OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Milion 250,000,000×19 approximately billion 4.75 ongeza kwenye billion 16 utapata bilion 21 na zaidiHIVI so nasikiagasikiaga kwamba wanapostaafu huwa wanapata 250 milioni Kama kiinua mgongo? Kama ndio Basi sijafanikiwa kuona katika bandiko lako. Au huwa wanapata wa majimbo TU?
Kosa ni la nani hasa anayesababisha hii hasara na aibu kwa taifa kubwa kama TZ.Kwamba tuna wabunge ambao hatujui wameingiage bungeni .na hakuna nayetolea ufafanuzi swala kubwa kama hiliView attachment 1762390
Wakili Emmanuel Chengula amechambua hasara inayosababishwa na ubunge hewa.
Taifa letu litapata hasara Kama ifuatavyo endapo Bunge litaendelea kuwakumbatia wabunge 19 ambao hawana chama, na waliofutwa uanachama na chama Cha CHADEMA, na hivyo kukosa uhalali wa kuitwa wabunge kwa mujibu wa ibara ya 71 ya Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ewe mtanzania kuwa msitari wa mbele kuilinda Katiba ya nchi.
My Take
Hili dokezo nalielekeza kwa CAG Kichere aione kwenye jalada lake la hasara za nchi. Hasara hii inanisimamiwa ipasavyo na Spika Ndugai na Tulia ( Najisikia vibaya kuwaita spika)
[emoji86][emoji86][emoji86] Mama yangu weee!!! [emoji35][emoji35][emoji35]!!!View attachment 1762390
Wakili Emmanuel Chengula amechambua hasara inayosababishwa na ubunge hewa.
Taifa letu litapata hasara Kama ifuatavyo endapo Bunge litaendelea kuwakumbatia wabunge 19 ambao hawana chama, na waliofutwa uanachama na chama Cha CHADEMA, na hivyo kukosa uhalali wa kuitwa wabunge kwa mujibu wa ibara ya 71 ya Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ewe mtanzania kuwa msitari wa mbele kuilinda Katiba ya nchi.
My Take
Hili dokezo nalielekeza kwa CAG Kichere aione kwenye jalada lake la hasara za nchi. Hasara hii inanisimamiwa ipasavyo na Spika Ndugai na Tulia ( Najisikia vibaya kuwaita spika)
Kesi dhidi ya nani!?Swali kwa wanasheria na wapigania demokrasia wote.
Kwa kuwa mama SSH ameutaka muhimili wa kutoa haki utende haki, na kwa kuwa mzee Halima na genge lake wako bungeni kinyume cha sheria. Je, kuna kizingiti chochote cha kisheria kinamchozuia mtu yeyote kufungua kesi ili mzee Halima na genge lake waondolewe bungeni?
Kosa la MAGUFULI Mungu amlaani huko alipo aseKosa ni la nani hasa anayesababisha hii hasara na aibu kwa taifa kubwa kama TZ.Kwamba tuna wabunge ambao hatujui wameingiage bungeni .na hakuna nayetolea ufafanuzi swala kubwa kama hili
Mm sifahamu mkuu. Lkn wabobezi wa sheria wanaweza kufahamu.Kesi dhidi ya nani!?
Watoke kwanini!?Nani Wa kuwatoa bungeni hao viumbe ..?
uko sawa mkuu. data za pensheni ya 250,000,000 hazijawekwaHIVI so nasikiagasikiaga kwamba wanapostaafu huwa wanapata 250 milioni Kama kiinua mgongo? Kama ndio Basi sijafanikiwa kuona katika bandiko lako. Au huwa wanapata wa majimbo TU?