SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Hivyo mifumo ni mibovu!!Serikali imeanza kuzidiwa , population inaongezeka kwa kasi na life span inaongezeka hapa Mimi natajaribu kutaka nchi iwe na mifumo sahihi na sio nchi kuongozwa kwa matamko mfano hawa watoto elfu moja wanapozaliwa kila Mwezi katika kata ya moja maana yake huko Mbele kitatokea Matatizo ya ukosefu wa shule, zahanati n.k mfano shule nyingi za mjini darasa moja wanakaa watoto 100+ badala ya 45 so wanasiasa wamepiga usingizi wa pono.
Aisee. Haya land. "Sijui"