Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,357
Baada ya Sudan ya Kusini kujitenga kutoka main Sudan na kuongeza idadi za nchi katika bara la Afrika na duniani kwa ujumla, inaonekana inaweza kuwa chachu kwa baadhi ya majimbo ama nchi kumegeka,
inaweza kuongeza nguvu kwa nchi zilizokuwa kwenye maelekeo huo na pia inawweza kuwa chachu kwa nchi/majimbo mapya, baadhi ya majimbo na nchi hizo ni kama ifuatavyo
1)TAnzania
Kwa hali ya kisiasa na nchi kukosa mwelekeo wa kujua ni kipi cha kushika kwanza, kuna uwezekano mkubwa wa Zanzibar kutoka kwenye muungano,
Japokuwa muungano ulikuwa na kelele na kutokubaliana kwa baadhi ya Mambo lakini kulikuwa na uongozi Imara na CCM ilikuwa Bora, lakini kwa mwenendo wa CCM kwa sasa na nchi kukosa Kiranja wa kuweza kukemea mambo mazito ya Kifisadi ni wazi Zanzibar inaweza kuwa na sauti na haki ya kujioa kwenye muungano na kutengeneza nchi mpya katika Africa na Dunia kwa ujumla,
Nchi mpya zinaweza kuwa kama hivi
a) Tanganyika,
b) Jamuhuri ya Zanzibar (Pemba na Unguja)
c) Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Unguja
d) Jamuhuri ya Watu wa Pemba
e) Jamhuri ya watu wa Unguja
2) DRC
Ni miongoni mwa Nchi kubwa kabisa Barani Afrika na duniani
Tatizo kubwa la DRC ni Majimbo yaliyogawanjwa kwa minajili ya ukabila, Congo DR pana ukabila mkali kabisa, Baadhi ya Province za Congo zimeendelea sana na sababu zinazotoka kwenye province ambazo ziko nyuma kimaendeleo ni kuwa hizo zimeendelea kutokana na viongozi waliokuwa madarakani wametoka kwenye hizo province
Lakini ni kweli ukifika Province ya Katanga yenye Lubumbashi, Kolwezi, Likasi, Kalemie ni tofauti sana na Province ya Sud (South) Kivu yenye Uvira, Baraka, Fizi nk au province ya Nod (North) Kivu yenye Bukavu, Kamanyola nk
WAtu wa Katanga wameshaweka wazi kuwa Kabila kama hakupita kwenye uchaguzi wa mwaka huu basi Katanga Province itakuwa nchi, same time na watu wa province zingine nao wanataka wape independent, kwa minajili hiyo kuna uwezekano wa kuwa na zaidi ya nchi tano kutoka DRC (Time will tell)
3) Morocco
Polisario wamepigana kwa miaka mingi mno kutaka kutoka Morocco na kuwa na nchi yao ya Sahara Magharibi, haya mapinduzi ya nchi za kiarabu na kupatikana kwa uhuru wa Sudan ya kusini ambao walikuwa almost wanafanana kwenye kutafuta uhuru wao,inawatia Chachu kubwa kwa watu wa sahara Magaharibi, kuongeza nguvu zao za kudai Nchi "yao"
4) Somalia na SomaliLand nchi inayojiendesha yenyewe lakini bado haijajitangazia uhuru wake,
5) Baada ile issue ya Biafra Nigeria inaonekana kana kwamba bado wapo Pamoja, lakini muendelezo wa siasa za Kidini na Kikabila zinaonyesha wazi uwezekano wa nchi kumegeka
mitizamo yenu ni ipi wana JF
inaweza kuongeza nguvu kwa nchi zilizokuwa kwenye maelekeo huo na pia inawweza kuwa chachu kwa nchi/majimbo mapya, baadhi ya majimbo na nchi hizo ni kama ifuatavyo
1)TAnzania
Kwa hali ya kisiasa na nchi kukosa mwelekeo wa kujua ni kipi cha kushika kwanza, kuna uwezekano mkubwa wa Zanzibar kutoka kwenye muungano,
Japokuwa muungano ulikuwa na kelele na kutokubaliana kwa baadhi ya Mambo lakini kulikuwa na uongozi Imara na CCM ilikuwa Bora, lakini kwa mwenendo wa CCM kwa sasa na nchi kukosa Kiranja wa kuweza kukemea mambo mazito ya Kifisadi ni wazi Zanzibar inaweza kuwa na sauti na haki ya kujioa kwenye muungano na kutengeneza nchi mpya katika Africa na Dunia kwa ujumla,
Nchi mpya zinaweza kuwa kama hivi
a) Tanganyika,
b) Jamuhuri ya Zanzibar (Pemba na Unguja)
c) Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Unguja
d) Jamuhuri ya Watu wa Pemba
e) Jamhuri ya watu wa Unguja
2) DRC
Ni miongoni mwa Nchi kubwa kabisa Barani Afrika na duniani
Tatizo kubwa la DRC ni Majimbo yaliyogawanjwa kwa minajili ya ukabila, Congo DR pana ukabila mkali kabisa, Baadhi ya Province za Congo zimeendelea sana na sababu zinazotoka kwenye province ambazo ziko nyuma kimaendeleo ni kuwa hizo zimeendelea kutokana na viongozi waliokuwa madarakani wametoka kwenye hizo province
Lakini ni kweli ukifika Province ya Katanga yenye Lubumbashi, Kolwezi, Likasi, Kalemie ni tofauti sana na Province ya Sud (South) Kivu yenye Uvira, Baraka, Fizi nk au province ya Nod (North) Kivu yenye Bukavu, Kamanyola nk
WAtu wa Katanga wameshaweka wazi kuwa Kabila kama hakupita kwenye uchaguzi wa mwaka huu basi Katanga Province itakuwa nchi, same time na watu wa province zingine nao wanataka wape independent, kwa minajili hiyo kuna uwezekano wa kuwa na zaidi ya nchi tano kutoka DRC (Time will tell)
3) Morocco
Polisario wamepigana kwa miaka mingi mno kutaka kutoka Morocco na kuwa na nchi yao ya Sahara Magharibi, haya mapinduzi ya nchi za kiarabu na kupatikana kwa uhuru wa Sudan ya kusini ambao walikuwa almost wanafanana kwenye kutafuta uhuru wao,inawatia Chachu kubwa kwa watu wa sahara Magaharibi, kuongeza nguvu zao za kudai Nchi "yao"
4) Somalia na SomaliLand nchi inayojiendesha yenyewe lakini bado haijajitangazia uhuru wake,
5) Baada ile issue ya Biafra Nigeria inaonekana kana kwamba bado wapo Pamoja, lakini muendelezo wa siasa za Kidini na Kikabila zinaonyesha wazi uwezekano wa nchi kumegeka
mitizamo yenu ni ipi wana JF