Uchaguzi 2020 Nchi imelipuka, kila kona, kila sehemu naona ni Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Nchi imelipuka, kila kona, kila sehemu naona ni Tundu Lissu

Pagan Amum

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
1,932
Reaction score
4,403
Zikiwa zimebaki siku 3 kabla hatujaingia tarehe 28.10.2020 siku ya kufanyika kwa uchaguzi Mkuu Tanzania, nadiriki kusema kuwa nchi naona inamtaka Lisu. Nimezunguka Mikoa 25 ya Bara na 3 ya Zanzibar, nimepita kila pembe ya nchi. Nimezunguka vijijini sana na kila kona ya nchi hii kwa shughuli za kikazi katika NGO aiseeee sijui nini kitokee ila nimeshuhudia kwa macho yangu na kuona namna Lisu anavyokubalika sana sana.

Ambacho sikuamini ni mwamko walionao vijijini ni mkubwa kuliko hata wa majiji. Vijijini wanasema kwa hii njaa ya miaka 5 hawawezi tena kuipa serikali hii kura. Jana nilivyokuwa narudi Dar es Salaam, nilipita takriban mikoa 7 kutoka kanda ya ziwa nimeshuhudia namna Mawakala wa upinzani walivyojipanga na kupeana semina wenyewe kwa wenyewe.

Bahati mbaya zikwenda kukusanya data za kisaisa ila kwa haya nilioyaona katika hiyo Mikoa 28 sioni namna Tundu Lisu akashindwa huu uchaguzi. Watu wamechoka, watu wana njaa, watu hawana fedha, watu wamekosa matumaini. Tena ukiwauliza maswali wanakujibu waziwazi kuwa kwa mbunge huyo sawa tutampa wa CCM ila suala la Urais Hapana tunampa "Mbeba Maono"
 
Mbaya zaidi ni huko kanda ya kusini. Serikali ya magufuli walipoona magufuli ameshindwa kufanya kampeni mikoa ya LINDI na Mtwara wakaamua Jana kumzuia Lissu kufanya mikutano kama nane kwenye mikoa hiyo. Kilichonishangaza ni kuwa wananchi wameapa kwa Jina la Allah kuwa vyovyote vile watampigia kura Tundu Antiphas Lissu na watazilinda kura zao hapo wiki ijayo.

Kweli wakati wa Mungu alishafika, hakuna wa kuuzuia!!
 
Mbaya zaidi ni huko kanda ya kusini. Serikali ya magufuli walipoona magufuli ameshindwa kufanya kampeni mikoa ya LINDI na Mtwara wakaamua Jana kumzuia Lissu kufanya mikutano kama nane kwenye mikoa hiyo. Kilichonishangaza ni kuwa wananchi wameapa kwa Jina la Allah kuwa vyovyote vile watampigia kura Tundu Antiphas Lissu na watazilinda kura zao hapo wiki ijayo.

Kweli wakati wa Mungu alishafika, hakuna wa kuuzuia!!
Hakuna mabaya yasiyo na mwisho na mateso manyanyaso ya CCM sasa yaenda mwisho walikuwepo akina Bokasa chiluba Abacha Gadafi Sadam Hussein Elbashiri Iddy Amin dada mabutu na wenzao leo hii wapo wapi?
 
Ametupiga Sana, ni wa 17 afrika nzima kwa pesa ndefu Sana thus hawezi kuachia labda kwa damu.
BOT wamempora pesa nyingi za wafanyabiashara wakubwa, madini yote na cash zote zilizokamatwa Airport Bandarini mipakani kujimilikisha changanya na pesa zile trilion 1.5 zilizopelekea CAG kutolewa kafara, 10% ununuzi wa Ndege mikataba mipya ya madini kwa sasa mtukufu Mkoloni kaburu mweusi ni tajiri kuliko Rais yeyote barani Afrika
 
Back
Top Bottom