Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 4,058
- 14,382
Vijana baada ya kusikia Treni ya Umeme itaanza kufanya kazi na muda wake kuwa mdogo eg. Dar to Dodoma (kwa Omba Omba) ni masaa 3
Vijana wamefurahi na kutoa maoni yao huku furaha yao kubwa ni kuvusha mademu toka Dom.
Nimepitia habari kwenye kurasa tofauti na nimeshangazwa kuona vijana wamekuwa wana-comment na wanafurahi kuvusha mademu wa Dodoma (Maskani ya Milembe).
AMA KWELI UJINGA HAUTOISHA KWA VIJANA MASKINI.....
Vijana wamefurahi na kutoa maoni yao huku furaha yao kubwa ni kuvusha mademu toka Dom.
Nimepitia habari kwenye kurasa tofauti na nimeshangazwa kuona vijana wamekuwa wana-comment na wanafurahi kuvusha mademu wa Dodoma (Maskani ya Milembe).
AMA KWELI UJINGA HAUTOISHA KWA VIJANA MASKINI.....