Nchi kumi za Kiafrika zenye Gdp kubwa. Gap kati ya Kenya na Tanzania inazidi kuongezeka.

Nchi kumi za Kiafrika zenye Gdp kubwa. Gap kati ya Kenya na Tanzania inazidi kuongezeka.

Kama TZ ipo namba 10 na ufukara huu uliopo hizo nchi nyingine si wanakula mchanga kabisa?
Wewe unahisi sisi ni Masikini sana ila nakuhakikishia sisi tuna nafuu kubwa sana kwa hapa Afrika. Nimepata kutembea nchi 34 za hapa Afrika ni hatari sana, tuipende nchi yetu angalau tuna uhakika wa kula na kuvaa vizuri, vifaa vya ujenzi ni nafuu nk
 
Wewe unahisi sisi ni Masikini sana ila nakuhakikishia sisi tuna nafuu kubwa sana kwa hapa Afrika. Nimepata kutembea nchi 34 za hapa Afrika ni hatari sana, tuipende nchi yetu angalau tuna uhakika wa kula na kuvaa vifuri, vifaa vya ujenzi ni nafuu nk
Inasikitisha sana,rasilimali muhimu na zenye thamani zipo ndani ya bara hili lakini ndiyo bara lenye umasikini uliolowea,siasa imeharibu sana mambo mengi.
 
Africa inasikitisha ukienda central Africa, ukaenda north east Africa, ukanda south na west Africa ukweli Kuna umaskini uliotopea ni ngumu kuamini kuwa umaskini utapungua
 
Wewe unahisi sisi ni Masikini sana ila nakuhakikishia sisi tuna nafuu kubwa sana kwa hapa Afrika. Nimepata kutembea nchi 34 za hapa Afrika ni hatari sana, tuipende nchi yetu angalau tuna uhakika wa kula na kuvaa vifuri, vifaa vya ujenzi ni nafuu nk

You are very right, last two years, niliwahi tembelea Bamako Mali, nilikuwa na assignment fulani. Duu wee acha tu. Mazingira ya watu ni magumu sana. Tanzania nchi yetu imebarikiwa sana.
 
Ukiangalia maisha ya mtu mmoja mmoja vijijini na mijini kwenye sekta binafsi kwenye nchi za Tanzania, Kenya walivyo maskini wakutupwa na hizi nchi zipo kwenye mataifa 10 yenye GDP kubwa Africa, ni wazi waafrika tupo maskini mahututi.

Kuna nchi ambazo ukitembelea, kweli unahisi hawa watu wana unafuu mkubwa sana. Citizens welfare is at considerable level.

Ila cha kushangaza hapo kwenye 10 bora hazizidi hata nchi 4. Kina Nigeria, sijui RSA, Ethiopia, Kenya, Tanzania hamna kitu. Labda kidogo Angola na nchi za Afrika kaskazini.
 
Kama TZ ipo namba 10 na ufukara huu uliopo hizo nchi nyingine si wanakula mchanga kabisa?

Kwenye uchumi haiko hivyo. Hiyo tarakimu ya GDP haina uhusiano na ustawi wa jamii au raia (citizens welfare). Mfano hapo kwenye hiyo orodha hakuna Botswana, Namibia wala Guinea. Nchi ambazo ustawi wa watu wake uko juu karibia nchi zote hapo, kasoro za Afrika kaskazini.
Hivyo hiyo orodha haimaanishi ustawi au ubora wa maisha wa raia. Hivyo, hiyo ni tarakimu tu ambayo imekuwa ikibishaniwa muda mrefu kama ina maana yoyote, pia uhusiano na ustawi wa raia wa nchi husika.
CC: Tony254
 
Inasikitisha sana,rasilimali muhimu na zenye thamani zipo ndani ya bara hili lakini ndiyo bara lenye umasikini uliolowea,siasa imeharibu sana mambo mengi.
Tatizo ni viongozi wetu wanatanguliza matumbo yao,badala kutumia raslimali zilizooo kuwaletea maendeleo wananchi wao.
 
Bint unakojozwa kirahisi hivyo!!!?
🙁😟

Hehehe!! Wewe mama mbona hasira, hujanyanduliwa bado??? Njoo tukuoe mamii...unahangaka sana kwenye taarifa za wanaume Wakenya.
 
Bado naamini tz maisha ni bora kuliko kenya kwa watu wenye vipato vya chini
Hilo halina mjadala..lakini bado standard ya maisha ipo chini sana..

Sijui Africa ni lini tutaendelea kwelikweli..sijui tumelaaniwa..watu vijijini huko wanakunywa maji yenye tope.
 
Kwenye uchumi haiko hivyo. Hiyo tarakimu ya GDP haina uhusiano na ustawi wa jamii au raia (citizens welfare). Mfano hapo kwenye hiyo orodha hakuna Botswana, Namibia wala Guinea. Nchi ambazo ustawi wa watu wake uko juu karibia nchi zote hapo, kasoro za Afrika kaskazini.
Hivyo hiyo orodha haimaanishi ustawi au ubora wa maisha wa raia. Hivyo, hiyo ni tarakimu tu ambayo imekuwa ikibishaniwa muda mrefu kama ina maana yoyote, pia uhusiano na ustawi wa raia wa nchi husika.
CC: Tony254
Kwanini people's welfare kisiwe ndo kitu kinachowekwa mbelembele zaidi?..Hizi GDP's ni tarakimu tu zisizo na maana kwa mtu wa chini..Nchi GDP yake inaongezeka huku maisha yanazidi kuwa magumu..ujinga mtupu.

Sema Afrika hasa East,central na West tunahitaji kazi ya ziada aisee kutoka kwenye huu umaskini uliotopea.
 
Back
Top Bottom