Nchi kumi za Kiafrika zenye Gdp kubwa. Gap kati ya Kenya na Tanzania inazidi kuongezeka.

Nchi kumi za Kiafrika zenye Gdp kubwa. Gap kati ya Kenya na Tanzania inazidi kuongezeka.

Hehehehe!!! Sikuoi, nakutia tu kisha unarudi kwa mumeo....
Kidogo ungejua English ningekuweka uwe kimada wangu, ila dayaspora wa Buza hapana.....hehehe
2833755_FB_IMG_1612420221935.jpg
 
unauliza afrika lin itaendelea wakt kichwan kwako bado umeshikilia mindset za kiutumwa, kujikataa, kuona watu weupe ndyo bora, kuukataa uafrika na mila zake, ukiambiwa historia kongwee ya afrika hutak kusikia unaisi tunatania ama kupoteza muda, sasa hao viongoz wenu mnaowasingizia wanaendesha nchi vbaya je hamuoni nao ni kama ninyi wenye akili mbovu???

hizo akili za kiutumwa hata wao viongoz na wanasiasa wanazo maana nao ndyo watu hawa hawa wa mitaani mnaoshare nao mambo yakijinga, elimu za kitumwa, sasa unategemea wao wakipata chance uko serkalin wafanye mabadiriko kwa maslahi yaoo? ama ya taifa?

afria nzima hususan ktk ardhi aishizo mtu mweusi matatizo hufanan, achana na uko south afrika, nao ni makapuku tu, washukuru mabeberu walgoma kuondoka laasivyo nchi yao ingekuwa dampo ama danguro la machokoraa,wao hawana la maana, afadhar hata uku Tz tuliwatimua wazungu bt tuna kauafazar, wao pamj na kuwaendekeza makaburu lkn bado ushenz haukomi kwao ktk ardhi zao, unyanyapaa na ubaguzi, umiriki wa mali na ardhi kiasi kikubwa ni kw makaburu, so hawana chakujivunia nje ya ukaburu.

hivyo bas matatzo ya nchi za afrika ni aina moja, na kama mattzo yanafanan, bas hata utatuzi wake utakuwa wa aina moja, yaan solutions ya matatzo ya bongo ndyo hiyo solutions ya matatzo ya kenya, Uganda na kwngineko aishiko mweus, hata uko Haiti napo ni hiv hiv,.

solution ni kuunganisha nchi zote za afrika( wapumbavu watasema haiwezekan)..kuunganisha afrika inawezekana sana, ni vile viongoz wetu wote wanarud ktk mindset zile zile za kiutumwa kama hawa wananchi wa mitaani

..kijana anaona mziki wa ulaya ni mzur kulko singeri ama nyimbo za waswahili wenzake je huu ni uzalendo?
..kushabikia mechi za nje na hizi za ndan hutaki huu n uzalendo?
...kukimbilia kula bata uko USA, uarabuni alaf ukirud waturingishia picha za maghorofa wakt hata dar yapo si ungechoma iyo naul hapo serenget ukaone wanyama, je huu ni uzalendo?

...mtu anasema bora kuzaliwa mbwa ulaya kulko kuwa mtu uku Tz(bongo bahat mbaya) je kwa akili hiz za kujidharau na kujikataa kuna mabadiriko nchini?

..viongoz wanaagiza maziwa toka nje ya nch wakat bongo yako kila kona, wanaagiza mamichele na masukar nje za nchi wakat bongo vipo, je hizi ni akili?,

.. wanaagiza madawa kila mwaka nje za nchi wakat uo vijana wanagraduate kila mwaka kada za utabibu na ajira hakuna, je hizi ni akili?

.. wanawaajil wakandarasi wakichina wakat hapa bongo vijana wengi wamesomea haya mambo lkn wamekosa ajira, bas hata wangekusanywa na kufanywa kampuni za ujenzi ili tenda zikitokea wanapewa, bt mambo ni tofauti

..kwahiyo kwa akili kama hiz za watu weusi Afrika kuja kuendelea my brothers and sisters ''SAHAU" nakaza maneno sahau, yaan tutaendelea kubishania katiba mpya mara ikii mara kile, kumbe tatzo halipo huko, tatzo lipo ktk kichwa cha muafrika, tena muafrika yeyote yule, ilimradi ni mweusi, bas mattzo yake ni haya haya (poor mindset)
 
Hehehehe Tatizo lenu wanawake mkiwa na nyege huwa na hasira hasira sana na hamusemi, unakuta mwanamke unakua mgomvi mgomvi na haeleweki tatizo lako, ila kwa sisi tunaojua siri yenu huwa kitandani, nakutia tu mpaka minyege inapungua yaani alfajiri unaniandalia supu....hehehehe hivyo punguza hasira mamiii, mwambie mumeo nyege zinakusumbua, au uje nizipunguze.
kwa akili kama hizi Afrika kuja kuendelea ni ngumu,

mtu anatoa thread ya kuelimisha nyie mnawaza ngono [emoji117](why Africa has more population size than development size, bcoz ther ar always thinking about unsafe sex than sense matter).. em jarbuni kuweka akili ktk mada,
 



1. Nigeria
2. South Africa
3. Egypt
4. Algeria
5. Morocco
6. Kenya
7. Angola
8. Ethiopia
9. Ghana
10. Tanzania
Hiyo GDP ifafanuliwe kwanza inapatikana je usije ukakuta pesa ya kina MO na kina Bahrsa na mali zao anagawanyiwa mtu ambae uwezo wa kitumbua kimoja kwa siku hana halafu tunajisifia mlo tusio ula kiuhalisia .
 
Unatakiwa uangalie GDP per capita ama ppp kujua utajiri wa watu, Mara nyingi GDP inakuwa affected na wingi wa watu. Mfano kwa GDP India ni nchi ya tatu kwa utajiri duniani ila in reality wananchi wake ni masikini sana.

Kwa Africa Nchi kama Visiwa vya Shelisheli, Egpty, South Africa, Guinea, Gabon, Algeria na Mauritius ndio zina Ukwasi wa Maana.
Tanzania ina wastani wa watu million 60 ni watu ni wachache kwa nchi Kama Tanzania yenye rasilimali nyingi, bandari na Mambo mengi ni Jambo la kusikitisha ni vipi tunakuwa masikini ili hali sisi ni matajiri wa vitu ?
Tunahitaji fikra mbadala
 
Kwa hizi data kuna $30-40bil kwa Mwaka zipo Kwenye uchumi wa Tanzania Lakini hazijaingia Katika rekodi kwa sababu hazijakusanywa kama pato la kodi
Halafu mkiambiwa mlipe kodi mnaanza kulialia kama watoto wadogo? Ni kwa nini Watanzania hampendi kulipa kodi?
 
Kwa hizi data kuna $30-40bil kwa Mwaka zipo Kwenye uchumi wa Tanzania Lakini hazijaingia Katika rekodi kwa sababu hazijakusanywa kama pato la kodi

We have a lot of unregistered businesses and enterprises, also a lot of unrecorded or recognized transactions.
 
Halafu mkiambiwa mlipe kodi mnaanza kulialia kama watoto wadogo? Ni kwa nini Watanzania hampendi kulipa kodi?
Kukwepa kodi ipo hata Kwenye mataifa makubwa duniani.
 
Back
Top Bottom