Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wauwaji hats kukemewa hawakemewi,na wakiukaji wa haki nyingine,ilimradi iwe anaedhulumiwa ana mawazo tofauti na wenye mamlaka,je si bora anaetumia hiyo kama silaha ya mnyonge.Jamii forum wanatakiwa kukufungia kwa kutumia lugha za matusi.
Jamii forum jamani mbona huyu mtu anatukana matusi kwanini asifungiwe.
Naomba kwania njema tu,kabla ya mwisho wa kampeni,wawaombe radhi Watanzania na pia wachukue guess hiyo kuwaaga pia.Ndoto za mchana ni kudhani mwaka 2020 ni sawa na miaka ya nyuma ambapo CCM iliwaburuza wananchi
Nchi imelipuka mbona hatuoni moshi?Zikiwa zimebaki siku 3 kabla hatujaingia tarehe 28.10.2020 siku ya kufanyika kwa uchaguzi Mkuu Tanzania, nadiriki kusema kuwa nchi naona inamtaka Lisu..... Nimezunguka Mikoa 25 ya Bara na 3 ya Zanzibar, nimepita kila pembe ya nchi. Nimezunguka vijijini sana na kila kona ya nchi hii kwa shughuli za kikazi katika NGO aiseeee sijui nini kitokee ila nimeshuhudia kwa macho yangu na kuona namna Lisu anavyokubalika sana sana...
Ambacho sikuamini ni mwamko walionao vijijini ni mkubwa kuliko hata wa majiji. Vijijini wanasema kwa hii njaa ya miaka 5 hawawezi tena kuipa serikali hii kura... Jana nilivyokuwa narudi Dar es Salaam, nilipita takriban mikoa 7 kutoka kanda ya ziwa nimeshuhudia namna Mawakala wa upinzani walivyojipanga na kupeana semina wenyewe kwa wenyewe.....
Bahati mbaya zikwenda kukusanya data za kisaisa ila kwa haya nilioyaona katika hiyo Mikoa 28 sioni namna Tundu Lisu akashindwa huu uchaguzi...... Watu wamechoka, watu wana njaa, watu hawana fedha, watu wamekosa matumaini..... Tena ukiwauliza maswali wanakujibu waziwazi kuwa kwa mbunge huyo sawa tutampa wa CCM ila suala la Urais Hapana tunampa "Mbeba Maono"....
Muda UTAAMUA juu ya hili. Tuwe na subira juu ya hili - COME 28/10/2020.Ndoto za mchana ni kudhani mwaka 2020 ni sawa na miaka ya nyuma ambapo CCM iliwaburuza wananchi
Huyo wenu anayetembea na feni na betri kwenye moyo mwaka huu anarudi kwao burundiAKIPATA ATA DIWANI MUMOJA BASI ATAKUA AMESHINDA. MIMI NAONA ANAHARIBU MAFUTA YA CHOPA BURE TUUU.
FARAJA NAYO NI TIBA. ILAKUMBUKENI HAKUNA IKULU YA WATOVU WA NIDHAMUAkili kisoda haziwezi kuona tofauti, meko bye bye
MATUSI MTATUKANA YOTE ILA KUMBUKENI KUGARAGAZWA OCTOBER,28 ASUBUHI. JIANDAENI KULILIA KULE KWA BAROZI WA BEBERUHuyo wenu anayetembea na feni na betri kwenye moyo mwaka huu anarudi kwao burundi
Huyu anayetembea na feni hana nafasi ,hata feni haitamsaidia zamu hii joto likizidi lazima apasuke kama ya vizaMATUSI MTATUKANA YOTE ILA KUMBUKENI KUGARAGAZWA OCTOBER,28 ASUBUHI. JIANDAENI KULILIA KULE KWA BAROZI WA BEBERU
Nchi inaenda kupata uhuru upya baada ya mateso manyanyaso makubwa tokea chato kwa Mkoloni kaburu mweusimwisho wa dhulma ya miaka 60, na udikteta wa miaka mi 5 iliyopita ni terehe 28.
Tarehe 28 Tanzania inaenda kupata uhuru upya tokea chato kwa Mkoloni kaburu mweusiAnatufanya wajinga anakera Hadi mcheza porn Gwajima anasema ' Nileteeni Gwajimaaaaaaa'.
Wewe hapa ulipo ni site? Acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoniBavicha bhana..
Watu tupo site nyie mko mtandaoni...mtashinda urais wa mitandaoni ila mitaani nawahakikishieni jipangeni kwa aibu..
Tarehe 28 Tanzania inaenda kupata uhuru wanyanyasaji waonevu wote sasa wanakesha na kushinda kwa waganda wa kienyeji wakizani watazuia nguvu za munguNchi ipi hiyo iliyolipuka
Well said Bro.Mbali na Njaa ya tumboni Watanzania wana Njaa ya HAKI.
Ndumba zimeexpire anga limeshawakataa, kilio cha watz ni sauti ya MunguTarehe 28 Tanzania inaenda kupata uhuru wanyanyasaji waonevu wote sasa wanakesha na kushinda kwa waganda wa kienyeji wakizani watazuia nguvu za mungu
Huyo jamaa huko jalalani anaokota plastic bottles. Pia ni site.Wewe hapa ulipo ni site? Acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni