CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Mwenge ulikuwa unawabeba sana,ukiwashw tu wote tunakuwa maboya.Ndumba zimeexpire anga limeshawakataa, kilio cha watz ni sauti ya Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenge ulikuwa unawabeba sana,ukiwashw tu wote tunakuwa maboya.Ndumba zimeexpire anga limeshawakataa, kilio cha watz ni sauti ya Mungu
Mama Tanganyika.Nchi ipi hiyo iliyolipuka
True bila mwenge wameishaMwenge ulikuwa unawabeba sana,ukiwashw tu wote tunakuwa maboya.
Siwezi kumchagua mtu ambae ata binafsisha rasilimali za Nchi kwa Mabepari, never ever 😎Chagua Kiongozi atakayetupatia
HAKI
UHURU
Na
MAENDELEO YA WATU
Siyo Mwingine zaidi ya Tundu Lissu
Wewe endeleza kampeni humu...sisi tuko site tushamaliza kazi site..Wewe hapa ulipo ni site? Acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni
Nchi ya ufipa.Nchi ipi hiyo iliyolipuka
Ninamashaka sana ya uatfiti wako nadhani hauamini (not credible)! Siku moja mikoa saba, na unakuja na majibu ambayo unataka watu waamini! Tanzania ina mikoa 30, wilaya 139, Halmashauri 185, Kata... na vijiji 12,0000+ . Naomba kujua samble size ya utafiti wako, Sampling procedures nk ili niamini katika utafiti. Naomba tuwe wakweli wewe umepita barabarani, makao makuu ya mikoa, wilaya kadhaa unatoa taarifa ya Nchi, na mikoa saba. Hatujui ni watu gani uliwauliza inawezekana ni wenye mawazo kama yako au waliamua wakubalie tu! Hata JPM kwa miaka mitano ya Urais ,anaendelea na maendeleo ya Nchi yake, haendi nje ya Nchi hajamaliza kuitembelea hata robo ya Tanzania. Nyerere miaka 25 ya Urais , leo ukienda wananchi wanasema hatujawahi kutembelewa na Rais! Wewe siku moja unatoa majibu ya jumla jumla mikoa saba, taarifa siyo sahihi! Naomba tukutane Novemba 2020 uthibitishe utafiti wako. Wananchi wanaopata maji, umeme , Elimu Bure, waliopata ajira zilizokuwa zinakaliwa na vyeti feki, watumishi waliolipwa mapunjo ya mishahara (salary arrears), likiozo, wanaotibiwa kwa 30,000/= familia ya watu sita (6) kwa mwaka kupitia CHF iliyoboreshwa kuanzia zahanati- hadi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa. Wanaompata Dakatari kwenye kituo cha Afya, wanaosoma shule yenye maabara kijijini, wanaokoa muda wa safari, vifo kutokana na wingi wa madaraja na vivuko, waliopata hati za ardhi zao kwa muda mfupi bila usumbufu nk. Ninaamini tarehe 28.10.2020 wataongea kwa sauti tofauti na utafiti wako.Zikiwa zimebaki siku 3 kabla hatujaingia tarehe 28.10.2020 siku ya kufanyika kwa uchaguzi Mkuu Tanzania, nadiriki kusema kuwa nchi naona inamtaka Lisu..... Nimezunguka Mikoa 25 ya Bara na 3 ya Zanzibar, nimepita kila pembe ya nchi. Nimezunguka vijijini sana na kila kona ya nchi hii kwa shughuli za kikazi katika NGO aiseeee sijui nini kitokee ila nimeshuhudia kwa macho yangu na kuona namna Lisu anavyokubalika sana sana...
Ambacho sikuamini ni mwamko walionao vijijini ni mkubwa kuliko hata wa majiji. Vijijini wanasema kwa hii njaa ya miaka 5 hawawezi tena kuipa serikali hii kura... Jana nilivyokuwa narudi Dar es Salaam, nilipita takriban mikoa 7 kutoka kanda ya ziwa nimeshuhudia namna Mawakala wa upinzani walivyojipanga na kupeana semina wenyewe kwa wenyewe.....
Bahati mbaya zikwenda kukusanya data za kisaisa ila kwa haya nilioyaona katika hiyo Mikoa 28 sioni namna Tundu Lisu akashindwa huu uchaguzi...... Watu wamechoka, watu wana njaa, watu hawana fedha, watu wamekosa matumaini..... Tena ukiwauliza maswali wanakujibu waziwazi kuwa kwa mbunge huyo sawa tutampa wa CCM ila suala la Urais Hapana tunampa "Mbeba Maono"....
Wewe unaona ni sawa mtu amebakiza mwaka 1 kustaafu unafukuza bila chochote, busara ilitakiwaWewe bila shaka una kinyongo na Magufuli yawezekana ulikua hulipi kodi au ulikua na cheti hewa ukatumbuliwa au ulikua unafanya biashara za magendo.
Soma andika vizuri..... Mikoa saba nimesema hiyo ni Jana on my way coming back to Dar.... From Kanda ya ziwa.. But nimezunguka mikoa yote 26 bara na 3 zanzibar kwa zaidi ya siku 81Ninamashaka sana ya uatfiti wako nadhani hauamini (not credible)! Siku moja mikoa saba, na unakuja na majibu ambayo unataka watu waamini! Tanzania ina mikoa 30, wilaya 139, Halmashauri 185, Kata... na vijiji 12,0000+ . Naomba kujua samble size ya utafiti wako, Sampling procedures nk ili niamini katika utafiti. Naomba tuwe wakweli wewe umepita barabarani, makao makuu ya mikoa, wilaya kadhaa unatoa taarifa ya Nchi, na mikoa saba. Hatujui ni watu gani uliwauliza inawezekana ni wenye mawazo kama yako au waliamua wakubalie tu! Hata JPM kwa miaka mitano ya Urais ,anaendelea na maendeleo ya Nchi yake, haendi nje ya Nchi hajamaliza kuitembelea hata robo ya Tanzania. Nyerere miaka 25 ya Urais , leo ukienda wananchi wanasema hatujawahi kutembelewa na Rais! Wewe siku moja unatoa majibu ya jumla jumla mikoa saba, taarifa siyo sahihi! Naomba tukutane Novemba 2020 uthibitishe utafiti wako. Wananchi wanaopata maji, umeme , Elimu Bure, waliopata ajira zilizokuwa zinakaliwa na vyeti feki, watumishi waliolipwa mapunjo ya mishahara (salary arrears), likiozo, wanaotibiwa kwa 30,000/= familia ya watu sita (6) kwa mwaka kupitia CHF iliyoboreshwa kuanzia zahanati- hadi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa. Wanaompata Dakatari kwenye kituo cha Afya, wanaosoma shule yenye maabara kijijini, wanaokoa muda wa safari, vifo kutokana na wingi wa madaraja na vivuko, waliopata hati za ardhi zao kwa muda mfupi bila usumbufu nk. Ninaamini tarehe 28.10.2020 wataongea kwa sauti tofauti na utafiti wako.
Kama unafikiri mafuta ya chopa ni ya kunywa nenda kachukue unywe!AKIPATA ATA DIWANI MUMOJA BASI ATAKUA AMESHINDA. MIMI NAONA ANAHARIBU MAFUTA YA CHOPA BURE TUUU.
Zinabinfishwa vipi sasaSiwezi kumchagua mtu ambae ata binafsisha rasilimali za Nchi kwa Mabepari, never ever 😎
Labda maendeleo ya ma antiChagua Kiongozi atakayetupatia
HAKI
UHURU
Na
MAENDELEO YA WATU
Siyo Mwingine zaidi ya Tundu Lissu