Nchi inapata hasara ya bilioni 16.7 kutokana na ubunge hewa wa kina Halima Mdee

Nchi inapata hasara ya bilioni 16.7 kutokana na ubunge hewa wa kina Halima Mdee

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
176738696_3962031190555210_2746245385309278497_n.jpg


Wakili Emmanuel Chengula amechambua hasara inayosababishwa na ubunge hewa.

Taifa letu litapata hasara Kama ifuatavyo endapo Bunge litaendelea kuwakumbatia wabunge 19 ambao hawana chama, na waliofutwa uanachama na chama Cha CHADEMA, na hivyo kukosa uhalali wa kuitwa wabunge kwa mujibu wa ibara ya 71 ya Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ewe mtanzania kuwa msitari wa mbele kuilinda Katiba ya nchi.

My Take
Hili dokezo nalielekeza kwa CAG Kichere aione kwenye jalada lake la hasara za nchi. Hasara hii inanisimamiwa ipasavyo na Spika Ndugai na Tulia ( Najisikia vibaya kuwaita spika)
 
Wangekuwa wastaarabu wangeondoka bungeni wenyewe, ona sasa wanazodolewa huko bungeni na kila mbunge wa CCM, mwisho wa ubaya aibu.

Wakati mwingine utawakuta wanashupaza shingo kushupalia ripoti ya CAG juu ya upotevu wa fedha za umma wakati nao ni sehemu ya tatizo hilo hilo.
 
Swali kwa wanasheria na wapigania demokrasia wote.

Kwa kuwa mama SSH ameutaka muhimili wa kutoa haki utende haki, na kwa kuwa mzee Halima na genge lake wako bungeni kinyume cha sheria. Je, kuna kizingiti chochote cha kisheria kinamchozuia mtu yeyote kufungua kesi ili mzee Halima na genge lake waondolewe bungeni?
 
Mada yako imekosa uzito unaotakiwa kuwa nao hivyo kuifanya iwe inaning'inia bila kushikiwa na chochote.

Ulichosahau ni kwamba kama wabunge hao wangekuwepo kihalali hizo gharama ni halali na walistahili kuwepo
 
HIVI so nasikiagasikiaga kwamba wanapostaafu huwa wanapata 250 milioni Kama kiinua mgongo? Kama ndio Basi sijafanikiwa kuona katika bandiko lako. Au huwa wanapata wa majimbo TU?
Milion 250,000,000×19 approximately billion 4.75 ongeza kwenye billion 16 utapata bilion 21 na zaidi
 
View attachment 1762390

Wakili Emmanuel Chengula amechambua hasara inayosababishwa na ubunge hewa.

Taifa letu litapata hasara Kama ifuatavyo endapo Bunge litaendelea kuwakumbatia wabunge 19 ambao hawana chama, na waliofutwa uanachama na chama Cha CHADEMA, na hivyo kukosa uhalali wa kuitwa wabunge kwa mujibu wa ibara ya 71 ya Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ewe mtanzania kuwa msitari wa mbele kuilinda Katiba ya nchi.

My Take
Hili dokezo nalielekeza kwa CAG Kichere aione kwenye jalada lake la hasara za nchi. Hasara hii inanisimamiwa ipasavyo na Spika Ndugai na Tulia ( Najisikia vibaya kuwaita spika)
Kosa ni la nani hasa anayesababisha hii hasara na aibu kwa taifa kubwa kama TZ.Kwamba tuna wabunge ambao hatujui wameingiage bungeni .na hakuna nayetolea ufafanuzi swala kubwa kama hili
 
View attachment 1762390

Wakili Emmanuel Chengula amechambua hasara inayosababishwa na ubunge hewa.

Taifa letu litapata hasara Kama ifuatavyo endapo Bunge litaendelea kuwakumbatia wabunge 19 ambao hawana chama, na waliofutwa uanachama na chama Cha CHADEMA, na hivyo kukosa uhalali wa kuitwa wabunge kwa mujibu wa ibara ya 71 ya Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ewe mtanzania kuwa msitari wa mbele kuilinda Katiba ya nchi.

My Take
Hili dokezo nalielekeza kwa CAG Kichere aione kwenye jalada lake la hasara za nchi. Hasara hii inanisimamiwa ipasavyo na Spika Ndugai na Tulia ( Najisikia vibaya kuwaita spika)
[emoji86][emoji86][emoji86] Mama yangu weee!!! [emoji35][emoji35][emoji35]!!!

Naskia hasira sana yaani pesa yangu ya P.A.Y.E ninayokatwa kila mwezi inaenda kutupwa hivihivi tu bure kabisa kwa kuwalipa wahuni hawa wasio na tija yeyote kwa mustakabali na maslahi ya maisha yangu.

Halafu anatokea mshenzi mmoja kutoka LUMUMBA ansema nisimseme vibaya MAGUFULI eti kwa sababu kajenga SGR na yale madaraja ya UBUNGO na TAZARA !!!

PUMBAVU KABISA ASE MAGUFULI ALAANIWE huko alipo pia MUNGU AMLAANI SPIKA JOB NDUGAI na LAANA IMSHUKIE HARAKA IWEZEKANAVYO KWA BARAKA ZA MWEZI HUU MTUKUFU WA RAMADHANI
 
Swali kwa wanasheria na wapigania demokrasia wote.

Kwa kuwa mama SSH ameutaka muhimili wa kutoa haki utende haki, na kwa kuwa mzee Halima na genge lake wako bungeni kinyume cha sheria. Je, kuna kizingiti chochote cha kisheria kinamchozuia mtu yeyote kufungua kesi ili mzee Halima na genge lake waondolewe bungeni?
Kesi dhidi ya nani!?
 
Kosa ni la nani hasa anayesababisha hii hasara na aibu kwa taifa kubwa kama TZ.Kwamba tuna wabunge ambao hatujui wameingiage bungeni .na hakuna nayetolea ufafanuzi swala kubwa kama hili
Kosa la MAGUFULI Mungu amlaani huko alipo ase
 
Tanzania ina mambo ya kipuuzi sana hawa wapuuzi wanatumbua kodi wakati wengine wanahenya kulipa kodi hadi wengine wapo jela.
Ndugai anafanya makusudi kwa sababu yeye na Mwendazake wametengeneza sheria ili asishitakiwe...Mungu ataamua.
Kwa mambo kama haya habari ya kuhubiriana uzalendo ikome kabisa kila mtu ashinde mechi zake...
This is purely madness...
Nonsense.
 
Nani Wa kuwatoa bungeni hao viumbe ..?
Watoke kwanini!?
Btw, wabunge asilimia kubwa waliko huko wameingia isivyo halali.

Hawa akina Halima angalao wanapiga kelele kwenye masuala ya msingi tofauti na hao wanaoonekana halali.
 
Pesa za walipa kodi hizi, Ndugai, Tulia, Mdee, Matiko, Bulaya, Kishoa, Henje na wengine wanawaibia wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
 
Kuna issue ya Wakati na Bahati hapa, sii kila kitu lazima kiwe na tafsiri sahihi ya kisheria, hiyo ni zamu yako kwa wakati tulionao, imeambatana na bahati, so waache wachume, nawe yako ikifika kutakuwa na mfumo mwingine wa ulaji
 
HIVI so nasikiagasikiaga kwamba wanapostaafu huwa wanapata 250 milioni Kama kiinua mgongo? Kama ndio Basi sijafanikiwa kuona katika bandiko lako. Au huwa wanapata wa majimbo TU?
uko sawa mkuu. data za pensheni ya 250,000,000 hazijawekwa
 
Back
Top Bottom