuonesha dunia.
Navyo vijipinzani vitawi vya CCm vingezawadiwa viti viwiliviwili vya majimbo na udiwani.
Mchezo ungeisha.
CCM hawanaga aibu.
Ukishiriki wanakubana,usiposhiriki wanakuwa fare.
Kwa Sasa kwa wapinzani wakuu kushirikiana imesaidia Kuonesha Watanzania wema na Dunia Hali halisi ilivyo hapa Tanzania.
Haya mambo hayajaisha Kuna Mambo makubwa yatatokea.