Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya

Nakuelewa kiongozi, huo ndio ukweli mtupu.
Mama hata hakuangalia aliposema mm ni yule yule wa Magufuli watu walizizima kwa vificho na shangwe, ila alipoanza kusema analembu*a wakaanza kumpa mgongo
Mimi ushauri wangu mkuu mama arudi kuwa rafiki wa wananchi aachane na hao wasaka tonge alio nao huko juu,
 
Bado tu hamjamaliza matanga! Mtalia mpaka lini?

Unaonekana bado kuku mgeni wewe,hebu jipe muda basi walau uweze kuwaelewa baadhi ya Members humu.Si kila mtu ni wa kumbwatukia,tunaomjua [mention]MAGAMBA MATATU [/mention] tunaelewa umuhimu wa nyuzi zake.Huwa ni chache lakini zimeshiba.Kwakuwa unaweza kuserach hebu tafuta uzi wake mmoja aliuweka 2012 wa utabiri kuelekea 2015 ndiyo utamwelewa.
 
Sina ugeni Jf,elewa hivyo.
Ukiwa na akili utanielewa.
 
Wamekubali chanjo, wote wanampinga polepole, wote wanampinga gwajima, ya kweli
 
Mama akizinda kwa kuwa mgombea ndani ya chama basi dola itaamua nchi iende upinzani kwa mtu wanae mtaka wao!!
 
Alidanganywa na Msoga akaanza kubadili kila aliloacha Mwendazake, wakati Msoga nchi ilimshinda, rais akawa mtu wa kudharaulika, na wahuni wakaiba wanavyotaka.
Tunasubiri tuone kama Januari atatumbuliwa kwa sababu yeye 100% anawazia 2025.
 
Nilikuona upenuni,ulikuwa unavuta za wapi?
 
Mkuu Naona ndani ya chama watu wananyimana fomu za ugombea!!ndio ishara za fukuto lenyewe!!? halafu UMOJA party nacho kinaunguruma kinataka wanachama wapya!!unaonaje!!!?
 
rasmi huu ndo mwisho mwisho wa enzi wa ccm, kama huamini tukutane 2025 panapomajaliwa.
Nakubaliana na wewe 100% nilishangaa Mzee Makamba , Kiwete na Kinana wakinadi eti CCM imerudi kwa wenyewe nini maana yake? yaani JPM aliipoteza CCM mbona kichekesho? Kama sio JPM 2015 mbona Lowasa alishachukua nchi yaani majimbo yote ya DSM, Arusha, Mwanza, Mbeya Chadem ilichukua sasa inaposemwa CCM imerudishwa kwa wenyewe mimi natafsiri kwamba CCM imerudishwa ka mafisadi kwa hiyo walala hoi wale wa JPM tujiunge na chama kipya UP alafu tuone kama hatutashika serikali sie machinga na walala hoi ndio wengi tukijumuika na Sukuma gang.....
 
CCM haina radha tena. Imepoteza mvuto. haina dira wala muelekeo. Wenyewe ni akina nani hao ni ..................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…