Nchi inabidi kuongozwa na mifumo thabiti na imara na si matamko ya wanasiasa. Wasomi tulisaidie Taifa

Hivyo mifumo ni mibovu!!
Aisee. Haya land. "Sijui"
 
Kila mwezi kwenye kata moja kufyatuliwa watoto 1000 ni kidogo?! Kwa hali hiyo serikali itafanya kazi nyingine zaidi kujenga madarasa na kutengeneza madawati??
Na bado hujaenda hospital ya Muhimbili, Agakhan, hospital zilizopo wilaya ya Ubungo, Ilala, Kigamboni.
 
Bad enough! Wasomi wengi wa taifa hili wamemezwa na siasa, nchi inaendeshwa kwa mihemko. Most of them they are after money, ndiyo maana wanakimbilia huko kwenye posho za 300+k a day, na mikopo ya hadi 500millions.
 
Sasa mtani tatizo la hii nchi siasa ilipewa kipaumbele tokea nchi ilipoasisiwa jambo lililofanya wanasiasa wakawa na nguvu kupindukia. Cha kufanya ni katiba mpya kuunda taasisi imara za kiutendaji na kuondoa mamlaka kubwa waliyo nayo wanasiasa kwenye utendaji wa mifumo ya nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…