Hehehe!! Wewe mama mbona hasira, hujanyanduliwa bado??? Njoo tukuoe mamii...unahangaka sana kwenye taarifa za wanaume Wakenya.
Maimuna wee endelea kukojozwa tu. Maana umekuwa kiboga kila unyokua ndivyo unavyozidi kuharibika.
Ukiangalia maisha ya mtu mmoja mmoja vijijini na mijini kwenye sekta binafsi kwenye nchi za Tanzania, Kenya walivyo maskini wakutupwa na hizi nchi zipo kwenye mataifa 10 yenye GDP kubwa Africa, ni wazi waafrika tupo maskini mahututi.
Unatakiwa uangalie GDP per capita ama ppp kujua utajiri wa watu, Mara nyingi GDP inakuwa affected na wingi wa watu. Mfano kwa GDP India ni nchi ya tatu kwa utajiri duniani ila in reality wananchi wake ni masikini sana.Kama TZ ipo namba 10 na ufukara huu uliopo hizo nchi nyingine si wanakula mchanga kabisa?
Unachosema ni kweli ila wewe unazungumza kuhusu Gdp per capita yaani uchumi wa mtu mmoja mmoja. Hapa sisi tunazungumza kuhusu Gdp tu yaani ukubwa wa uchumi wa nchi kwa jumla bila kugawanya na idadi ya watu. Kwenye Gdp per capita Seychelles na Mauritius ndio zinazoongoza barani Afrika lakini leo hatuongei kuhusu Gdp per capita.Kuna nchi ambazo ukitembelea, kweli unahisi hawa watu wana unafuu mkubwa sana. Citizens welfare is at considerable level.
Ila cha kushangaza hapo kwenye 10 bora hazizidi hata nchi 4. Kina Nigeria, sijui RSA, Ethiopia, Kenya, Tanzania hamna kitu. Labda kidogo Angola na nchi za Afrika kaskazini.
Hehehehe Tatizo lenu wanawake mkiwa na nyege huwa na hasira hasira sana na hamusemi, unakuta mwanamke unakua mgomvi mgomvi na haeleweki tatizo lako, ila kwa sisi tunaojua siri yenu huwa kitandani, nakutia tu mpaka minyege inapungua yaani alfajiri unaniandalia supu....hehehehe hivyo punguza hasira mamiii, mwambie mumeo nyege zinakusumbua, au uje nizipunguze.
Unachosema ni kweli ila wewe unazungumza kuhusu Gdp per capita yaani uchumi wa mtu mmoja mmoja. Hapa sisi tunazungumza kuhusu tu yaani ukubwa wa uchumi wa nchi kwa jumla bila kugawanya na idadi ya watu. Kwenye Gdp per capita Seychelles na Mauritius ndio zinazoongoza barani Afrika lakini leo hatuongei kuhusu Gdp per capita.
Boss tofautisha kati ya Gdp na Gdp per capita. Kenya ina Gdp kubwa kushinda Namibia ila Namibia ina Gdp per capita kubwa kushinda Kenya. Haya mambo ni rahisi sana na bado huyaelewi? Gni per capita na Gdp per capita ndizo zinazohusika na uchumi wa mtu mmoja mmoja. Gdp inahusika na uchumi wa nchi nzima. Naomba uelewe tofauti iliopo kati ya hayo maneno. Neno per capita ina maana "per person". Yaani unachukua Gdp na kuigawanya na idadi ya watu. Nchi zenye Gdp kubwa na population ndogo kama Mauritius, Seychelles na Namibia zitakuwa na Gni per capita na Gdp per capita kubwa kushinda Kenya kwa sababu zina population ndogo. Ila Kenya bado itakuwa na Gdp kubwa kuzishinda. Simple basic concepts tu. Nyumba moja ina ugali kubwa lakini ina watoto ishirini kwa hivyo kila mtoto atapata kipande kidogo cha ugali na nyumba ya pili ina ugali mdogo kushinda wa nyumba ya kwanza ila ina watoto watatu tu kwa hivyo kila mtoto atapata kipande kikubwa cha ugali.Kwenye uchumi haiko hivyo. Hiyo tarakimu ya GDP haina uhusiano na ustawi wa jamii au raia (citizens welfare). Mfano hapo kwenye hiyo orodha hakuna Botswana, Namibia wala Guinea. Nchi ambazo ustawi wa watu wake uko juu karibia nchi zote hapo, kasoro za Afrika kaskazini.
Hivyo hiyo orodha haimaanishi ustawi au ubora wa maisha wa raia. Hivyo, hiyo ni tarakimu tu ambayo imekuwa ikibishaniwa muda mrefu kama ina maana yoyote, pia uhusiano na ustawi wa raia wa nchi husika.
CC: Tony254
Wacha upuuzi. Citizen welfare inahusiana na Gdp per capita. Itakuwa huelewi maana ya neno Gdp per capita. Lakini sikulaumu.Bado hujanielewa. Siongelei GDP wala mtoto wake per capita income. Tunaongelea citizens welfare or wellbeing ambayo haina uhusiano wowote na hizo figures juu.
GDP by PPP ndio kipimo sahihi cha welfare ya watuKwenye uchumi haiko hivyo. Hiyo tarakimu ya GDP haina uhusiano na ustawi wa jamii au raia (citizens welfare). Mfano hapo kwenye hiyo orodha hakuna Botswana, Namibia wala Guinea. Nchi ambazo ustawi wa watu wake uko juu karibia nchi zote hapo, kasoro za Afrika kaskazini.
Hivyo hiyo orodha haimaanishi ustawi au ubora wa maisha wa raia. Hivyo, hiyo ni tarakimu tu ambayo imekuwa ikibishaniwa muda mrefu kama ina maana yoyote, pia uhusiano na ustawi wa raia wa nchi husika.
CC: Tony254
Wacha upuuzi. Citizen welfare inahusiana na Gdp per capita. Itakuwa huelewi maana ya neno Gdp per capita. Lakini sikulaumu.
Nishakutia kibindoni mwangu maimuna. Sasa najipigia ninavyotaka kama mjusi.
cc Tony254I'm worrying if you real understand the meaning of per capita income. It's just a ratio of GDP to country population. & figure obtained does not concerned who contributes what!!? Some contributed nothing, but still seem to have something. It's does not ACCOUNT for income inequality. For countries with large income gaps among the citizens, it cannot be the good measure of citizens welfare.
Ukitaka a better metric ya kupima hali ya uchumi ya mtu mmoja mmoja basi HDI ndio kipimo kizuri zaidi. By the way ni kweli Gdp per capita ina mapungufu yake lakini hata hio HDI ina mapungufu yake. Hakuna perfect economic metricI'm worrying if you real understand the meaning of per capita income. It's just a ratio of GDP to country population. & figure obtained does not concerned who contributes what!!? Some contributed nothing, but still seem to have something. It's does not ACCOUNT for income inequality. For countries with large income gaps among the citizens, it cannot be the good measure of citizens welfare.