SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Hivyo mifumo ni mibovu!!Serikali imeanza kuzidiwa , population inaongezeka kwa kasi na life span inaongezeka hapa Mimi natajaribu kutaka nchi iwe na mifumo sahihi na sio nchi kuongozwa kwa matamko mfano hawa watoto elfu moja wanapozaliwa kila Mwezi katika kata ya moja maana yake huko Mbele kitatokea Matatizo ya ukosefu wa shule, zahanati n.k mfano shule nyingi za mjini darasa moja wanakaa watoto 100+ badala ya 45 so wanasiasa wamepiga usingizi wa pono.
Na bado hujaenda hospital ya Muhimbili, Agakhan, hospital zilizopo wilaya ya Ubungo, Ilala, Kigamboni.Kila mwezi kwenye kata moja kufyatuliwa watoto 1000 ni kidogo?! Kwa hali hiyo serikali itafanya kazi nyingine zaidi kujenga madarasa na kutengeneza madawati??
swala la kuzaa ni amri tuliyopewa na Mungu.Fyetueni Watoto nitawasomesha bure. Ilisikika sauti ya kichaa mmoja ikihamasisha kuzaana kama Nzige
Kuna nchi zisizo na katiba ww unalisemeaje hiloMfumo thabiti na imara unajengwa na katiba yenye kusimamia maslahi ya umma na uwajibikaji wa viongozi.
Takwa la katiba mpya haliepukiki.
Hizo hazinihusu.Kuna nchi zisizo na katiba ww unalisemeaje hilo