Nchi kumi zinazoongoza kwa kuwa na wasichana warembo barani Afrika

Nchi kumi zinazoongoza kwa kuwa na wasichana warembo barani Afrika

Ni baadhi tu si wengi kiasi hicho ukilinganisha na Bongo, ila Rwanda na Ethiopia wanastahili kuwa 1 & 2.

Mmh BAK huko kuna watoto wakare, ngozi zao laini, rangi za chocolate, shape ndo mahali pake wale ni wazuri asee
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
Na shaka Na Kenya Tanzania
 
Mkuu huu utafiti umeegemea katika uzuri upi?? wa sura au shape????
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
Kenya wanawake wana sura za kiume ndiyo wamewazidi mademu zetu kweli?
 
Ni baadhi tu si wengi kiasi hicho ukilinganisha na Bongo, ila Rwanda na Ethiopia wanastahili kuwa 1 & 2.
Kama unadhani tafiti uchwara hizo ziko sahihi uliza Burundi mbona haipo katika orodha hiyo, au wanaiweka namba ngapi? Kuna porojo nyingi watu wanadanganyana mitandaoni kwamba rwanda ndio ina wanawake wazuri ukanda mzima wa Afrika Mashariki wakati tofauti iliyopo kati ya Burundi na Rwanda ni mipaka tu lakini watu ni wale wale!
 
Ha hahahaha et Kenya katuzidi hahahaha wanawake wa Kenya ni wabayaaa aseee uwiiiii
 
kenya na malawi zinaongoza kwa ubaya ukikuta lidada la kikuyu +kikambaa aaaauuu puuu
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
kuna nchi hazipaswi kuwa hapo
 
Aisee nahisi aliefanya huu utafiti ni mkenya,sio Kwa kuwapendelea hivyo
 
Back
Top Bottom