micind
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 377
- 980
Kama kuna kipindi mkulima anapiga hela Ni kipindi hiki imagine mchele mpya tunanunua 1800/1600 Tena mashineni,ukinunua kwa mkulima 1500 haishuki hapo, karanga kilo 3500,gunia la alizeti tulikua tunanunua 35,000 kutoka shambani nawapigia ndugu zangu juzi wananiambia gunia elfu 60000, wengine 70000 bado maharage ndo balaa tunakoelekea kilo tutauza 2500 maana kila siku yanapanda aisee sijawahi kuona mfumuko wa Bei Kama huu hasa kwenye chakula Tena msimu wa mavuno hongereni mliolima.