Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwandoto zakoMagufuli has proved failure to run the country
Jemedali huwa ni jemedali🙋♂️🙋♂️🙋♂️🙋♂️
Aiteteleke...
Kiswahili majanga, kingereza kiliwagomea, mtatoka vipi jameni.
Hahaa! [emoji1] Zaidi ya yote hii habari haihusu Kenya hata kidogo.Jemedari sio Jemadali.
Kama ni mmoja wa viongozi wetu, bado tuna safari ndefu tuendako.Hahaa! [emoji1] Zaidi ya yote hii habari haihusu Kenya hata kidogo.
Kweli kabisa dadangu, uthubutu anao, sio siri, ila ubabe wake nao anautumia hata pasipofaa. Maoni yangu tu.Magu bwana
Anauthubutu safi sana
[emoji40][emoji40][emoji40]Kama ni mmoja wa viongozi wetu, bado tuna safari ndefu tuendako.
Wapi alipotumia na hapafaiKweli kabisa dadangu, uthubutu anao, sio siri, ila ubabe wake nao anautumia hata pasipofaa. Maoni yangu tu.
Niliambiwa na Bishop Hiluka eti shida ni kwamba hizi movie huwa hazina script. Ni mwendo wa freestyle.Hii movie latest ya Bongo sijaielewa, naona malori ya kijeshi, wanajeshi, korosho, na rais anayejisifia asivyobabaishwa, na ametoa makataa/deadline ya jumatatu saa kumi atafanya kitu.
Halafu madairekta wana mkwara kwelikweli...Niliambiwa na Bishop Hiluka eti shida ni kwamba hizi movie hazina script. Ni mwendo wa freestyle.
Ninachojiuliza, serikali ikishazinunua korosho inazipeleka wapi (maana soko la korosho duniani limedorora)!😳😳😳 au ndiyo zitagawanywa mashuleni na ofisini tuzitafune?... 😀😀😀Hii movie latest ya Bongo sijaielewa, naona malori ya kijeshi, wanajeshi, korosho, na rais anayejisifia asivyobabaishwa, na ametoa makataa/deadline ya jumatatu saa kumi atafanya kitu.
Ina maana kwamba hizi kauli za kibabe huzioni? Kwani mpo kwenye vita na nchi gani?Wapi alipotumia na hapafai
Lugha za Aliens...Kila mara mimi husikia eti Tz ni magwiji wa lugha ya Kiswahili ila nikisoma wanachoandika humu naona majanga. Alafu lugha za mama hamziwezi, Kiingereza hamkiwezi, Kiswahili hamkiwezi sasa ni lugha gani mtaweza?