Bei ilikua lazima kupanda kwasababu pembejeo zilipanda bei kwa kasi....mtu ametumia gharama kubwa sana katika upandaji wa mazao yake...lakin mm naona hii swala la kupanda bei halitawanufaisha sana wakulima wadogo wadogo Bali watu wenye vipato vyao vikubwa Na walioweza kulima richa ya kupanda kwa bei ya pembejeo....wakulima wengi wa hali ya chini walishindwa kulima kutokan Na mfumuko wa bei za pembejeoImpacts ipo Sana tuu ila hili la Bei serikali inalijua na imeamua iwe hivyo Ili wakulima wanufaike kwa jasho lao..
Hakuna kufunga mipaka.
Sasa mtu aloshindwa kulima then unataka anufaike,atanifaikaje sasa? Kilimo sio mahindi tuu.Bei ilikua lazima kupanda kwasababu pembejeo zilipanda bei kwa kasi....mtu ametumia gharama kubwa sana katika upandaji wa mazao yake...lakin mm naona hii swala la kupanda bei halitawanufaisha sana wakulima wadogo wadogo Bali watu wenye vipato vyao vikubwa Na walioweza kulima richa ya kupanda kwa bei ya pembejeo....wakulima wengi wa hali ya chini walishindwa kulima kutokan Na mfumuko wa bei za pembejeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Point ni kwamba mtu wa hali ya chini anaumia mara mbili...kwanza alishindwa kulima then anapata pigo la kununua mazao kwa bei ya juu sana...Sasa mtu aloshindwa kulima then unataka anufaike,atanifaikaje sasa? Kilimo sio mahindi tuu.
Avumilie,msimu.huu atalima hadi akose kwa kupeleka.Point ni kwamba mtu wa hali ya chini anaumia mara mbili...kwanza alishindwa kulima then anapata pigo la kununua mazao kwa bei ya juu sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada ukiwa unataja bei za mazao usiache pia kutaja mkoa ulipoikuta iyo bei.Ni kosa kubwa sana chawa wa Samia wanalifanya kwa kutokumwambia ukweli kuwa nchi inapitia wakati mgumu sana lkakini walivyo wanajikuta wanamsingizia Hayati Magufuli kila kitu lakini ukweli ni kwamba Rais Samia hawezi kumfikia Hayati Magufuli hata kwa asilimia moja.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Kamwe Serikali haitafunga mipaka kukomoa wakulima,ukitaka bei rahisi kalime.
Na kwa taarifa yako Sasa nadhani umesikia bajeti ya serikali..SSH kaamua kufanya mapinduzi ya kilimo.
Kaongeza bajeti kutoka bil.294 hadi bil.954 Ili kutoa ruzuku ya Mbolea na kuanza rasmi kilimo cha mashamba makubwa ya umwagiliaji almaarufu block farming..[emoji116]
Kuimba kupokezana Boss. Safari hii ni zamu ya Wakulima. Mlitucheka sana ila sasa mtatusalimia kwa heshima!Ni kosa kubwa sana chawa wa Samia wanalifanya kwa kutokumwambia ukweli kuwa nchi inapitia wakati mgumu sana lkakini walivyo wanajikuta wanamsingizia Hayati Magufuli kila kitu lakini ukweli ni kwamba Rais Samia hawezi kumfikia Hayati Magufuli hata kwa asilimia moja.
Wapi huko ambapo mahindi yanauzwa 180k? Maana sasa hivi msimu wa mauzo.. mahindi bei ya juu sh. 700 kwa kiloNi kosa kubwa sana chawa wa Samia wanalifanya kwa kutokumwambia ukweli kuwa nchi inapitia wakati mgumu sana lkakini walivyo wanajikuta wanamsingizia Hayati Magufuli kila kitu lakini ukweli ni kwamba Rais Samia hawezi kumfikia Hayati Magufuli hata kwa asilimia moja.
Binafsi nmelima mpunga mwaka huu Kwa kawaida tulilima Kwa heka ef40,000 ila mwaka huu tumelima Kwa 60,000,kuchabanga ef 30,000 ila tumelima Kwa 45,000,mbolea ef 64,000 ila mwaka huu tumeninia Kwa 150,000,kuvuna tumevuna 130,000 Kwa heka hapo umepata gunia 6 + na madawa mengine + athari za hali ya hewa kwahyo gharama za uzalishaji ni kubwa huku mavuno machache Tena ukipiga hesabu. Hakuna faida unarudisha Hela tu.tuvumilieni ndugu zetu mkiona tnafaidi njooni tulime mapori yapo mengiNi kosa kubwa sana chawa wa Samia wanalifanya kwa kutokumwambia ukweli kuwa nchi inapitia wakati mgumu sana lkakini walivyo wanajikuta wanamsingizia Hayati Magufuli kila kitu lakini ukweli ni kwamba Rais Samia hawezi kumfikia Hayati Magufuli hata kwa asilimia moja.
Mkulima hanufaiki na lolote wanaonufaika ni walanguzi wala si wakulima wakulima bado ni masikini wa kutupwaKama Kuna kipindi mkulima anapiga hela Ni kipindi hiki imagine mchele mpya tunanunua 1800/1600 Tena mashineni,ukinunua kwa mkulima 1500 haishuki hapo, karanga kilo 3500,gunia la alizeti tulikua tunanunua 35,000 kutoka shambani nawapigia ndugu zangu juzi wananiambia gunia elfu 60000, wengine 70000 bado maharage ndo balaa tunakoelekea kilo tutauza 2500 maana kila siku yanapanda aisee sijawahi kuona mfumuko wa Bei Kama huu hasa kwenye chakula Tena msimu wa mavuno hongereni mliolima.
Wahuni watakuita sukumagangNi kosa kubwa sana chawa wa Samia wanalifanya kwa kutokumwambia ukweli kuwa nchi inapitia wakati mgumu sana lkakini walivyo wanajikuta wanamsingizia Hayati Magufuli kila kitu lakini ukweli ni kwamba Rais Samia hawezi kumfikia Hayati Magufuli hata kwa asilimia moja.
Wapi huko, ambako mahindi yamefika bei hiyo ya 180,000/=.Ni kosa kubwa sana chawa wa Samia wanalifanya kwa kutokumwambia ukweli kuwa nchi inapitia wakati mgumu sana lkakini walivyo wanajikuta wanamsingizia Hayati Magufuli kila kitu lakini ukweli ni kwamba Rais Samia hawezi kumfikia Hayati Magufuli hata kwa asilimia moja.
We jamaa vipi?Mleta mada huenda hata jembe linashikwaje hujui.
Mwaka Jana Hali ya mavuno haikuwa nzuri Sana, Hilo linajulikana, kakdhalika hata mwaka huu japo mavuno bado lakini huenda ikawa Kama mwaka Jana. Unadhani Mama Samia ndio analeta mazao.
Hizi Ni kampeni muflisi. Mark my words, Mama ata perform vizuri Sana kuliko mnavyodhani. Mikono yake haina damu za watu.
Hizo alizokwambia Ni Bei za shambaniMkulima hanufaiki na lolote wanaonufaika ni walanguzi wala si wakulima wakulima bado ni masikini wa kutupwa