ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Asante mkuu[emoji1417]Kila la kheri mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu[emoji1417]Kila la kheri mkuu!
Wakarimu mno mkuu,heshima kwa Mila na utamaduni wao, Namibia ni superAsante sana mkuu watu wake vp kwa ukarimu?Maana ww km umefika utakua na mengi ...sio wasumbufu kwa wageni
✅🙏Wakarimu mno mkuu,heshima kwa Mila na utamaduni wao, Namibia ni super
Nina mpango pia wa kutembelea Dubai Desemba hii.Ukiachana na kwenda Dubai kibiashara ambayo naona ndo wengi huenda, Dubai kuna vivutio gani wazee. Hapa nilipo nawaza kwenda Rwanda kutalii au Dubai kuona mandhari tu.
Kwa ambao mshafika nipeni maelekezo hasa hasa Dubai, sehemu za bei nafuu za kufikia, taratibu za visa na mengine. Mtu asije akasema vijana wa sasa hivi ni wavivu wa kutumia mtandao 😂😂 mtandaoni sielewi naona information ni nyingi kuliko bichwa langu.
Hahaha una maanisha complications upande wa gharama za maisha pale au vp?Hivi kwenda South kwa lengo la kutembea kuna complications zipi? kwa sisi ambao hatuna vipato vya maana.
Ndiyo, mtu anayesafiri kwa basi kuhusu complications mipakani hiyo ndo nataka kujua zaidi.Hahaha una maanisha complications upande wa gharama za maisha pale au vp?
nataka siku moja nifike huko kwa madiba hata nikae siku mbili tuu.Ndiyo, mtu anayesafiri kwa basi kuhusu complications mipakani hiyo ndo nataka kujua zaidi.
Sawa kabisa, sina uzoefu na hilo suala.. lakini inawezekana kukawa na gharama na pesa ambazo maafisa wa mipakani wanaomba kutoka kwa wageni.Ndiyo, mtu anayesafiri kwa basi kuhusu complications mipakani hiyo ndo nataka kujua zaidi.