Uchaguzi 2020 Nchi imelipuka, kila kona, kila sehemu naona ni Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Nchi imelipuka, kila kona, kila sehemu naona ni Tundu Lissu

Nimemsikiliza Tundu Lisu Sera zake za uchumi nimezikubali Sana..

CCM wanavyo haha Sasa msg zenye neno Tundu Lisu zimekuws blocked mitandao yote..

Uhuru wakujieleza wamezuia Sasa wamezuia hata uhuru wa kutuma msg🤔😊
 
Jamii forum wanatakiwa kukufungia kwa kutumia lugha za matusi.
Jamii forum jamani mbona huyu mtu anatukana matusi kwanini asifungiwe.
Wauwaji hats kukemewa hawakemewi,na wakiukaji wa haki nyingine,ilimradi iwe anaedhulumiwa ana mawazo tofauti na wenye mamlaka,je si bora anaetumia hiyo kama silaha ya mnyonge.
 
Ndoto za mchana ni kudhani mwaka 2020 ni sawa na miaka ya nyuma ambapo CCM iliwaburuza wananchi
Naomba kwania njema tu,kabla ya mwisho wa kampeni,wawaombe radhi Watanzania na pia wachukue guess hiyo kuwaaga pia.
 
Zikiwa zimebaki siku 3 kabla hatujaingia tarehe 28.10.2020 siku ya kufanyika kwa uchaguzi Mkuu Tanzania, nadiriki kusema kuwa nchi naona inamtaka Lisu..... Nimezunguka Mikoa 25 ya Bara na 3 ya Zanzibar, nimepita kila pembe ya nchi. Nimezunguka vijijini sana na kila kona ya nchi hii kwa shughuli za kikazi katika NGO aiseeee sijui nini kitokee ila nimeshuhudia kwa macho yangu na kuona namna Lisu anavyokubalika sana sana...

Ambacho sikuamini ni mwamko walionao vijijini ni mkubwa kuliko hata wa majiji. Vijijini wanasema kwa hii njaa ya miaka 5 hawawezi tena kuipa serikali hii kura... Jana nilivyokuwa narudi Dar es Salaam, nilipita takriban mikoa 7 kutoka kanda ya ziwa nimeshuhudia namna Mawakala wa upinzani walivyojipanga na kupeana semina wenyewe kwa wenyewe.....

Bahati mbaya zikwenda kukusanya data za kisaisa ila kwa haya nilioyaona katika hiyo Mikoa 28 sioni namna Tundu Lisu akashindwa huu uchaguzi...... Watu wamechoka, watu wana njaa, watu hawana fedha, watu wamekosa matumaini..... Tena ukiwauliza maswali wanakujibu waziwazi kuwa kwa mbunge huyo sawa tutampa wa CCM ila suala la Urais Hapana tunampa "Mbeba Maono"....
Nchi imelipuka mbona hatuoni moshi?
 
Bavicha bhana..
Watu tupo site nyie mko mtandaoni...mtashinda urais wa mitandaoni ila mitaani nawahakikishieni jipangeni kwa aibu..
Wewe hapa ulipo ni site? Acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni
 
Back
Top Bottom