Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nigeria na Kenya sio wazuri, ila wasomali wazuri labda umeona wasomali koko 😀Somalia hata mimi nawaondoa sambamba na Kenya, Nigeria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nigeria na Kenya sio wazuri, ila wasomali wazuri labda umeona wasomali koko 😀Somalia hata mimi nawaondoa sambamba na Kenya, Nigeria.
Mmh BAK huko kuna watoto wakare, ngozi zao laini, rangi za chocolate, shape ndo mahali pake wale ni wazuri asee
Na shaka Na Kenya TanzaniaKama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
😀😀😀Navuta picha huo uzuri wa wanawake wa kijaruo upo wapi mpaka wawe juu
Kenya wanawake wana sura za kiume ndiyo wamewazidi mademu zetu kweli?Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
Kama unadhani tafiti uchwara hizo ziko sahihi uliza Burundi mbona haipo katika orodha hiyo, au wanaiweka namba ngapi? Kuna porojo nyingi watu wanadanganyana mitandaoni kwamba rwanda ndio ina wanawake wazuri ukanda mzima wa Afrika Mashariki wakati tofauti iliyopo kati ya Burundi na Rwanda ni mipaka tu lakini watu ni wale wale!Ni baadhi tu si wengi kiasi hicho ukilinganisha na Bongo, ila Rwanda na Ethiopia wanastahili kuwa 1 & 2.
Hujatembea utajuaje sasa?Aisee watoto wa bongo ni warembo hatari! Kwangu bado sijaona wazuri alafu wanaojuwa mapendeko kama dada zetu aisee.
Hujatembea utajuaje sasa?
kuna nchi hazipaswi kuwa hapoKama kichwa cha habari kinavyojieleza.
1. Ethiopia
2. Eritrea
3. Somalia
4. Rwanda.
5. Afrika kusini
6. Ivory coast
7. Nigeria
8. Kenya
9.Tanzania
10. Ghana.
Mmmm wasomal nao wamewazid?Namba moja hadi nne sawa wametuzidi ila kuanzia tano hapana asee, mi sikubali
Wasomali ni wazuriMmmm wasomal nao wamewazid?
Achen kufananisha wabongoland na vtu vya kijinga