Nchi kumi za Kiafrika zenye Gdp kubwa. Gap kati ya Kenya na Tanzania inazidi kuongezeka.

Hehehe!! Wewe mama mbona hasira, hujanyanduliwa bado??? Njoo tukuoe mamii...unahangaka sana kwenye taarifa za wanaume Wakenya.

Maimuna wee endelea kukojozwa tu. Maana umekuwa kiboga kila unyokua ndivyo unavyozidi kuharibika.
 
Maimuna wee endelea kukojozwa tu. Maana umekuwa kiboga kila unyokua ndivyo unavyozidi kuharibika.

Hehehehe Tatizo lenu wanawake mkiwa na nyege huwa na hasira hasira sana na hamusemi, unakuta mwanamke unakua mgomvi mgomvi na haeleweki tatizo lako, ila kwa sisi tunaojua siri yenu huwa kitandani, nakutia tu mpaka minyege inapungua yaani alfajiri unaniandalia supu....hehehehe hivyo punguza hasira mamiii, mwambie mumeo nyege zinakusumbua, au uje nizipunguze.
 
Source ya hii videao ya YouTube imetoka wapi??
 
Ukiangalia maisha ya mtu mmoja mmoja vijijini na mijini kwenye sekta binafsi kwenye nchi za Tanzania, Kenya walivyo maskini wakutupwa na hizi nchi zipo kwenye mataifa 10 yenye GDP kubwa Africa, ni wazi waafrika tupo maskini mahututi.
Kama TZ ipo namba 10 na ufukara huu uliopo hizo nchi nyingine si wanakula mchanga kabisa?
Unatakiwa uangalie GDP per capita ama ppp kujua utajiri wa watu, Mara nyingi GDP inakuwa affected na wingi wa watu. Mfano kwa GDP India ni nchi ya tatu kwa utajiri duniani ila in reality wananchi wake ni masikini sana.

Kwa Africa Nchi kama Visiwa vya Shelisheli, Egpty, South Africa, Guinea, Gabon, Algeria na Mauritius ndio zina Ukwasi wa Maana.
 
Unachosema ni kweli ila wewe unazungumza kuhusu Gdp per capita yaani uchumi wa mtu mmoja mmoja. Hapa sisi tunazungumza kuhusu Gdp tu yaani ukubwa wa uchumi wa nchi kwa jumla bila kugawanya na idadi ya watu. Kwenye Gdp per capita Seychelles na Mauritius ndio zinazoongoza barani Afrika lakini leo hatuongei kuhusu Gdp per capita.
 

Nishakutia kibindoni mwangu maimuna. Sasa najipigia ninavyotaka kama mjusi.
 

Bado hujanielewa. Siongelei GDP wala mtoto wake per capita income. Tunaongelea citizens welfare or wellbeing ambayo haina uhusiano wowote na hizo figures juu.
 
Boss tofautisha kati ya Gdp na Gdp per capita. Kenya ina Gdp kubwa kushinda Namibia ila Namibia ina Gdp per capita kubwa kushinda Kenya. Haya mambo ni rahisi sana na bado huyaelewi? Gni per capita na Gdp per capita ndizo zinazohusika na uchumi wa mtu mmoja mmoja. Gdp inahusika na uchumi wa nchi nzima. Naomba uelewe tofauti iliopo kati ya hayo maneno. Neno per capita ina maana "per person". Yaani unachukua Gdp na kuigawanya na idadi ya watu. Nchi zenye Gdp kubwa na population ndogo kama Mauritius, Seychelles na Namibia zitakuwa na Gni per capita na Gdp per capita kubwa kushinda Kenya kwa sababu zina population ndogo. Ila Kenya bado itakuwa na Gdp kubwa kuzishinda. Simple basic concepts tu. Nyumba moja ina ugali kubwa lakini ina watoto ishirini kwa hivyo kila mtoto atapata kipande kidogo cha ugali na nyumba ya pili ina ugali mdogo kushinda wa nyumba ya kwanza ila ina watoto watatu tu kwa hivyo kila mtoto atapata kipande kikubwa cha ugali.
 
Bado hujanielewa. Siongelei GDP wala mtoto wake per capita income. Tunaongelea citizens welfare or wellbeing ambayo haina uhusiano wowote na hizo figures juu.
Wacha upuuzi. Citizen welfare inahusiana na Gdp per capita. Itakuwa huelewi maana ya neno Gdp per capita. Lakini sikulaumu.
 
GDP by PPP ndio kipimo sahihi cha welfare ya watu
 
Wacha upuuzi. Citizen welfare inahusiana na Gdp per capita. Itakuwa huelewi maana ya neno Gdp per capita. Lakini sikulaumu.

I'm worrying if you real understand the meaning of per capita income. It's just a ratio of GDP to country population. & figure obtained does not concerned who contributes what!!? Some contributed nothing, but still seem to have something. It does not ACCOUNT for income inequality. For countries with large income gaps among the citizens, it cannot be the good measure of citizens welfare.
 
Nishakutia kibindoni mwangu maimuna. Sasa najipigia ninavyotaka kama mjusi.

Hehehehe!!! Sikuoi, nakutia tu kisha unarudi kwa mumeo....
Kidogo ungejua English ningekuweka uwe kimada wangu, ila dayaspora wa Buza hapana.....hehehe
 
cc Tony254
Jamaa anakuingiza darasani kukufundisha uchumi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata kwenye takwimu za nchi zenye njaa kali bado kenya inamzidi tanzania kwa gap kubwa

Na kwa ujinga pia mmetuzidi gap kubwa, juzi nilisoma makala moja ikidai kua kuna mkenya alizishtaki nchi zmya israel na palestina kwa kushiriki kumtesa yesu na kumuua
 
Ukitaka a better metric ya kupima hali ya uchumi ya mtu mmoja mmoja basi HDI ndio kipimo kizuri zaidi. By the way ni kweli Gdp per capita ina mapungufu yake lakini hata hio HDI ina mapungufu yake. Hakuna perfect economic metric
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…